Umaarufu Upi nautafuta kwa mvulana mnafiki.?Nonsense.
Endelea kuniqoute upate umaarufu...
Nastahili.
Tunadalilishwa na wachachesana tuu ..aibu ptuuuu
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Nonsense + Uswahili.Umaarufu Upi nautafuta kwa mvulana mnafiki.?
Daby wewe ni...
Mbea
Mnafiki
Shankupe..
Ndumilakuwili ( moja haikai mbili haikai?)
Ndizo sifa zako huku.
Je ndiyo umaarufu unaouzungumzia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mamiingoja niende nkuite
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Heeee utazaa mtoto shilawadu mpz.Wee mama wewe hebu niachie baby wangu kabla mimba haijatoka hii![]()
Mtoe siasa na bia mbiliHilo dada nmetamani kulijua
Asante mkuu na hili huwa linagunduliwa na wanaume wenye akiliUna akili
Mtoto akikanyaga nyaya atachezea kichapo hatari.Kwa hisan ya eatv
[Color= yellow]Triple A[/color]
Mtt akililia wembe mpe acheze naoMtoto akikanyaga nyaya atachezea kichapo hatari.
Acha bana mwenzio ntajifungua siku si zangu ujue.Heeee utazaa mtoto shilawadu mpz.
Baby wako ni mnafiki mbea soudbrouwn anakaaa.
Unanipa kazi ya kuanza maombi mtoto asiridhi tabia za baba yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kuna ka ukweli vileNakuona unatoa maushauri
Kwa nini sasaHuyu cute b nlikuwa nataka nikampe sera zangu za chama na serikali lkn nmeshaogopa bora nitafute mama nyingine
Hivi we jirani unampango wa kunitongoza lini jamani? Mbona unachelewa aseeMi nikimtongoza mtu humu akinikataa siwezi kumuacha salama..Lazima kashfa imuhusu
Wololooo!!!!!
Utaninyima asist halaf uje kunisangarahisha humu