Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

Focus tu na mambo mengne wananchi wanajua izo tuhuma niza kutengenezwa na wala akuna mwananchi anaye amini katika izo tuhuma sana sana ndo mnawapa molali ya kuchangia chama zaidi na zaidi
 
Kwa hiyo ina maana kulikuwa na watu wanamchangia au sio?
Na wewe umesombwa na ujinga wa tuhuma kuhusu Hence? Ili uchunguzi ufanyike huwa malalamiko yanawasilishwa wapi? Au unaweza kuonesha ushahidi wa hizo tuhuma?
Wachunguzi kutoka CHADEMA wataanzia wapi wakati Accounting Officer ameshasema hakuna pesa iliyipotea?
Au Heche hatakiwi kuchungwa na TAKUKURU?
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
Vipi tuhuma za EPA, ESCROW, RICHMOND, MERENETA, DOWANS, na ripoti kadhaa za C.A.G zimewahi kuchunguzwa?
Na nini matokeo yake?.
 
Hapo wachangiajii ilibidi wajue pesa inaenda kwa heche au inaenda kwenye chama basiii
 
Kwanza nikuweke sawa kuwa mimi si mwana CHADEMA na sijawahi kuwa affiliated na chama chochote cha siasa, natamani tu nchi iwe na fact-based human rights na civil liberties.
Wewe wasema. It makes no difference.
Nchi inahitaji a very sound and strong opposition party(parties) ili pawe na checks and balances si kama ilivyo sasa ambapo watu wanatekwa, wanalawitiwa na askari wanaoishi kwa kodi za wananchi, wanauawa, media houses zinatishiwa matokea wamekuwa chawa wa Samia na mafisadi wenzake hivyo chochote kinachofanyika kudhoofisha opposition ili CCM iendelee kuiburuza nchi na kuburuza raia itakavyo bila ya kuwa accountable.
Hakuna anayekataa haja ya kuwa na that kind of opposition. Ndio maana nashangaa kwa nini mnatumia muda mwingi kuwachafua wapinzani wengine ambao hawana mtazamo kama wenu?
Hata CHADEMA wakiwa madarakani we'll be squeezing them ili wasiitoe nchi nje ya reli, yeyote ambaye hayuko affiliated na vyama vya siasa internal conflict za vyama si muhimu kama ilivyo ubadhilifu na uhujumu wa kodi za wananchi na rasilimali za taifa. Kuna watu kwa makusudi kabisa wanataka kulinganisha internal conflicts za vyama na uhujumu wa rasilimali na fedha za umma kwa lengo la kutoa watu kwenye focus ya yaliyo muhimu kwa taifa.
Hayo ni maneno tu. Ingekuwa kweli, msingesita kuwakosoa wanapokosea. Huko kufumbia macho so-called internal conflicts ndio zimetufikisha hapa tulipo. Mimi nilitegemea chama kinacho jinasibu kuwa ni cha demokrasia kinge chukua tuhuma zozote za ubadhirifu ndani ya chama chao the seriousness they deserve. Hasa ukizangatia aliyekuwa Makamu Mwenyekiti alivyosisitiza kuwa tuhuma za ubadhirifu zilizotolewa na Msigwa zisikilizwe. Msigwa huyo ambae alikimbilia kwa Abdul baada ya kutoa tuhuma hizo. Hii selective outrage ndio inatufanya wengine tusiwaamini.
Heche na fedha zao za tonetone au za kutoka kwingine kokote kule hazigusi kodi zetu, haziathiri mfuko wa hazina wala haziathiri maliasili za taifa letu.
Kama kweli Heche aliiba michango ya aina yeyote hastahili kuwa kiongozi wa chama ambacho kina uwezekano wa kushika dola siku moja. Mtu mwenye tabia hiyo hatasita kuchota kwenye mfuko wa hazina kwa matumizi yake. Ni muhimu sana ashughulikiwe kabla hajapata nafasi hiyo. Kama Heche anasingiziwa basi baada ya uchunguzi atakuwa na moral authority zaidi ya kukemea yanayo endelea.
Wengi wa waliovalia njuga ya michango ya CHADEMA huwa hawalalamiki jinsi mali za nchi zinavyokuwa squandered na mafisadi.
CCM receives billions kutoka kwa wafanyabiashara but we never give a damn on how they spend their money japo tunajua huwa hao wafanyabiashara wanatafuta fevers za misamaha ya kodi na tenders za serikali lakini linapokuja suala la matumizi ya kodi na wizi/uhujumu/ubadhilifu wa rasilimali na mali za umma huwa lazima tupinge kwa namna yoyote ile.
Hii argument holds no water. Kwa sababu watu hawalalamiki kuhusu kitu kimoja hakiwanyimi haki ya kulalamikia mengine. Inawezekana kabisa kuwa viongozi na wanachama wanaolalamika wanatumiwa na CCM ambacho sio kitu cha ajabu. Kutokana na uwezekano huu, sisi wengine tulitegemea kuwa Chadema ingetumia mwanya huo kuonyesha kuwa wao ni tofauti na hawatavumilia harufu yeyote ya ufisadi na ubadhirifu popote itakapotokea. Utetezi kuwa aliyempa pesa Heche ni mfanyabiashara mwenzake kunatia wasiwasi kuwa nia yake, isije ikawa kawa anajipanga kumtumia pale atakaposhika madaraka. Hii nchi haihitaji viongozi ambao wako beholden kwa wafanyabiashara.

Amandla...
 
@JokaKuu
..Nilesh Suchak tajiri wa Kihindi ambaye watoa tuhuma walidai ametoa fedha kwa John Heche amekanusha kufanya hivyo.

..vilevile Nilesh amesema yeye ni mwana Ccm na amemchangia Mama Samia shilingi milioni 500 wakati wa kampeni.

..tatizo lingine ni kwamba wanaotoa tuhuma hizo ni wahuni kama Habib Mchange ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakiipiga vita Chadema.

..mtoa tuhuma mwingine ni Shekhe Mwaipopo ambaye pia ni mhuni mhuni na amekuwa akitumika kuvisakama vyama vya upinzani akishadidia ajenda za udini.

..Shekhe Mwaipopo pia alitumika na serikali na Ccm dhidi ya wananchi wa Kusini wakati ule wa sakata la gesi ya Mtwara.

..Serikali kipindi kile ilipeleka majeshi mikoa ya kusini na kuwashambulia vibaya wananchi.

..Vilevile watoa tuhuma wanaonekana kama ni watu waliopangwa. Wote wanatoka ktk maeneo yao ni kuja Dsm kufanya press conference ktk sehemu moja.

..La mwisho ni baadhi ya watoa tuhuma kudanganya wasifu wao wakati wakitoa madai yao. Wako waliodanganya majina yao. Wako waliodanganya kuhusu nyadhifa zao ndani ya Chadema.

..Nadhani ukizingatia yote hayo hapo juu utaona kwamba hakuna sababu za kuridhisha kuanzisha uchunguzi dhidi ya John Heche.

..Kikubwa tunapaswa kujiuliza ni malengo ya wanaotoa tuhuma. Nani amewatuma na kuwafadhili
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
tupo busy kwanza kuhakikisha waliouwa watanganyika MO29 wanachunguzwa na ICC kwanza
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
Kati ya watu watano niliokuwa nikiwaheshimu humu! Kupita kiasi tangu 2012...na wewe ulikuwa miongoni mwao!

LEO UMEJIVUA NGUO MBELE YANGU!...TAKATAKA WAHED!
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
Kwan heche ni muweka hazina wa chama?

Aisee asali ni tamu
 
Pure crap or Pure thing... What goes around comes around.

I'm eager to uncover the truth behind the rumors surrounding Heche. If many members believed Mbowe was corrupt during the elections without any evidence, why are they now demanding proof? Why so much Chawaism against these elegations?
Watanzania wakipiga sauti kwa Yale majizi pale lumumba nchini itatawalika kweli???
Kwann tusianze na taarifa za CAG kwanza kama kweli mnauchukia wizi?
Ungekuwa na akili kwanza ungehoji heche kapewa pesa na nani, lini, wapi na kwa sababu Gani?
Mlalamikajo amelallamika?
Kapewa kama makamu au kama heche?
Vinginevyo wewe ni kikaragosi. Tu usoye jielewa? Unalijua nyumba ya Samia kule mbweni? Ulishawahi kuhoji pesa alitoa wapi wakati ni kiongozi wa umma?bona Nyerere hakuwa na nyumba kama Ile? Je naye achunguzwe???
Yupo wapi balozi Humphrey polepole?
Unajadili mambo ya kipuuzi ya heche wakati nchi inaporwa?
Unaakili kweli wewe
 
Sababu ni hii picha:
 

Attachments

  • downloadfile(43).jpg
    downloadfile(43).jpg
    128 KB · Views: 7
Ni majibu kama haya ndio huwa tunapewa na CCM miaka yote! Kwenye uongozi wa Wananchi hakuna kitu kibaya kama tuhuma, uongo ukiuachwa utembee hugeuka kuwa Ukweli.
Na trust me, this will cost them big time.. Tupo hapa..
Unataka kusemaje?,kwamba huu uongo umeshasambaa kiasi cha majority kuamini kwamba Heche amekula hela za tonetone?.

Pita hapo mitaa unayoishi tangaza hadharani kwamba Heche amekula hela za tonetone halafu tulia hapo hapo sikilizia reaction ya raia!. Usichoke nenda na mitaa mingine fanya hivyo hivyo!
 
Watanzania wakipiga sauti kwa Yale majizi pale lumumba nchini itatawalika kweli???
Kwann tusianze na taarifa za CAG kwanza kama kweli mnauchukia wizi?
Ungekuwa na akili kwanza ungehoji heche kapewa pesa na nani, lini, wapi na kwa sababu Gani?
Mlalamikajo amelallamika?
Kapewa kama makamu au kama heche?
Vinginevyo wewe ni kikaragosi. Tu usoye jielewa? Unalijua nyumba ya Samia kule mbweni? Ulishawahi kuhoji pesa alitoa wapi wakati ni kiongozi wa umma?bona Nyerere hakuwa na nyumba kama Ile? Je naye achunguzwe???
Yupo wapi balozi Humphrey polepole?
Unajadili mambo ya kipuuzi ya heche wakati nchi inaporwa?
Unaakili kweli wewe
Huyu aseme Kwanza yeye amelipwa sh ngapi kueneza hiki anachokieneza humu!
 
Wewe wasema. It makes no difference.

Hakuna anayekataa haja ya kuwa na that kind of opposition. Ndio maana nashangaa kwa nini mnatumia muda mwingi kuwachafua wapinzani wengine ambao hawana mtazamo kama wenu?

Hayo ni maneno tu. Ingekuwa kweli, msingesita kuwakosoa wanapokosea. Huko kufumbia macho so-called internal conflicts ndio zimetufikisha hapa tulipo. Mimi nilitegemea chama kinacho jinasibu kuwa ni cha demokrasia kinge chukua tuhuma zozote za ubadhirifu ndani ya chama chao the seriousness they deserve. Hasa ukizangatia aliyekuwa Makamu Mwenyekiti alivyosisitiza kuwa tuhuma za ubadhirifu zilizotolewa na Msigwa zisikilizwe. Msigwa huyo ambae alikimbilia kwa Abdul baada ya kutoa tuhuma hizo. Hii selective outrage ndio inatufanya wengine tusiwaamini.

Kama kweli Heche aliiba michango ya aina yeyote hastahili kuwa kiongozi wa chama ambacho kina uwezekano wa kushika dola siku moja. Mtu mwenye tabia hiyo hatasita kuchota kwenye mfuko wa hazina kwa matumizi yake. Ni muhimu sana ashughulikiwe kabla hajapata nafasi hiyo. Kama Heche anasingiziwa basi baada ya uchunguzi atakuwa na moral authority zaidi ya kukemea yanayo endelea.

Hii argument holds no water. Kwa sababu watu hawalalamiki kuhusu kitu kimoja hakiwanyimi haki ya kulalamikia mengine. Inawezekana kabisa kuwa viongozi na wanachama wanaolalamika wanatumiwa na CCM ambacho sio kitu cha ajabu. Kutokana na uwezekano huu, sisi wengine tulitegemea kuwa Chadema ingetumia mwanya huo kuonyesha kuwa wao ni tofauti na hawatavumilia harufu yeyote ya ufisadi na ubadhirifu popote itakapotokea. Utetezi kuwa aliyempa pesa Heche ni mfanyabiashara mwenzake kunatia wasiwasi kuwa nia yake, isije ikawa kawa anajipanga kumtumia pale atakaposhika madaraka. Hii nchi haihitaji viongozi ambao wako beholden kwa wafanyabiashara.

Amandla...
Kwa maoni yako unadhani ni hatua gani zichukuliwe?

Je una uhakika hawakachunguza.?
 
Nakubaliana na wewe kabisa kuhusu shaka juu ya watoa tuhuma. Ila kuna clip moja Heche alitoka akasema anaomba Wanachama wasimchangie, michango yote kuanzia sasa iende Chadema.
Alikuwa na maana gani?
Baada ya dereva wa Heche kuzikwa , kesho yake huyu kibaka wa Mbutu Yericko Nyerere aliibuka na ticket feki ya KLM waliyotengeneza kwamba Heche katorokea Nairobi kuelekea Brussels , Ubelgiji wakidai alihamasisha maandaamano huku yeye kakimbia hii unaikumbuka?

Ok najaribu kukupa sequence ya matukio , baada ya huyu kibaka kubananishwa na JamiiCheck kwamba ile ticket ni ya kutengeneza, ndio akaibuka kwa kusema mkutano uliofanyika Kigoma , Lema na Leonard walidai Heche kakwapua pesa walizoziita za "WADAU" hawa wadau wakawa hawatajwi Yericko akashika kijiti baadae kesho akakabidhiwa mwanachaumma mwenzie anayejinasibu kuwa ni mwanachadema anaitwa Lembrus Mchome nae akabeba bango siku 2 mbele wakaibuka wapiga press wakidai ni viongozi wa CHADEMA wote wanaenda Dar kutokea mikoani wanakaa katika chumba kimoja wanapewa script ya kusoma baada ya hapo wanarusha mitandaoni.

Kesho yake kelele zilipozidi Katibu mkuu anaibuka anasema aliye na tuhuma apeleke ushahidi kwake watachukua hatua bila kujali zinamhusu nani, kichekesho ni hakuna aliyepelekea ushahidi wakaibuka tena akina Selasini ndio wakapewa onyo la kuombwa wajieleze ndani ya siku 14 kwa kukiuka kanuni za chama.

Ok nikija katika point yako nakujibu ile kauli ya Heche [wachangie kwenye account ya chama na sio yangu] baada ya ukimya wa siku 5 Heche aliibuka baada ya Gen -Z kule mtandao wa X kuchukizwa na tuhuma za akina Yericko bila ushahidi ndio wakasema sasa leo jioni ya hiyo siku Heche aweke public account zake za bank au simu wamchangie pesa hadi kiwango watakachoona kinatosha kwani wako tayari.

Heche. akasema wasimchangie yeye bali pesa waelekeze account ya Chama kwani kuna baraza kuu linahitaji mchango wa milioni 334 na mkutano upo September.


View: https://x.com/i/status/2076006116354343351

Sasa hapo sielewei watu msichoelewa tuhuma hizi waliozianzisha kwanini wasije na ushahidi?

Miaka yote tunasema CCM ni majizi ya kura na kodi za wananchi ushahidi wa picha , maandishi, video upo na hata ukianzisha mada hiyo naweza kuweka huo ushahidi hatua zipi zimewahi kuchukuliwa?

Polepole aliongea mangapi kwa ushahidi waliishia kumuua badala ya kudili na aliotoa shutuma kwao ili wachunguzwe wao wakaenda kummaliza yeye.
 
Wewe wasema. It makes no difference.

Hakuna anayekataa haja ya kuwa na that kind of opposition. Ndio maana nashangaa kwa nini mnatumia muda mwingi kuwachafua wapinzani wengine ambao hawana mtazamo kama wenu?

Hayo ni maneno tu. Ingekuwa kweli, msingesita kuwakosoa wanapokosea. Huko kufumbia macho so-called internal conflicts ndio zimetufikisha hapa tulipo. Mimi nilitegemea chama kinacho jinasibu kuwa ni cha demokrasia kinge chukua tuhuma zozote za ubadhirifu ndani ya chama chao the seriousness they deserve. Hasa ukizangatia aliyekuwa Makamu Mwenyekiti alivyosisitiza kuwa tuhuma za ubadhirifu zilizotolewa na Msigwa zisikilizwe. Msigwa huyo ambae alikimbilia kwa Abdul baada ya kutoa tuhuma hizo. Hii selective outrage ndio inatufanya wengine tusiwaamini.

Kama kweli Heche aliiba michango ya aina yeyote hastahili kuwa kiongozi wa chama ambacho kina uwezekano wa kushika dola siku moja. Mtu mwenye tabia hiyo hatasita kuchota kwenye mfuko wa hazina kwa matumizi yake. Ni muhimu sana ashughulikiwe kabla hajapata nafasi hiyo. Kama Heche anasingiziwa basi baada ya uchunguzi atakuwa na moral authority zaidi ya kukemea yanayo endelea.

Hii argument holds no water. Kwa sababu watu hawalalamiki kuhusu kitu kimoja hakiwanyimi haki ya kulalamikia mengine. Inawezekana kabisa kuwa viongozi na wanachama wanaolalamika wanatumiwa na CCM ambacho sio kitu cha ajabu. Kutokana na uwezekano huu, sisi wengine tulitegemea kuwa Chadema ingetumia mwanya huo kuonyesha kuwa wao ni tofauti na hawatavumilia harufu yeyote ya ufisadi na ubadhirifu popote itakapotokea. Utetezi kuwa aliyempa pesa Heche ni mfanyabiashara mwenzake kunatia wasiwasi kuwa nia yake, isije ikawa kawa anajipanga kumtumia pale atakaposhika madaraka. Hii nchi haihitaji viongozi ambao wako beholden kwa wafanyabiashara.

Amandla...
As per my conscious mind there is only one 'real' opposition party, the rest kwa sababu na namna miendeno ninavyoitathmini siviamini kama seriously viko kwa ajili ya kupambana kuleta mabadiliko.
-Hao walalamikaji wametoa facts zozote kuhusu wizi/ubadhilifu wa Heche? Kwanini wasiombe hata msaada kwa kisheria kama lengo si kumchafua na kumuweka kwenye mtego wa kumlegeza alazimike kukubali the so called reconciliation?
-Ni vizuri kila information inayoweza kumtia Heche hatiani wazisambaze ili hata sisi tunaoamini kwamba ni wazushi na wanatumiwa kuihujumu CHADEMA tuone ili tuwaamini.
 
Nakubaliana na wewe kabisa kuhusu shaka juu ya watoa tuhuma. Ila kuna clip moja Heche alitoka akasema anaomba Wanachama wasimchangie, michango yote kuanzia sasa iende Chadema.
Alikuwa na maana gani?
Alikuwa na maana hiyo hiyo uliyoiandika hapa na kuielewa wewe..!
 
Back
Top Bottom