Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,094
Pole sana my dia
thnx yaani namsomeshea wanawe but i know they dont love me
Pole sana my dia
thnx yaani namsomeshea wanawe but i know they dont love me
Dah nahisi kama stori yangu inaendana na yako
Ukatili kwa watoto unatekelezwa sana na wanawake,hii inaonyesha wana roho mbaya.
Nilichomfanya mama wa kambo mpaka leo ananiheshimu kama mtume.......kwani kamwe hawezi kunisahau mpaka anaingia kaburini.........
Sijawahi kuishi na mama wa kambo, ila ninavyojijua nahisi angekiona cha mtema kuni, huyo dingi tu wakati nipo la 4 akaanza kunizungua na mambo yasiyoeleweka, siku nikayachoka nilichoanza kufanya mbona alitulia na tangu hapo alikua makini na mimi. Kuna wazazi wanafanya makusudi kabisa kuwachokoza watoto wao, eti we utulie uwe na heshima, aisee mi ilinishinda nikapasua ukweli, na mambo ya kawa shwari.
So who is mama wa Kambo, nashukuru tu sijaishi na hao wa mama, hadi leo ni mtu mzima, na even hata ikitokea now najua hawezi nitesa mimi, na ole nisikie anawatesa wadogo zangu kudadadeki, baba atajua kama amemuoa yeye au nimemuoa mimi. Waende zao huko
angejitokeza ambaye ni mama wa kambo akamwaga maexperience yake tungepata picha kamili
kuna watoto wanakuzarau sana ukiwa mama wa kambo
....aisee pole sana, huyo mama alikuwa na roho mbaya sana.
Kama unampenda mumeo, itakuaje uchukie mtoto wake? Mie huwa najiuliza sana, sijabahatika tu kuwa mama wa kambo.
Ndugu ukisikia ukatili wanaofanyiwa watoto na wanaume utalia sema tu watu wanaona aibu kusema weka mtoto wako mbali na ndugu wa kiume, baba wa kambo na kwa wengine hata baba mzazi ni shetani!
Nilichomfanya mama wa kambo mpaka leo ananiheshimu kama mtume.......kwani kamwe hawezi kunisahau mpaka anaingia kaburini.........
Yalinikuta ndugu yangu....siunajua dunia tambala bovu.......Mkuu kumbe na wwe,yalikukuta!!
jamani nimehuzunika .. pole mkuuKila nikiomba kwa imani yangu huwa namshukuru Mungu alivyonitoa shimoni kwa kumfumbua macho mzee wangu!
Yule Mama hakuwa binadamu wa kawaida! Niliponea tundu la sindano! Mtu unapigwa huwezi kutembea wala kutambaa na hakuna kupewa chakula umefungiwa stoo kisa ni kukutwa na picha ya marehemu mama yangu, picha pekee iliyokuwa na sura yake! Kipimo chake cha kuacha kupiga ilikuwa ni pale unapokuwa huwezi kuMove kabisa au umeFaint!
Mungu ni Mwema, hakuniacha pamoja na mateso yale!
Ana bahati mtwangio wa pili aliukwepa.....nilitaka nimtegue na kiuno kabisa.....shenz zake....shwainnnn......