Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Lakini si nimekuta uzi haujafungwaumechelewaaa![]()
![]()
![]()
![]()
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Lakini si nimekuta uzi haujafungwaumechelewaaa![]()
![]()
![]()
![]()
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Ndugu usiwe mnafiki tuu.Asalalaleeeeeeeeee!!!!
Kumbe n kubaya hiv
[Color= yellow]Triple A[/color]
Watuache tule ubuyu weekend imalizike vizuriumeona eeehhh....maana mods nao!!!![]()
![]()
![]()
wanakeraa
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Umeona eeeh. Matukio muhimu haswaa![]()
![]()
![]()
![]()
ya leo kali mhenga wewee...ni wa kwenye matukio tuu!!!mhimu tuu
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Ha ha ha ha yaan likitoka ili linakuja lile, heshima yake huyu mhenga wa sasa hivi aliekuja kunogesha kijiwe![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Bundle lako tu naona
Skuhiz kila week end jf n tam
Co kitoto
[Color= yellow]Triple A[/color]
sana tu mimi mengi napotezeaga mnooWatu wajifunze kutokutilia maanani sana yatokeayo humu hususan chini ya haya majina bandia.
Nitag huko sasa nikajioneee jamani dark angel. Hebu pulisss memda kanitagHuyu kaka ni mnafiki.
Ukisoma ule Uzi wake ndiyo malumbano ya Jana kati ya cute b na mhenga mwenzetu rubii kupamba moto.
Alitoa siri pm na kwenye kuwasilisha akawasilisha kana kwamba cute na Raimundo ni wapenzi. ( baadae akasema siyo wapenzi) rubii bila kujua akamwita cute wifi . vita ikaanza.
Sasa hapo ni wazi licha ya unafiki pia ni mchochezi.
Cc maserati.
Shost huku umeme umekatika movie na watch hapaaaa
Nakufahamusana tu mimi mengi napotezeaga mnoo
na nkiona dalili ya kutaka kudhalilika nakaa pembeni mapema
'mie ni kunguru muoga'
sent from motorola bapa and nokia jeneza


Wamezidi tabia. Mhenga tukiwapata wanaume wa hivi Mara moja moja mbona wataacha umbea tuu.
Waliowahi kum private massage wajiandaa kuja kuvuliwa nguo hadharani .
Midume minafiki hii ndiyo dawa yao lazima uwachane direct.
my@Bonny where are you...?!!!Haswaaaaa!!! Kama skar ndoHa ha ha ha yaan likitoka ili linakuja lile, heshima yake huyu mhenga wa sasa hivi aliekuja kunogesha kijiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa uwezo wako wa un'gamuzi eeh... then you're right.
Daby aanzishe uzi walumbane wengine... hii kali ya mwaka
Kama haujui kitu uliza hata kwenye groups zenu za whatsap. Mwenzako alihusishwa na Raimundo uzi wa kwanza kabisa labda hapa unapaka rangi tu.
Kweli nitakuwa mchochezi wa kumbukumbu za Dunia mimi kuanzisha uzi halafu watu nisiajuana nao angalau pm wagombane kwa uzi wangu.
sana tu mimi mengi napotezeaga mnoo
na nkiona dalili ya kutaka kudhalilika nakaa pembeni mapema
'mie ni kunguru muoga'
sent from motorola bapa and nokia jeneza