Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
- Thread starter
- #161
Nadhani Askari walipaki kando au tuseme jirani na jamaa baada ya kuwa wanaifuatilia hii gari, na nadhani walikua vijana weusi! Kumbukumbu zinagomaKweli kabisa ila hawa walikamatwa kizembe sana baada ya miezi
Sent from my iPhone using Tapatalk