Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,194
Waliowahi kuprivate? Unajua wapo wangapi?Wamezidi tabia. Mhenga tukiwapata wanaume wa hivi Mara moja moja mbona wataacha umbea tuu.
Waliowahi kum private massage wajiandaa kuja kuvuliwa nguo hadharani .
Midume minafiki hii ndiyo dawa yao lazima uwachane direct.
Watu sampuli yenu ndiyo mtaongea juu yangu haya maana tunaqoutiana Humu tu hamnijui japo 20%.
Na wanakusoma hapa wanakushangaa. Endeleeni kujimwaya mwaya na shoga ako.....