Kwanini Mama wa Kambo huwa na Visa?

Kwanini Mama wa Kambo huwa na Visa?

superstar1

Wazazi wangu walitengana nikiwa na umri wa miaka minane tu..!!!

Umenikumbusha maisha ya utotoni...!!! Nilala barazani... Nilishinda/Nililala njaa...Nilichapwa viboko (tena uchi wa mnyama..)... Mama wa kambo ni Ibilisi...!

Pole kwa changamoto hizo ndg....naamini kwa sasa Mungu hajakupungukia!
 
Last edited by a moderator:
Kulea damu ambayo sio yako sio kazi ndogo ujue. Ni rahisi kumtreat house girl vizuri au house boy vizuri coz unajua hakuna collision of interest.
 
Kwa sababu watoto wa kambo huwa Na visa,mama zao pia huwa Na visa vinavyopeekea kumpomza mtoto hasa mama mlezi asipokua Na akili,nnakesi ya ajabu ililetwa ofisini,
 
Back
Top Bottom