Polisi zanzibar ni waongo sana, hakuna sheria yoyote Zanzibar inamkataza mtu kula wakati wa ramadhani.
Miaka ya nyuma kesi zote zilizopelekwa mahakamani mashitaka yalisomeka tofauti, badala ya shitaka la kula mchana wakati wa ramadhani, mashitaka yote yaliletwa mahakamani kwa kosa la uzururaji.
Hakuna sheria zozote hao watu ni wajinga tu.
====
Kusoma zaidi kuhusu marufuku za kula wakati wa ramadhani pamoja na marufuku nyingine Zanzibar soma:
Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika
Miaka ya nyuma kesi zote zilizopelekwa mahakamani mashitaka yalisomeka tofauti, badala ya shitaka la kula mchana wakati wa ramadhani, mashitaka yote yaliletwa mahakamani kwa kosa la uzururaji.
Hakuna sheria zozote hao watu ni wajinga tu.
====
Kusoma zaidi kuhusu marufuku za kula wakati wa ramadhani pamoja na marufuku nyingine Zanzibar soma:
Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika