Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,648
Last edited by a moderator:
Nilimuondoa meno matatu ya mbele kwa kutumia mtwangio baada ya kunichongea kwa mzee hadi akanipa kipigo cha mbwa mwizi kwa kosa ambalo alilifanya mwanae aliyekuja nae na kunisingizia mimi....kipigo ambacho kilipelekea nikateguka mkono wangu wa kulia...na huo ndio ukawa mwisho wa mimi kuishi kwa mzee....kwani baada ya tukio nilitoroka home.....
Ana bahati mtwangio wa pili aliukwepa.....nilitaka nimtegue na kiuno kabisa.....shenz zake....shwainnnn......hahahaha ulimfdanya vizur sana ungemaliza yote mdomon mkuu
Kiukweli mie namshukuru Mungu nimeishi na mama wa kambo kuanzia darasa la kwanza mpaka namaliza shule hajawahi nitesa
Dawa ya mama wa kambo ni kusoma kwa bidii kama upo primary soma kwa bidii, kama upo sekondari au chuo kaza buti sana, mimi naye ni muhanga wa mama wa kambo ila Mungu ni mkubwa nilisoma kwa uchungu na bidii kubwa kwa ku-recall mateso aliyopata mama yangu toka kwa mzee na baada ya kutengana maisha aliyoishi mama yangu, kwa hiyo dawa pekee ya kuwamaliza hawa ni kusoma tu kwa bidii kubwa.
Nilichomfanya mama wa kambo mpaka leo ananiheshimu kama mtume.......kwani kamwe hawezi kunisahau mpaka anaingia kaburini.........
Bosco Saronga Makoi
Nilimuondoa meno matatu ya mbele kwa kutumia mtwangio baada ya kunichongea kwa mzee hadi akanipa kipigo cha mbwa mwizi kwa kosa ambalo alilifanya mwanae aliyekuja nae na kunisingizia mimi....kipigo ambacho kilipelekea nikateguka mkono wangu wa kulia...na huo ndio ukawa mwisho wa mimi kuishi kwa mzee....kwani baada ya tukio nilitoroka home.
Nilimuondoa meno matatu ya sebureni bila ganzi...........Ulimfanyaje
munisijo kiukweli yule mama ana roho yake kanikuta nasoma primary za st.kayumba ila sekondari kanitafutia shule nzuri sana na alikuwa anahakikisha naenda vizuri shule japo alikuwa anapinga nisipewe hela nyingi na mshua.Mie mshua wangu alikuwa mpole sana na nilikuwa kipenzi chake sasa nilikuwa nikienda shule anachukua either sabuni za kuogea au dawa ya mswaki ananiwekea hela maana yeye ndio alikuwa ananifanyia shopping utasikia ananisisitizia kuwa hakikisha hiyo dawa unaitunza watu wanadhani mshua mbahili kumbe kuna pesa ndani yake
Ana bahati mtwangio wa pili aliukwepa.....nilitaka nimtegue na kiuno kabisa.....shenz zake....shwainnnn......
Najisifia kumtwanga mama wa kambo.....Unajisifia nini hapa!!???
Bosco Saronga Makoi
Nilimuondoa meno matatu ya mbele kwa kutumia mtwangio baada ya kunichongea kwa mzee hadi akanipa kipigo cha mbwa mwizi kwa kosa ambalo alilifanya mwanae aliyekuja nae na kunisingizia mimi....kipigo ambacho kilipelekea nikateguka mkono wangu wa kulia...na huo ndio ukawa mwisho wa mimi kuishi kwa mzee....kwani baada ya tukio nilitoroka home.