The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,416
- 46,372
Bro acha basi.
Kuna auntie yetu (shoga yake mama) aliambiwa mwaka jana mwenzi wa 11 ata RIP lakini mpaka leo navyoandika yupo. Ana kansa ya titi.
Juzi hapa ameambiwa sijui cell mpya zimezaliwa sijui nini (lugha ya kidaktari kuna muda siielewi)
Kwahivyo bado kuna hope, Pole…
Uongeze maombi sasa