Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 589
- 546
CHADEMA kuna fukuto la ufisadi linaendelea dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho John Heche. Hili naomba tuliweke sawa, katika siasa, hakuna kiongozi anayepaswa kupewa kinga dhidi ya maswali au kuwajibishwa kwa sababu ya umaarufu wake. Madai ya matumizi mabaya ya fedha yaliyoibuliwa dhidi John Heche yanapaswa kuchukuliwa kwa uzito na ufuatiliaji unaostahili.
Wanachama wa CHADEMA wanapaswa kutambua kuwa kumpenda kiongozi hakumaanishi kupuuza maswali yanayohusu uwajibikaji wake. Vilevile, kuwa kiongozi maarufu hakumfanyi kiongozi kubeba ngao hiyo kama kinga dhidi ya tuhuma za wizi zinazomhusu. Hivi karibuni wameibuka watu kadhaa wakijaribu kumtetea Heche kuhusu tuhuma za ufisadi zinazomkabili ikiwemo kukwapua fedha za michango ya
MWIZI NI MWIZI TU, HECHE SIO MALAIKA
tonetone. Hili halipaswi kuupuuzwa kwa kisingizio kwamba kuna kundi limetumwa ili limchafue Heche, hiyo inaweza kuwa propaganda tu ya namna ya kulindana lakini ukweli utabaki palepale.
Tuhuma za ukwapuaji fedha za michango ndani ya CHADEMA si jambo geni, michango kadhaa inayochangiwa kwenye mikutano ya hadhara na kupitia mitandao ya simu huyayuka bila maelezo.
Hili ni jambo baya kwa mustakabari wa CHADEMA na halipaswi kufumbiwa macho, maan John Heche si malaika, ni lazima jambo hili lichunguzwe na si kupitia viongozi wenyewe kwa wenyewe ambao rekodi zinaonesha kila linapotokea tukio la kupiga hela ndani ya CHADEMA viongozi huwa wanalindana.
Wanachama wa CHADEMA wanapaswa kutambua kuwa kumpenda kiongozi hakumaanishi kupuuza maswali yanayohusu uwajibikaji wake. Vilevile, kuwa kiongozi maarufu hakumfanyi kiongozi kubeba ngao hiyo kama kinga dhidi ya tuhuma za wizi zinazomhusu. Hivi karibuni wameibuka watu kadhaa wakijaribu kumtetea Heche kuhusu tuhuma za ufisadi zinazomkabili ikiwemo kukwapua fedha za michango ya
MWIZI NI MWIZI TU, HECHE SIO MALAIKA
tonetone. Hili halipaswi kuupuuzwa kwa kisingizio kwamba kuna kundi limetumwa ili limchafue Heche, hiyo inaweza kuwa propaganda tu ya namna ya kulindana lakini ukweli utabaki palepale.
Tuhuma za ukwapuaji fedha za michango ndani ya CHADEMA si jambo geni, michango kadhaa inayochangiwa kwenye mikutano ya hadhara na kupitia mitandao ya simu huyayuka bila maelezo.
Hili ni jambo baya kwa mustakabari wa CHADEMA na halipaswi kufumbiwa macho, maan John Heche si malaika, ni lazima jambo hili lichunguzwe na si kupitia viongozi wenyewe kwa wenyewe ambao rekodi zinaonesha kila linapotokea tukio la kupiga hela ndani ya CHADEMA viongozi huwa wanalindana.