Kwanini Mama wa Kambo huwa na Visa?

Kwanini Mama wa Kambo huwa na Visa?

soma journals na articles za research majibu utayapata yote huko. kuhusu kuacha pesa unamwachia mkeo lakini kukaa na watoto wako kujua hali halisi unafikiri nani anatakiwa kufanya hivyo? ni baba wa jirani au wewe baba mzazi? kuhusu kupendelea sipendelei upande wowote nimewaona wababa na wamama wa kambo wenye roho mbaya na si kwa binadamu tu hagta kwa wanyama kama unafuga wanyama angalia tu kifaranga cha kuku kipotee njia kiende kwa mama mwingine utaona kitakavyofukuzwa. so kwa bnadamu ni hivyo hivyo ila naona watu wengi wanalaumu sana mama wa kambo! ila ukweli wote wanaroho mbaya jitahidi uzae mtoto wako na mtu utakayeishi nae mpk siku ya kifo.
Sasa unaniambia mimi naacha pesa tu unanijua? Unajua aina ya maisha nayoishi na watoto wangu? Jadili hoja iliyoko jamvini. Halafu ni wewe peke yako ndiyo umeona? Ina maana wengine wote hatuoni ni wewe tu?!
 
mmesema kuhusu mama lakini kunawatoto wa kambo ambao ni washenzi sana.kazi ulizofanya mamako akiwepo ukiambiwa saa hizi unateswa.unakuja na motive ya kumrudisha mama yako kwa baba yako kwani baba yako hakumuona mamayako? kwanin asimuoe waishi?mama wazazi wengine kashaachika ila anatafuta sababu zakukaa pamoja anamtuma mtoto kufanya vitu vya ajabu.unadhani nirahisi kumpenda?unajitahidi kumpenda anakujibu fyongo.mama wakambo ni binadamu anadamu na nyama hakuna mtu ambaye hapendikuishi kwa raha kama mama wa kambo hajakufanyia ubaya usimzulie baya.Mungu anaishi hatawewe unawezakua alafu utajua jinsi ilivyongumu


sasa kama ni hivo si bora mtoto arudi kwa mama yake mzazi manake hapo itakuwa visa tu..lakini unapomkuta mtoto mdogo wa miaka 5 ivi afu unamnyima chakula ni sawa? kwa sababu mimi mama wa kambo kanikuta mdogo sana na akawa ananichukia tuu bila sababu..in fact mi hata nilikuwa sijui makosa au kosa nilofanya tena nikiwa mdogo isipokuwa ni mateso yasiyoisha..

hata mimi ni mwanamke lakini nasema simuachi mtoto wangu kwa mama wa kambo na pia sitaki kulea mtoto wa kambo huyo baba bora amtunze huko huko kwa mama yake..kila mtoto na alelewe na mama yake
 
sasa kama ni hivo si bora mtoto arudi kwa mama yake mzazi manake hapo itakuwa visa tu..lakini unapomkuta mtoto mdogo wa miaka 5 ivi afu unamnyima chakula ni sawa? kwa sababu mimi mama wa kambo kanikuta mdogo sana na akawa ananichukia tuu bila sababu..in fact mi hata nilikuwa sijui makosa au kosa nilofanya tena nikiwa mdogo isipokuwa ni mateso yasiyoisha..

hata mimi ni mwanamke lakini nasema simuachi mtoto wangu kwa mama wa kambo na pia sitaki kulea mtoto wa kambo huyo baba bora amtunze huko huko kwa mama yake..kila mtoto na alelewe na mama yake

niupunguf wa imani na akili kumnyima chakula mtoto hata mtumzima tu haifai.ila wanaume wawe responsible kwa matendo yao wanaume niwachonganishi.mtu huna future nae unazaa nae wanini?mtu umemchoka kwanini wewe uliwchoka usiwe wa kwanza kutoka nyumban unaamua kumfukuza mkeo aache watoto?jamani sio kitukidogo kulea mtoto wa mwenzio inahitaji roho wa Mungu.vinginevyo unaweza kufanya vitu vya ajabu.
kuna wamama wengine wanamalengo kaachwa ila bado anatamani na mara nyingine kaachwa kwa upumbavu wake mwenyewe basi hawezi nyamaza kila siku analeta zogo kwa mwenzie tena analeta zogo kwamtu anaekaa na watoto wake hivi unategemea nini kutokea? tuweresponsible kwa matendo yetu.
Pole ulielelewa na mama wa kambo mbovu.wengine tulipata bahati ya kuelewana na mama wakambo kuliko mzazi
 
niupunguf wa imani na akili kumnyima chakula mtoto hata mtumzima tu haifai.ila wanaume wawe responsible kwa matendo yao wanaume niwachonganishi.mtu huna future nae unazaa nae wanini?mtu umemchoka kwanini wewe uliwchoka usiwe wa kwanza kutoka nyumban unaamua kumfukuza mkeo aache watoto?jamani sio kitukidogo kulea mtoto wa mwenzio inahitaji roho wa Mungu.vinginevyo unaweza kufanya vitu vya ajabu.
kuna wamama wengine wanamalengo kaachwa ila bado anatamani na mara nyingine kaachwa kwa upumbavu wake mwenyewe basi hawezi nyamaza kila siku analeta zogo kwa mwenzie tena analeta zogo kwamtu anaekaa na watoto wake hivi unategemea nini kutokea? tuweresponsible kwa matendo yetu.
Pole ulielelewa na mama wa kambo mbovu.wengine tulipata bahati ya kuelewana na mama wakambo kuliko mzazi


mmmhhh mi hata sitaki kukumbuka habari ya mama wa kambo...yaani yule mama alifariki mimi nikiwa chuo lakini kwa aliyonitenda hata kwenye msiba wake sijaenda na wala sikuhuzunika eti nimefiwa!!!!!!! yaani kwangu ilikuwa ni habari ya kawaida tu...niliendelea na ratiba zangu za shule as if nothing happened..
niliporudi nyumbani wakati wa likizo wala hata sikumpa babangu pole ya kufiwa na mkewe yan nilijikausha kama hakuna kilichotokea.. mimi naamini yule mam wa kambo hakuwa binadamu labda jini
 
hahaaaaa pole kamusi.mimi na mama yangu dam dam ila kaka yangu ndio mshenzi vbaya mno hakuwahi kumpenda huyu mama alitupokea mimi namiaka 7 kaka 10,uo wazimu wakaka yangu ulinitia kwenye matatizo mengi.sikumoja tulienda kumsalimia mama tukiondoka mama alitugaia picha zake ila tusimuoneshe mtu.nilizikataa katakata kaka alizichukua akaja kubandika kwenye kabati weeeeee kilichojiri staki kusema.kaka hakua anagusa ata chombo na yule mama alituwekea mfanyakazi ila alikua hata akiombwa maji anamind.worse enough alitumwa akaongeze mboga jikoni ile kuongeza tu akatemea mate alafu kwa ujinga hakukoroga weeeee nadhani unaelewa.
mimi ni mama wa kambo pia moja ya vitu nilivyohusiwa nikukaa vzur na huyu mtoto ata kama mama yake mzazi mshenzi
 
Mama wa kambo tuna taabu!!!
Hapana mkuu mama wa kambo hana tabu iwapo atatambua wajibu wake na hasa kutokua mbaguzi. Mdogo wa rafiki yangu alikuta mumewe ana mtoto mdogo sana basi walikubaliana wakaoana na kuanza kuishi na yule mtoto.Kilichotokea mama wa mtoto akawa na mahusiano ya karibu na ndugu wa mume na kuanza kumfanyia visa vingi mama huyu na wakati mwingine mama wa mtoto alimpa dawa mwanae akamuwekee mamake wa kambo. Lkn kila mara alifumwa si unajua watoto tena huwa hawako makini. Ila yule mama aliendelea kumlea yule mtoto vizuri na alitunzwa kuliko kawaida.

Ninachotaka kusema ukiwa nafac ya mama tenda kwa haki usimtese mtoto wa mwenzio hata akirubuniwa elewa ni utoto na jitahidi kujua kuwa kuna pressure anazopata toka nje. Kumbuka hata watoto wetu wana mapungufu kiasi unajiuliza hivi huyu mwanangu angekua anaishi na mtu ambae si mamake ingekuaje . Kumbuka wema hauozi kila utakalo mtendea mtoto huyo ikiwa ni jema atakumbuka akikua yawezekana leo ikawa ngumu kuliona hili lkn baadae atakumbuka na kuuthamini mchango wako.
 
Me nilichoshwa na mateso ya mama Wa kambo .. Nkamtia kisu cha shingo
Tangu Siku Hiyo hakuniletea ujinga nilimwambia nakuua . nilikuwa darasa la NNE.
 
Me nilichoshwa na mateso ya mama Wa kambo .. Nkamtia kisu cha shingo
Tangu Siku Hiyo hakuniletea ujinga nilimwambia nakuua . nilikuwa darasa la NNE.

Hahahahahaha ila kina baba nao wana kamchango kao
ni vyema wakawa karibu sana na watoto zao wakati wote ili kuweza kubaini
 
atoto na wewe ni step?aisee tuanzishe chama banaa

Yeah my dear, kuishi na mtoto wa mtu taabu haswa mamaye akiwa hai alafu ana chokochokoo, mtoto akienda kumsalimia akirudi unaona tu mabadiliko, unajua tu tayari ashalishwa upepo!
 
Ndio muache kuoa bila mpangilio vumilianeni mtunze watoto wenu na c mama wa kambo
 
yani wewe atoto naona tunasail kwenye same boat.nipo hapa kwamama leo mpaka nimemuonesha huu uzi.mimi kaka yangu anaongea mateso aliofanyiwa na huyu mama ila mimi hajanitesa niseme mbele za Mungu.nakumbuka vizur sana.ningumu mtt kulelewa na mtu sia yake atataka mama yake awepo tu.mi mzazi mwenza alizalishwa huko hakuolewa tena aliingilia uhusiano wangu.siku za kwanza alikua ananiogopa ila siku hizi mh..anajitahidi kumdai mtoto akakae kwake alafu anapiga simu matumizi .mkisema aende arudi mtt anarudi kimeo vibaya ila ananyooka ndio raha yake.mnakua marafikiii akienda kwa mama yake tu dah!
 
Duh nimejifunza mengi kwakweli japo nimelelewa na wazazi wangu wote wawili, polen kwa mlioteswa ila omben maisha marefu na ndoa zenye utulivu ili watoto wenu na wangu pia wasijeteseka kama ilivokua kwenu
 
Sasa unaniambia mimi naacha pesa tu unanijua? Unajua aina ya maisha nayoishi na watoto wangu? Jadili hoja iliyoko jamvini. Halafu ni wewe peke yako ndiyo umeona? Ina maana wengine wote hatuoni ni wewe tu?!

nimeona kwa sababu nimeona jua kuwa muda mrefu sana na pia nilibahatika kushuhudia na kuhoji vitendo vya kinyama wanavyofanyiwa watoto si kila unyama unafanyika mchana watu wote waone. unyama mwingine unafanyika usiku na wahusika huwa wananyamaza. kuna baadhi ya walimu wa shule za msingi wanajua sana hivi visa ili ndio hivyo yanaishia kifamilia.
sikujui lakini unavyosound wala sitashangaa nikisikia unabuswd mtoto au mwanamke yoyote coz uko na some character. tukemee unyanyasaji wa watoto si kwa kina mama tu hata kinababa na jamii kwa ujumla otherwise tutakuwa na taifa la watu waliobitter na visasi.
 
nimeona kwa sababu nimeona jua kuwa muda mrefu sana na pia nilibahatika kushuhudia na kuhoji vitendo vya kinyama wanavyofanyiwa watoto si kila unyama unafanyika mchana watu wote waone. unyama mwingine unafanyika usiku na wahusika huwa wananyamaza. kuna baadhi ya walimu wa shule za msingi wanajua sana hivi visa ili ndio hivyo yanaishia kifamilia.
sikujui lakini unavyosound wala sitashangaa nikisikia unabuswd mtoto au mwanamke yoyote coz uko na some character. tukemee unyanyasaji wa watoto si kwa kina mama tu hata kinababa na jamii kwa ujumla otherwise tutakuwa na taifa la watu waliobitter na visasi.
You need some serious psychiatric counseling. No wonder you are a bibi.com (It says volumes about you!)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom