Kwanini Mama wa Kambo huwa na Visa?

Kwanini Mama wa Kambo huwa na Visa?

Hawa wamama huwa wana miziki sana usipokuwa mvumulivu....unakata kamba.
 
Mimi nauhakika wewe ni dogo kwangu na nimekuzidi kila kitu. Heshima ni kitu cha bure. Huu si mkwala ila angalia watu wengine si wakutukanwa ovyo.

Dnt be soo sure of urself. Lakini nimekuelewa mkuu.
 
Hawa wamama huwa wana miziki sana usipokuwa mvumulivu....unakata kamba.

Mkuu acha!' Acha kabisa!!
I have seen it all! Mi nikienda misibani simwagi chozi hata msiba uniguse vipi, watu hunishangaa ila naamini machozi yangu yaliisha wakati naishi na mama wa kambo!
Namshukuru Mungu kwa zawadi ya Baba aliyekuwa nguzo yangu pekee kuhakikisha nasimama na maisha yangu! Kama si yeye hakika mmoja kati yangu au yule mama asingekuwa na maisha!
Jamani kuna binadamu wengine ni wanyama japo tunaishi nao majumbani mwetu!
 
Scale hadithia masahibu yako,wababa wenye watoto wa nje wajifunze kitu please.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu acha!' Acha kabisa!!
I have seen it all! Mi nikienda misibani simwagi chozi hata msiba uniguse vipi, watu hunishangaa ila naamini machozi yangu yaliisha wakati naishi na mama wa kambo!
Namshukuru Mungu kwa zawadi ya Baba aliyekuwa nguzo yangu pekee kuhakikisha nasimama na maisha yangu! Kama si yeye hakika mmoja kati yangu au yule mama asingekuwa na maisha!
Jamani kuna binadamu wengine ni wanyama japo tunaishi nao majumbani mwetu!
hahaha ungeua tu wala usingekuwa na kosa yaan hawa wamama waacheni tu kama walivyo wamemeza roho ya simba
 
Mkuu acha!' Acha kabisa!!
I have seen it all! Mi nikienda misibani simwagi chozi hata msiba uniguse vipi, watu hunishangaa ila naamini machozi yangu yaliisha wakati naishi na mama wa kambo!
Namshukuru Mungu kwa zawadi ya Baba aliyekuwa nguzo yangu pekee kuhakikisha nasimama na maisha yangu! Kama si yeye hakika mmoja kati yangu au yule mama asingekuwa na maisha!
Jamani kuna binadamu wengine ni wanyama japo tunaishi nao majumbani mwetu!
Lakini Mungu huwa ni mwaminifu kwetu sote....
 
Kwa kweli mateso ya mama wa kambo yamenisaidia.Alivyonilea kwa kunitesa alijua ananikomoa kumbe ndo alikuwa ananifundisha maisha.Home nilikuwa full kazi huku watoto wake wakiwa huru.Mimi nilikuwa nikitoka shule ni kuchota maji na kuchuku beseni la sambusa kwenda kuuza huku watoto wake waki enjoy.nashukuru mungu nimeendelea na masomo huku watoto wake wakipigika mitaani kwani walikataa shule na washaanza kusumbua kuhusu urithi.Mungu anisaidie ili nisimame na namuombea huyu mama maisha marefu ili aone mafanikio yangu.
 
Mkuu acha!' Acha kabisa!!
I have seen it all! Mi nikienda misibani simwagi chozi hata msiba uniguse vipi, watu hunishangaa ila naamini machozi yangu yaliisha wakati naishi na mama wa kambo!
Namshukuru Mungu kwa zawadi ya Baba aliyekuwa nguzo yangu pekee kuhakikisha nasimama na maisha yangu! Kama si yeye hakika mmoja kati yangu au yule mama asingekuwa na maisha!
Jamani kuna binadamu wengine ni wanyama japo tunaishi nao majumbani mwetu!

Dah nahisi kama stori yangu inaendana na yako
 
Kuitwa mama wa Kambo hilo tuuu ni tatizo.Hapa ni kuielemisha jamii yetu kuelewa haki za watoto na jamii kwa ujumla. Sasa uniambie Ustawi wa Jamii wana jukumu gani katika kuhamasisha hawa mama wa kambo na kuwa reform kuelewa kuwa maisha ni haki ya kila kiumbe kilichopo duniani,:A S 465:
 
Bosco Saronga Makoi

Nilimuondoa meno matatu ya mbele kwa kutumia mtwangio baada ya kunichongea kwa mzee hadi akanipa kipigo cha mbwa mwizi kwa kosa ambalo alilifanya mwanae aliyekuja nae na kunisingizia mimi....kipigo ambacho kilipelekea nikateguka mkono wangu wa kulia...na huo ndio ukawa mwisho wa mimi kuishi kwa mzee....kwani baada ya tukio nilitoroka home.

Pole mkuu jamani hawa wamama wa kambo dah...Mimi ilifikia kipindi tukawa tunanuniana ndani kama mtu na mke mwenza
 
Last edited by a moderator:
Pole sana natumaini ameacha kukutesa sasa na umeonana na mama yako mzazi.
 
Acha tu hawa wamama hawa kama hujaishi nao mziki wake huwezi kuujua. Ijapo si wote ila mwanamke akiwa katili anakua katili kweli sijui huwa wanafikiria nini wanawake wa hivi. Binafsi nalaumu kinababa unapokua na mtoto ambae hukuzaa na mama ulienae jitahidi kuwa karibu nae simaanishi umuulize kala hapana bali ukaribu wako na mtoto itakusaidia kujua mahitaji yake. Kuna wamama wanajua sana kupretend utakuta mzee akiwepo unakua biskuti hadi dingi anashindwa kuhisi chochote.
 
angejitokeza ambaye ni mama wa kambo akamwaga maexperience yake tungepata picha kamili
kuna watoto wanakuzarau sana ukiwa mama wa kambo
 
Dah jamani pole sana ila wengine tunaijua miziki yote ya mama wa kambo na mashangazi aiseeh acha kabisa yaani hii unaambiwa weka mbali na watoto aiseeh!!!!

Yan shangaz anajua kutesa utadhan si mtoto wa kaka ake
 
mi sisemi ila la uchungu halisahauliki
na hv ukubwani juzi tu hapa kuna kitu kanifanya daah
 
....aisee pole sana, huyo mama alikuwa na roho mbaya sana.

Kama unampenda mumeo, itakuaje uchukie mtoto wake? Mie huwa najiuliza sana, sijabahatika tu kuwa mama wa kambo.
 
Dawa ya mama wa kambo ni kusoma kwa bidii kama upo primary soma kwa bidii, kama upo sekondari au chuo kaza buti sana, mimi naye ni muhanga wa mama wa kambo ila Mungu ni mkubwa nilisoma kwa uchungu na bidii kubwa kwa ku-recall mateso aliyopata mama yangu toka kwa mzee na baada ya kutengana maisha aliyoishi mama yangu, kwa hiyo dawa pekee ya kuwamaliza hawa ni kusoma tu kwa bidii kubwa.

umemaliza thnxxxxxx
 
Back
Top Bottom