Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,275
I can imagine now... 🤔🤔Hahahahaha that's life Mpwa
I can imagine now... 🤔🤔Hahahahaha that's life Mpwa
IDxInvestigation Discovery Lovers tunakikao..kati ya vyote nilichogundua..kuna uhusiano Mkubwa wa sexulity na violence! Most serial killers its either ni gays ama mahusiano ya makuzi hao utotoni wameleleqa n single parent!
Nimeanza kupenda kufanya mauaji ghafla,.
Nahisi kama kuna pepo limeniingia baada ya kusoma huu uzi.
Msaada plz naona nashindwa kujizuia
(sijui kama siku ya leo itapita salama kwangu)
Nmetamani kukisoma.Nilisoma riwaya ya Sydney Sheldon inaitwa tell me your dream, mhusika mkuu alikua binti aliekua anaua wanaume bila yeye kujua.
Akiwa mdogo aliwahi kubakwa mala nyingi na baba yake hali hiyo ikapelekea augue ugonjwa unaoitwa MPD (Multiple Personality Disorder) huku kwetu tunaita "mapepo au majini"
Jamaa wa kwanza kuuwawa, huyu alipendana na huyo binti ila mshua wa binti akawa mkali akampiga marufuku jamaa asisogee karibu na binti yake, binti akatoroka usku akaruka fensi akaenda kwa jamaa ila akajishauli kua arudi tu home ataenda kesho asbuhi, hivyo akarudi home. Asbuhi akaenda kukutana na jamaa stesheni ya treni lakini jamaa hakutokea!! Kumbe Jana yake usiku alipoamua kurudi home jini lake moja likachukua nafasi ya nafasi yake likamuongoza hadi kwa jamaa, jamaa akaomba mapenz akafosifos kidogo wakati anakula mzigo akashitukia anachomwa chomwa visu mwili mzima. Wakat anamchoma visu akawa anasema baba acha baba acha lazima nikuue ili usimfanyie mtu nwingine mambo kama haya!
Jamaa wa pili, huyu yeye alikua mfanyakaz mwenzie katika kampun ya computer, alikua anampenda huyu binti lakin binti akawa hampend jamaa. Siku moja jamaa akamuomba binti aje geton kwake amshauri kitu flan. Binti akaenda baada ya kufika jamaa akampa kinywaji chenye dawa ya usingiz alipokunywa akapoteza fahamu ila hapohapo jini lake likachukua nafasi, jamaa akaomba mambo akapewa ila mwisho wake nae ikawa ni kuchomwa chomwa mwili mzima kwa grasi ilokua na kinywaji hadi akafa! Binti aliposhtuka akajikuta yupo mji mwinge tena hotelin hajui chochote kilichoendelea baada ya kunywa kinywaji chenye dawa ya usingz!
Jamaa tatu, huyu yeye alikua mfanya biashara alikutana na binti mtandaon wakaanzsha uhusiano mwisho wa sku wakakutana live nae akala mzgo na akauwawa kwa namna ileile kuchomwa chomwa na kisu! Jini ndilo lilokua linachat na jamaa, yaan lenyewe ndio lililokua linapenda sana kutumia mtandao (na sio binti halis)
Jamaa wa nne, huyu yeye alikua mchoraji. Huyu alipendana na nafasi ya pili ya binti ( jini lake la pili) nae alikufa kwa visu mwili mzma baada ya kula mzigo!
Jamaa wa tano yeye alikua askari polis mpelelez, alikua anafatilia mauaji ya hao jamaa wanne waliouawa, sasa kuna siku huyu mpelelez alienda kulinda kwa binti baada ya binti kuomba ulinzi maana alikuta maandshi kwenye kioo chake cha kujitizama yakisema NITAKUUA! Jamaa alilinda akalala sebken usiku akaskia binti kapiga kelele jamaa akaenda chumbani alipofika akakuta binti katulia afu yuko uchi kabisa jamaa akataman akajilaza pemben hapo mwisho wa sku akala mzgo nae walimkuta nje asbh kala visu vya kutosha!!
Niipenda sana hii stori hasahasa wakati wa uchunguzi na wakati wa kesi nahakamani ilikua ni hatari ila mwisho wa kesi binti alishinda kesi kwa point kuu moja ya kua alikua bila kujua!!
Yale majini yake mawili ni nafsi ambazo zilizaliwa mwilini mwake ili zimsaidie kukabiliana na uchungu na msongo wa mawazo Yaliyo savabishwa na kubakwa kila siku na baba yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rafiki kumbe wewe ni muuaji?![emoji125][emoji125][emoji125]Nmetamani kukisoma.
Si kwel mbona mimi napenda.Hii ni thread ya kiume kwa ajili ya wanaume wa shoka hakuna mambo ya kuwahi siti au kushutumiana mambo ya PM kuyaleta hadharani. Karibu
hahhahaha jamani sio hata napenda tu mambo hayo ya investigation na intelijensia.Rafiki kumbe wewe ni muuaji?![emoji125][emoji125][emoji125]
Mkuu kutupia majina sio weka Na matukio walio FanyaFuatilia On the case with Paula Zahn huwa ni serial killers documentaries za maana zenye kuonesha michakato ya upelelezi hadi wanapatikana. Pia channel E ile ya South Africa huwa siku za wiki jioni kuanzia saa 12 hadi saa 1 wanaweka hizi documentaries. Kwenye DSTV angalia channel ya Investigation Discovery pia kuna Fox Reality utapenda. Serial killers wengi nitatupia majina soon.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana una akili, saaafi sana, karibu, tupia mbili tatu tuburudikeSi kwel mbona mimi napenda.
Kwa wale wapenzi wanaopenda kufuatilia visa vya mauwaji, uchunguzi hadi kupatikana kwa Wauthumiwa karibuni tu-share na kufurahi pamoja. we learn something out of this. Hii noi mauwaji tu na theories zake.
Binafsi napenda sana kufuatilia hizi issues hasa kwa wale wanaofuatilia "serial killers'. Hapa unajifunza sababu zinazopelekea mtu kuwa serial killer, anaanzaje, anakuaje, anapata hamu gani ya kuendelea kuuwa, adhabu wanazopewa na maneno ya mwisho wakati wananyongwa.
Lengo ni kujifunza jinsi ya kujilinda na sio kujifunza kuuwa!! Asanteni
Ndio maana una akili, saaafi sana, karibu, tupia mbili tatu tuburudike
(1994) Over a 12 month period in the US state of Florida, Aileen Wournos killed seven men. She said it was self-defence yet at her trial asked to be executed. Unusual? Well everything about this case is unusual, not least Aileen Wournos herself, a woman the judge said was evil. Source> Youtube
Ugomvi wake uko kwa wanaume, aliua wanaume saba. Ndiuo serial killer katili wa kike hadi saa maana hadi dakika ya mwisho alikua anatukana lakini mwishoni kabis alaionekana kuishiwa nguvu i mean ujasiri
Ona hii corona sijui imetokea wapi tena hukoHuu uzi unawahusu zaidi wanawake wa Kipare na Kichagga, haya tiririkeni tusome vituko vyenu.
Duh kweli JF imevamiwa na virusiHapo zamani za kale (2020) kuna mademu wa kichagga na kipare walisifikana sana kwa kuua waume zao kurithi mali na kunufaisha koo zao masikini.
kwa wanaonidai sina,.Naona ukianza na wanaokudai utamaliza mji [emoji23][emoji23][emoji23]
Utaingia kwenye list ya serial killers na wewe
Anza tu Mkuu
Sent from my iPhone using Tapatalk