angelita
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 3,017
- 2,445
Ndiyo uje sasa tuyajenge.Nipe nafac halaf utaona
Ndiyo uje sasa tuyajenge.Nipe nafac halaf utaona
haiba wakati wao wanaona utaitaa kua hvyoo...Sawa mkuu..Ila mwanamke awe na haiba....
Hapo umenenaNdiyo uje sasa tuyajenge.
Rafiki habari yakoWachache sana wenye haiba hao wengine utafikili hawajazaliwa na kufundwa wametapikwa
ha ha haha pole yako siitaki mzeeTeh teh ..Pole sana mzee
na huu ubonge kama nakuona ulivyocheka ulivyotumiwa picha zangu li shunie lenyewe ndio lipo hivi mbele hajulikani nyuma hajulikani kuamshiwa dude ndio kiki ya jf bamdogo niamshie tu jamaan ila uzi hautadumu
kama lipipa halafu unawekwa jukwaa la wakubwaWengine utahira wao wa msimu, mwezi ukiwa mchanga tu shida, umakini wa hali ya juu unahitajika.umakini unahitajika aiseee matahira ni wengi ila baby hana hizi mambo jamaan atanisitiri ila utahira si mzuri kabisa
Ni kweli mkuu ni malezi na mazingira ya makuzi ya mtu na aina ya maisha mtu amechagua kuishi bada ya kuanza kujitegemeayaaani kuna watu hawajitambui kabisa
sio kua wewe unaishi enzi za ujima
hapanaa...wewe umelelewa ukaleleka..
ukawaelewa wazazi wako au walezi wanachotaka uingie nacho mtaani
sent from motorola bapa and nokia jeneza
NakusubiriHapo umenena
Kuna mtu anazuia pm zangu nn mbona nmetuma mbiliNakusubiri
Salama unanikimbia kila nikikuquote unanichunia jamaan au ndio ile ban antonioRafiki habari yako
![]()
![]()
![]()
kama lipipa halafu unawekwa jukwaa la wakubwa
sent from motorola bapa and nokia jeneza





geni acha tu haya mambo yanatisha jamanAcha bwana.... Manga anazo hizi taarifa maana mimi ulishanifanya ndugu hata pakukuanzia sina.na huu ubonge kama nakuona ulivyocheka ulivyotumiwa picha zangu li shunie lenyewe ndio lipo hivi mbele hajulikani nyuma hajulikani kuamshiwa dude ndio kiki ya jf bamdogo niamshie tu jamaan ila uzi hautadumu
Sanaaa mamy tena mtu unaweza kumuona jukwaani mstaarabu kumbe hakuna mshenzy kama yeyeWengine utahira wao wa msimu, mwezi ukiwa mchanga tu shida, umakini wa hali ya juu unahitajika.
Lipipa au umbo kama Tangawizi au ramani ya Afrika.![]()
![]()
![]()
kama lipipa halafu unawekwa jukwaa la wakubwa
sent from motorola bapa and nokia jeneza



Hahahahahahahha, kuna watu hawapendi wenzao wafurahi.Kuna mtu anazuia pm zangu nn mbona nmetuma mbili
Acha bwana.... Manga anazo hizi taarifa maana mimi ulishanifanya ndugu hata pakukuanzia sina.


huyo akipata picha zangu anaweza nifungulia uzi aisee ana hasira na mimi
Kweli kabisaUtoto na ushamba unawasumbua baadhi ya watu humu.
Ushamba ni mzigo