Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b

Kama wao hawana shida pesa zao zikiliwa, wengine mnasumbukia nini?

Si wapo wanaosema awepe account yake personal ili wamchangie ili iwaume zaidi?

Namna hii ya kutengeneza fitna kama ndio njia sahihi ya siasa imepitwa na wakati.

Tena wakati huu ambao wasiompenda wanamjua, wahangaike na CDM ili iweje?
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
Anzeni kumchunguza Dulla na mama yake
 
Heche amakaa kijanja janja.
Ukimtazama usoni ni mtu mpenda hela kuliko akina Massawe na Kimaro.
 
Narudia kuuliza tena.
Taarifa inayosema Lema, Sugu na Boniface ndio waloibua hoja ya Heche kutumia vibaya fedha za Chama ni za kweli au Uongo?
- Tuanzie hapa
Mbona wanasema ni 30 ndie ali iibua! Ndio tatizo la kila wakati kumtafuta mchawi.

Amandla...
 
Hiyo ni haki yako.

Lissu alitoa facts gani kuhusu ulambaji asali wa Mbowe? Mbona mlimuamini! Mimi binafsi sidhani kama kweli lengo ni hilo unalosema. Mimi naona lengo ni kumnyima platform ya kukosoa chama tawala. La reconciliation ni kisingizio tu.

Sidhani kama mnaweza kuamini taarifa yeyote itakayoletwa dhidi ya Heche. Aidha, lengo lao kubwa ni kuivuruga Chadema na kuipungizia wapambanaji waliokuwa committed. Kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa kwenye hilo. K.m. wamesema kuwa sio tu Heche alishutumiwa kwenye kikao cha Kamati Kuu bali kuwa kiongozi wa shambulio hilo alikuwa Lema. Mpaka sasa sijamsikia Lema akikanusha. Sumu ishamwagwa.

Amandla...
Kwanza sijawahi kuamini ubadhilifu/wizi au kilichoitwa ulambaji asali wa Mbowe, humuhumu nilikuwa nakabiliana sana na waliokuwa wakimsakama Mbowe mpaka pale uchaguzi ulipoisha nikaona mienendo haya ya aliyekuwa running-mate na trustee wake kwenye uchaguzi ndani ya CHADEMA ndipo nikawa natafakari patterns zilivyo na kujipa conclusion yangu according to my own analysis.
Wapambanaji committed members, supporters na sympathizers wa CHADEMA wanawafahamu na hawako tayari kuwapoteza. Dalili kubwa ya kuwafahamu hao committed members utaona wanapigwa vita na CCM, kila member utakayeona wale wanaotamani CHADEMA kisambaratike especially CCM wanawatetea there should be a very big red inked question mark❓️, mbaya wako huwa hataki uwe na zana za kujijenga bali atafanya hila ujikute uko na zana za kukubomoa(adui muombee njaa wahenga walinena) kama ambavyo maadui wa CHADEMA wanafanya na the real supporters wa chama definitely can tell the difference between the real and the fake ones(the two headed serpents).
 
Narudia kuuliza tena.
Taarifa inayosema Lema, Sugu na Boniface ndio waloibua hoja ya Heche kutumia vibaya fedha za Chama ni za kweli au Uongo?
- Tuanzie hapa
Hiyo taarifa ameitoa Yericko Nyerere mwanachama wa CCM aliyejibanza CHAUMMA.

Sasa je lini huyu mtu akawa mjumbe hadi kuingia vikao vya kamati kuu.?

Huyu kibaka wa Mbutu ndio mleta tuhuma aje ajibu hizo pesa za wadau ni kiasi gani.


View: https://x.com/i/status/2075213059279229017
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
Je wewe unaweza kumchunguza Mama yako
 
Hiyo taarifa ameitoa Yericko Nyerere mwanachama wa CCM aliyejibanza CHAUMMA.

Sasa je lini huyu mtu akawa mjumbe hadi kuingia vikao vya kamati kuu.?

Huyu kibaka wa Mbutu ndio mleta tuhuma aje ajibu hizo pesa za wadau ni kiasi gani.


View: https://x.com/i/status/2075213059279229017

Kinacho shangaza ni kuwa Yericko amesema kuwa hizo taarifa zimetoka kwa Mange Kimambi. Kama ni kweli, badala ya kumsonga Yericko mngemsonga Mange. Na kwa vile walio shutumiwa wapo, basi nao wangekanusha hilo tukio.

Amandla...
 
Ok, sorry kwa kukusahau mleta uzi kuwa miongoni mwa mliobonyezewa kitufe cha ignore
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
Oneni huyu mjinga wa Kizimkazi
 
Kinacho shangaza ni kuwa Yericko amesema kuwa hizo taarifa zimetoka kwa Mange Kimambi. Kama ni kweli, badala ya kumsonga Yericko mngemsonga Mange. Na kwa vile walio shutumiwa wapo, basi nao wangekanusha hilo tukio.

Amandla...
Hiyo ni post ya mchana wa hiyo siku, post ya kwanza alianza kusema taarifa za kikao ambacho yeye hakuwepo.

Na alidai Lema alibeba hadi kiti kutaka kumpiga nacho mtu, kitu cha ajabu hata baada ya maneno hayo Lema hakumjibu chochote.

Yericko kwa sasa anafahamika handler wake na anachokifanya juu ya CHADEMA kinafahamika labda wasiojua ndio watamshangaa.
 
Kwa msiofahamu, Mkandara na Fundi mchundo ni miongoni mwa wahanga wa matokeo ya uchaguzi mkuu wa chadema Januari 2015.

Zaidi ya mwaka na nusu, wanaendelea kuugulia maumivu ya mtu wao kushindwa.
 
Yericko kwa sasa anafahamika handler wake na anachokifanya juu ya CHADEMA kinafahamika labda wasiojua ndio watamshangaa.
Akihojiwa na mwandishi mmoja baada ya kuhamia chaumma, alisema wao Lissu akiondoka chadema hata leo wanarudi kukichukua chama chao.

Wao yeye na kina nani, sijui. Labda baada ya kumweka jela Lissu ndio ukapangwa mkakati wa kumuundia zengwe Heche ili wafanikishe mipango yai ovu.
 
Akihojiwa na mwandishi mmoja baada ya kuhamia chaumma, alisema wao Lissu akiondoka chadema hata leo wanarudi kukichukua chama chao.
Nakumbuka sana , Yericko amehama CHADEMA kwenda CHAUMMA [japo yupo CCM] sio kwamba hakuzielewa sera za uongozi mpya bali kuna maslahi binafsi wanayakosa kwa ufupi Yericko na wenzie walijinufaisha na chama kuliko chama kilivyonufaika nao .
Wao yeye na kina nani, sijui. Labda baada ya kumweka jela Lissu ndio ukapangwa mkakati wa kumuundia zengwe Heche ili wafanikishe mipango yai ovu.
Naam ni timu ile ile ya akina Mchome na ukimya wa FAM juu ya hili kundi inatupa picha ni kama wana baraka zake.
 
Kwa msiofahamu, Mkandara na Fundi mchundo ni miongoni mwa wahanga wa matokeo ya uchaguzi mkuu wa chadema Januari 2015.

Zaidi ya mwaka na nusu, wanaendelea kuugulia maumivu ya mtu wao kushindwa.
+Lusungo.
 
Tuachane na hao watoa hoja mnao wasema . Mimi naomba kutoka kwako jibu moja tu.

Taarifa zunasema Lema, Sugu na Boniface ndio walihoji matumizi ya fedha hizo katika Kikao cha Kamati kuu.

Je, Taarifa hii ni ya kweli au Uongo?
Sijui ukweli au uongo kwasababu ni habari ya kusikika tu. Sijamsikia yoyote miongoni mwao akisema hadharani

Tufanye ''assumption'' wamesema ndani ya vikao , hilo ni sawa, hata hivyo kuna tatizo jingine. Pesa zinasimamiwa na Katibu mkuu! aliyetamka wazi ndiye mwenye dhamana.

Hoja inapaswa kuanzia kwa KM. Ikiwa kuna mataumizi mabaya ya fedha iwe Heche au yoyote mtu ''answerable'' ni KM.

Pamoja na yote hili jambo lina msukumo nyuma yake kuhusiana na maridhiano.

CCM wamekerwa sana na tuhuma za Heche zisizo na ushahidi. CCM hao hao hawakukerwa watu walipojitangazia nafasi za uchaguzi pale Dodoma. CCM hawakukerwa kwa kuanza na uteuzi halafu vikao. Mkuu hulioni hilo.
CCM hawajakerwa na Bajeti ya Trilioni 1 ya vitumbua, makaimati na chips maofisini! wanakerwa na tone tone!

Kuna hawa wanaolipwa kuja maelezo Dar kwa press ! hivi katibu mkuu wa CHADEMA Kilindi Handeni anajua nini yarabi. OK kama anajua ushahidi upo wapi.

Narudia tena akina Odero, Lembrus Mchome , Selasini ndio wanaoumizwa sana na tone tone kuliko wanachama wa CHADEMA! Real!

Mkuu tukiruhusu uhuni huu haitaishia hapo1 Tuliruhusu uhuni wa kukataza siasa Vyuo vikuu siku hizi tuna 'high school'' tunazoita University.

Walipoona tumekubali uhuni sasa wanakamata Wahadhiri na Marofesa. Kwamba, chuko kikuu wanatakiwa wasome siasa za vitabuni na siyo ''contemporary affairs''.

Hii ni kwasababu tuliruhusu, tukakumbatia uhuni. Kinachofanyika CHADEMA ni kile cha NCCR! kwani unaisikia tena? Selasini kamaliza kazi kwa Mbatia kahamia kwa Heche, mkuu unakubaliana naye1 Dah
 
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana?

Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?

Hapo nyuma kidogo tulishuhudia Heche na Tundu Lissu wakiongoza mashambulizi dhidi ya Mbowe kwa tuhuma kama hizi, kuaminisha Wanachama wa Chadema kwamba Kiongozi wao Mwenyekiti Mbowe alilamba asali, Mbowe alifisadi chama ilihali Mbowe sii mhasibu wala mweka fedha za Chama kama wanavyomtea Heche leo hii.

Chadema wameshindwa kukabiliana na tuhuma hizi badala yake wanachukua mkondo ule ule ambao miaka yote wamekuwa wakiwatuhumu viongozi wa CCM kwa Ufisadi ambao Viongozi wa CVM pia waliendelea kudai hakuna Ushahidi.

Je, tumefikia pahala kila sauti inayokemea Ufisadi na Ubadhilifu lazima mtia tuhuma awe Ushahidi?



b
"Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?", ujue tuhuma hutakiwa ziambatane na ushahidi utakaotumika kama msingi wa uchunguzi, bila hivyo ni porojo tu.
 
Siku zote Tuhuma huwa hazina Ushahidi zinatakiwa kuchunguzwa tofauti na Mashtaka ambayo kisheria huhitaji Ushahidi. Tatizo nini haswa?
Anzia huko wanakowatuma kuivuruga CHADEMA.
Kuna tuhuma ngapi zimechunguzwa ndani ya Genge analoongoza Samia Suluhu Hassan.
 
Sijui ukweli au uongo kwasababu ni habari ya kusikika tu. Sijamsikia yoyote miongoni mwao akisema hadharani

Tufanye ''assumption'' wamesema ndani ya vikao , hilo ni sawa, hata hivyo kuna tatizo jingine. Pesa zinasimamiwa na Katibu mkuu! aliyetamka wazi ndiye mwenye dhamana.

Hoja inapaswa kuanzia kwa KM. Ikiwa kuna mataumizi mabaya ya fedha iwe Heche au yoyote mtu ''answerable'' ni KM.

Pamoja na yote hili jambo lina msukumo nyuma yake kuhusiana na maridhiano.

CCM wamekerwa sana na tuhuma za Heche zisizo na ushahidi. CCM hao hao hawakukerwa watu walipojitangazia nafasi za uchaguzi pale Dodoma. CCM hawakukerwa kwa kuanza na uteuzi halafu vikao. Mkuu hulioni hilo.
CCM hawajakerwa na Bajeti ya Trilioni 1 ya vitumbua, makaimati na chips maofisini! wanakerwa na tone tone!

Kuna hawa wanaolipwa kuja maelezo Dar kwa press ! hivi katibu mkuu wa CHADEMA Kilindi Handeni anajua nini yarabi. OK kama anajua ushahidi upo wapi.

Narudia tena akina Odero, Lembrus Mchome , Selasini ndio wanaoumizwa sana na tone tone kuliko wanachama wa CHADEMA! Real!

Mkuu tukiruhusu uhuni huu haitaishia hapo1 Tuliruhusu uhuni wa kukataza siasa Vyuo vikuu siku hizi tuna 'high school'' tunazoita University.

Walipoona tumekubali uhuni sasa wanakamata Wahadhiri na Marofesa. Kwamba, chuko kikuu wanatakiwa wasome siasa za vitabuni na siyo ''contemporary affairs''.

Hii ni kwasababu tuliruhusu, tukakumbatia uhuni. Kinachofanyika CHADEMA ni kile cha NCCR! kwani unaisikia tena? Selasini kamaliza kazi kwa Mbatia kahamia kwa Heche, mkuu unakubaliana naye1 Dah
Sioni alama ya kuweka kwenye bandiko la namna hii!

Aliyejibiwa anayajuwa vyema yote haya, lakini bado haitoshi. Kwa sababu mada haikuletwa kwa nia ya kutafuta ukweli ulipo, bali ni sehemu ya kampeni zile zile zinazolenga kuwavuruga CHADEMA.
 
Back
Top Bottom