Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,069
- 12,653
Ni suala la muda tu.Unajua chuki ni kama ugonjwa kuna siku utakuumbua tu.
Serikali isipokuwa makini na kuwakaripia Wazanzibari tutajikuta kwenye vita kubwa kati ya Tanganyika Vs Zanzibar na Wakristo Vs Wasalimu.