Kwa wapenzi wa mambo ya mauaji tu

Kuna wimbo unaitwa 6 foot 7 foot wa Lil Wayne kamshirikisha Corey Gunz. Corey Gunz katika vesi yake anasema '... Son of Sam, Son of Gun, you niggaz are sons of me...'

Son of Sam ni jamaa anaitwa David Berkowitz au .44 Caliber Killer. Katika barua alizotuma kwa wahanga, polisi na hata majirani zake David anasema kua Sam ni pepo na yeye ndiye anatakiwa kulilisha damu.

Baadaye alipata kusema kua alijihisi yeye ni askari wa ibilisi na jukumu lake ni kumpa damu. Anasema pia kelele za mbwa waliobweka usiku kucha na kumkosesha usingizi ulikua ni wito wa ibilisi kumtaka atimize majukumu yake ya kiaskari.

Hayo tutaongelea baadaye, saa hii tumuongelee mtu ambaye alishambulia watu (wanawake zaidi) zaidi ya 13 akaua 6 na kuwaacha wengine 7 wakiwa na makovu ya milele.

Wahanga wake wa kwanza waliojulikana ni Donna na Jody. These ladies wakiwa ndani ya gari wakiagana kabla Donna hajaingia ndani kwao David akatokea mbele yao na kuanza kupiga risasi, Donna ikampata ya shingo Jody ikampata ya mapajani.

Hata baada ya risasi 5 kuisha David aliendelea kubonyeza trigger, muda wote Jody analia kuomba msaada, baba Donna alipotoka nje hakumkuta mhusika isipokua maiti ya mwanae.

Wiki 3 mbele akashambulia mtu na mpenzi wake, hapa hakufa mtu ila mwanaume ambaye alitakiwa ajiunge na jeshi akabakishwa na ulemavu na jeshi likaishia hapo.

Wakaja marafiki wawili, wanawake, wakiwa wanatembea kurudi nyumbani David akawatokea kwa nyuma. Walipoamua kuongeza mwendo David akachomoa .44 caliber magnum akashuti, mmoja risasi ikapita pembeni kidogo ya uti wa mgongo, she was lucky, mwingine risasi ilivunja uti wa mgongo wote so she will live ila kwa kupooza milele.

Kisha Captain Borell akapokea barua hapo akajitambulisha yeye ni nani. Ingawa mwandiko ulikua mbaya na misspelling nyingi mfano Your badala ya You are na wemon badala ya women ila Borell aliielewa.

Akaelewa kua New York inadeal na kesi mpya ya psychopath, a cold blood killer who will strike again. So akaunda kikosi kazi alichokipa mission aliyoiita Operation Omega, kikosi kazi kikaitwa Omega Task Force. Wapelelezi wakakusanywa wakawekwa humo ili kumnasa David. Na wakajitoa haswa kwakua ilishafikia hatua kesi ya David ikawa ni ya kukupandisha cheo.

Kisha barua ikaenda kwa Cassara ikionyesha inatoka kwa Carr ikimtakia afya njema. Cassara akawasiliana na Carr, watu hawa hawakua wakijuana, Carr akataka waonane wajadili hiyo barua kwakua na yeye kuna barua kapokea. Isipokua yake ilizungumzia mbwa wake kushutiwa.

Mtoto wa Cassara akamtaja David mpangaji wao wa zamani ambaye alichukia mbwa anavyobweka.

Narudi...
Unarudi lini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilitype nilitype nilitype nabonyeza send app ikaload ikamaliza kisha ikaonyesha hamna nilichotuma. Kwahiyo ndiyo nipo napiga mark time lini nijitoe upya.
Duh pole sana
 
Naomba nichangie huu uzi kwa kushare nanyi movie ambazo kwangu ni best zinazohusiana na serial killers (baadhi based on true story)

  1. Memories of Murder (2003)
Hii ni muvi ya kikorea ya serial killer ambaye aliwahi kutokea South Korean kati ya miaka ya

1986 mpaka 1991. Wanawake walikuwa wanabakwa na kuuliwa usiku. Upelelezi wakaja kugundua pattern kuwa muuaji hua anaua siku ambayo mvua inanyesha usiku na kuna nyimbo flani hua inaombwa ipigwe kwenye kipindi cha miziki cha redio usiku huo.

IMG_1931.jpeg


2. Seven (1995)
Hii movie inahusu serial killer ambaye victims ni wale ambao wamecommit “seven deadly sins” kufuatana na kitabu cha Dante “Divine Commedy”. Victim aliyekua na zambi ya “gluttony” kama ulafi hivi, huyu alilishwa mpk utumbo ikaburst. Victim Mwingine aliyekua na zambi ya “lust”, uzinzi huyu ni malaya ambaye aliuliwa kwa kusexiwa na dildo la chuma. Victim mwingine ambaye zambi yake ilikua ni “sloth”, uvivu, huyu alifungwa kitandani akaachwa alale hapo bila maji wala chakula mpk afe....Ni kati ya muvi chache ambazo serial killer alitimiza list yake yote ya kuua mpk muvi inaisha.

IMG_1932.jpeg


3. Zodiac (2007)
Hii movie ni based on true story ya zodiac killer ambaye alikua California Marekanu kati ya miaka ya 1960 na 1970. Baada ya kuua victim wake aliandika barua na cross puzzles akiwaamu tu wazichapishe kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la sivyo ataua watu wiki nzima. Hii pia ni kati ya true story na movie ambayo serial killer hajawah kukamatwa.

IMG_1933.jpeg


4. Resurrection (1999)
Hii movie inahusu serial killer ambaye alikua anaua , kuondoka na kiungo kimoja (mkono, mguu, au torso) na kuacha roman numerals kwenye miili ya victim wake. Detectives baadae wanakuja kugungua zile roman numerals muuaji ukiunganisha na jina la victim unapata mistali ya kwenye biblia ambayo killer motive yake ilikua inalenga humo. Mfano waliouliwa walikua Peter, Mathew & Jesus
IMG_1930.jpeg


5. Suspect Zero (2004)
Hii movie inahusu serial killer aliyekua ana hunt other serial killers huku FBI wakiwa wanafuatilia na kuwa puzzled na nani hasa anawaua hawa serial killers.

IMG_1934.jpeg


6. Criminal Minds Beyond Borders (nimesahau episode number)
Hii episode ya criminal minds inahusu diplomat ambaye alikua anaua nchi mbalimbali anazozitembelea. Authorities walikua wanapata shida sana kuconnect hizi murder mana zilikua zinatokea nchi tofauti na wakijakugundua murder jamaa anakua keshaondoka nchini na alikua hasachiwi gari yake wala mabegi sababu ya “diplomatic badge”

IMG_1936.jpeg

7. Criminal Minds, Season 4, Episode 8 - Masterpiece
Professor aliyekua anaua victims wake kwa kutumia formula za hesabu za Fibonacci. Alijipeleka mwenyewe kwa FBI akawa challenge kama wataweza kuwapata. Hapa ilikua ishu ya intellectual capacity na Prof alikua anajiona genious.

IMG_1938.jpeg


8. The Granny Killer (Documentary, True Story)
John Wayne Glover, alijulika na the Granny Killer baada ya kuua vibibi zaidi sita kwenye mitaa ya kitajiri Australia kwenye miaka ya 1989 na 1990. Alikua anawavizia na anawapiga na nyundo kichwani na baadhi aliwabaka. Alikua ana wafuatilia kwa muda na kiwavizia jioni wakitoka kutembea na kuwapiga na nyundo kabla hawajaingia nyumbani kwao. Ikafikia kipindi mpk wabibi wakawa wanashauriwa watembee kwa vikundi. Kulikua na suspects 740 ambao walipunguzwa mpk 6 waliofuatiliwa kwa karibu nyendo zao masaa 24. Psychologists wanaamin alipokua anawaua hawa wabibi kwenye akili yake alikua anaona anamuua Mama yake na Mama Mkwe wake ambao alikua na ishu nao.

IMG_1939.jpeg


9. Tell Me Something (1999)
Movie ya kikorea ambapo serial killer alikua malaya anayejiuza mwanaume akimchukua anapotea na body parts zinakutwa kwenye sehem za kutupia taka mbalimbali za jiji la Seoul. Tatizo liliwasumbua wapelelezi ni kwamba zile body parts zilikua hazimatch. Mguu, mkono na torso zinapatika sehem moja lakini ni vya wanaume watatu tofauti.

IMG_1940.jpeg


10. The Stoneman Murders (1999)
Based on true story iliyotokea Calcuta na Bombay, India miaka ya themanini. Serial killer aliyekua anatarget ombaomba na homeless usiku wakiwa wamelala anaua kwa mawe makubwa ili atimizie sharti la kupata mtoto kutoka kwa mganga. Serial killer alikua polisi.

IMG_1941.jpeg



11. Feed (2005)
Serial killer aliyekua anawalisha wadada mabonge mpk wanakufa wakati amewawekea live streaming online huku watu wakilogin kwenye hyo website na wakibet huyo mdada anayelishwa atakufa lini...

IMG_1942.jpeg


IMG_1943.jpeg
 
Duh asante sana sana nitafanya mpango niipitie moja baada ya nyingine
Naomba nichangie huu uzi kwa kushare nanyi movie ambazo kwangu ni best zinazohusiana na serial killers (baadhi based on true story)

  1. Memories of Murder (2003)
Hii ni muvi ya kikorea ya serial killer ambaye aliwahi kutokea South Korean kati ya miaka ya

1986 mpaka 1991. Wanawake walikuwa wanabakwa na kuuliwa usiku. Upelelezi wakaja kugundua pattern kuwa muuaji hua anaua siku ambayo mvua inanyesha usiku na kuna nyimbo flani hua inaombwa ipigwe kwenye kipindi cha miziki cha redio usiku huo.

View attachment 1447866

2. Seven (1995)
Hii movie inahusu serial killer ambaye victims ni wale ambao wamecommit “seven deadly sins” kufuatana na kitabu cha Dante “Divine Commedy”. Victim aliyekua na zambi ya “gluttony” kama ulafi hivi, huyu alilishwa mpk utumbo ikaburst. Victim Mwingine aliyekua na zambi ya “lust”, uzinzi huyu ni malaya ambaye aliuliwa kwa kusexiwa na dildo la chumba. Victim mwingine ambaye zambi yake ilikua ni “sloth”, uvivu, huyu alifungwa kitandani akaachwa alale hapo bila maji wala chakula mpk afe....Ni kati ya muvi chache ambazo serial killer alitimiza list yake yote mpk muvi inaisha.

View attachment 1447859

3. Zodiac (2007)
Hii movie ni based on true story ya zodiac killer ambaye alikua California Marekanu kati ya miaka ya 1960 na 1970. Baada ya kuua victim wake aliandika barua na cross puzzles akiwaamu tu wazichapishe kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la sivyo ataua watu wiki nzima. Hii pia ni kati ya true story na movie ambayo serial killer hajawah kukamatwa.

View attachment 1447860

4. Resurrection (1999)
Hii movie inahusu serial killer ambaye alikua anaua , kuondoka na kiungo kimoja (mkono, mguu, au torso) na kuacha roman numerals kwenye miili ya victim wake. Detectives baadae wanakuja kugungua zile roman numerals muuaji ukiunganisha na jina la victim unapata mistali ya kwenye biblia ambayo killer motive yake ilikua inalenga humo. Mfano waliouliwa walikua Peter, Mathew & Jesus
View attachment 1447868

5. Suspect Zero (2004)
Hii movie inahusu serial killer aliyekua ana hunt other serial killers huku FBI wakiwa wanafuatilia na kuwa puzzled na nani hasa anawaua hawa serial killers.

View attachment 1447864

6. Criminal Minds Beyond Borders (nimesahau episode number)
Hii episode ya criminal minds inahusu diplomat ambaye alikua anaua nchi mbalimbali anazozitembelea. Authorities walikua wanapata shida sana kuconnect hizi murder mana zilikua zinatokea nchi tofauti na wakijakugundua murder jamaa anakua keshaondoka nchini na alikua hasachiwi gari yake wala mabegi sababu ya “diplomatic badge”

View attachment 1447858
7. Criminal Minds, Season 4, Episode 8 - Masterpiece
Professor aliyekua anaua victims wake kwa kutumia formula za hesabu za Fibonacci. Alijipeleka mwenyewe kwa FBI akawa challenge kama wataweza kuwapata. Hapa ilikua ishu ya intellectual capacity na Prof alikua anajiona genious.

View attachment 1447870

8. The Granny Killer (Documentary, True Story)
John Wayne Glover, alijulika na the Granny Killer baada ya kuua vibibi zaidi sita kwenye mitaa ya kitajiri Australia kwenye miaka ya 1989 na 1990. Alikua anawavizia na anawapiga na nyundo kichwani na baadhi aliwabaka. Alikua ana wafuatilia kwa muda na kiwavizia jioni wakitoka kutembea na kuwapiga na nyundo kabla hawajaingia nyumbani kwao. Ikafikia kipindi mpk wabibi wakawa wanashauriwa watembee kwa vikundi. Kulikua na suspects 740 ambao walipunguzwa mpk 6 waliofuatiliwa kwa karibu nyendo zao masaa 24. Psychologists wanaamin alipokua anawaua hawa wabibi kwenye akili yake alikua anaona anamuua Mama yake na Mama Mkwe wake ambao alikua na ishu nao.

View attachment 1447861

9. Tell Me Something (1999)
Movie ya kikorea ambapo serial killer alikua malaya anayejiuza mwanaume akimchukua anapotea na body parts zinakutwa kwenye sehem za kutupia taka mbalimbali za jiji la Seoul. Tatizo liliwasumbua wapelelezi ni kwamba zile body parts zilikua hazimatch. Mguu, mkono na torso zinapatika sehem moja lakini ni vya wanaume watatu tofauti.

View attachment 1447869

10. The Stoneman Murders (1999)
Based on true story iliyotokea Calcuta na Bombay, India miaka ya themanini. Serial killer aliyekua anatarget ombaomba na homeless usiku wakiwa wamelala anaua kwa mawe makubwa ili atimizie sharti la kupata mtoto kutoka kwa mganga. Serial killer alikua polisi.

View attachment 1447863


11. Feed (2005)
Serial killer aliyekua anawalisha wadada mabonge mpk wanakufa wakati amewawekea live streaming online huku watu wakilogin kwenye hyo website na wakibet huyo mdada anayelishwa atakufa lini...

View attachment 1447865

View attachment 1447862
 
Naomba nichangie huu uzi kwa kushare nanyi movie ambazo kwangu ni best zinazohusiana na serial killers (baadhi based on true story)

  1. Memories of Murder (2003)
Hii ni muvi ya kikorea ya serial killer ambaye aliwahi kutokea South Korean kati ya miaka ya

1986 mpaka 1991. Wanawake walikuwa wanabakwa na kuuliwa usiku. Upelelezi wakaja kugundua pattern kuwa muuaji hua anaua siku ambayo mvua inanyesha usiku na kuna nyimbo flani hua inaombwa ipigwe kwenye kipindi cha miziki cha redio usiku huo.

View attachment 1447866

2. Seven (1995)
Hii movie inahusu serial killer ambaye victims ni wale ambao wamecommit “seven deadly sins” kufuatana na kitabu cha Dante “Divine Commedy”. Victim aliyekua na zambi ya “gluttony” kama ulafi hivi, huyu alilishwa mpk utumbo ikaburst. Victim Mwingine aliyekua na zambi ya “lust”, uzinzi huyu ni malaya ambaye aliuliwa kwa kusexiwa na dildo la chuma. Victim mwingine ambaye zambi yake ilikua ni “sloth”, uvivu, huyu alifungwa kitandani akaachwa alale hapo bila maji wala chakula mpk afe....Ni kati ya muvi chache ambazo serial killer alitimiza list yake yote ya kuua mpk muvi inaisha.

View attachment 1447859

3. Zodiac (2007)
Hii movie ni based on true story ya zodiac killer ambaye alikua California Marekanu kati ya miaka ya 1960 na 1970. Baada ya kuua victim wake aliandika barua na cross puzzles akiwaamu tu wazichapishe kwenye ukurasa wa mbele wa gazeti la sivyo ataua watu wiki nzima. Hii pia ni kati ya true story na movie ambayo serial killer hajawah kukamatwa.

View attachment 1447860

4. Resurrection (1999)
Hii movie inahusu serial killer ambaye alikua anaua , kuondoka na kiungo kimoja (mkono, mguu, au torso) na kuacha roman numerals kwenye miili ya victim wake. Detectives baadae wanakuja kugungua zile roman numerals muuaji ukiunganisha na jina la victim unapata mistali ya kwenye biblia ambayo killer motive yake ilikua inalenga humo. Mfano waliouliwa walikua Peter, Mathew & Jesus
View attachment 1447868

5. Suspect Zero (2004)
Hii movie inahusu serial killer aliyekua ana hunt other serial killers huku FBI wakiwa wanafuatilia na kuwa puzzled na nani hasa anawaua hawa serial killers.

View attachment 1447864

6. Criminal Minds Beyond Borders (nimesahau episode number)
Hii episode ya criminal minds inahusu diplomat ambaye alikua anaua nchi mbalimbali anazozitembelea. Authorities walikua wanapata shida sana kuconnect hizi murder mana zilikua zinatokea nchi tofauti na wakijakugundua murder jamaa anakua keshaondoka nchini na alikua hasachiwi gari yake wala mabegi sababu ya “diplomatic badge”

View attachment 1447858
7. Criminal Minds, Season 4, Episode 8 - Masterpiece
Professor aliyekua anaua victims wake kwa kutumia formula za hesabu za Fibonacci. Alijipeleka mwenyewe kwa FBI akawa challenge kama wataweza kuwapata. Hapa ilikua ishu ya intellectual capacity na Prof alikua anajiona genious.

View attachment 1447870

8. The Granny Killer (Documentary, True Story)
John Wayne Glover, alijulika na the Granny Killer baada ya kuua vibibi zaidi sita kwenye mitaa ya kitajiri Australia kwenye miaka ya 1989 na 1990. Alikua anawavizia na anawapiga na nyundo kichwani na baadhi aliwabaka. Alikua ana wafuatilia kwa muda na kiwavizia jioni wakitoka kutembea na kuwapiga na nyundo kabla hawajaingia nyumbani kwao. Ikafikia kipindi mpk wabibi wakawa wanashauriwa watembee kwa vikundi. Kulikua na suspects 740 ambao walipunguzwa mpk 6 waliofuatiliwa kwa karibu nyendo zao masaa 24. Psychologists wanaamin alipokua anawaua hawa wabibi kwenye akili yake alikua anaona anamuua Mama yake na Mama Mkwe wake ambao alikua na ishu nao.

View attachment 1447861

9. Tell Me Something (1999)
Movie ya kikorea ambapo serial killer alikua malaya anayejiuza mwanaume akimchukua anapotea na body parts zinakutwa kwenye sehem za kutupia taka mbalimbali za jiji la Seoul. Tatizo liliwasumbua wapelelezi ni kwamba zile body parts zilikua hazimatch. Mguu, mkono na torso zinapatika sehem moja lakini ni vya wanaume watatu tofauti.

View attachment 1447869

10. The Stoneman Murders (1999)
Based on true story iliyotokea Calcuta na Bombay, India miaka ya themanini. Serial killer aliyekua anatarget ombaomba na homeless usiku wakiwa wamelala anaua kwa mawe makubwa ili atimizie sharti la kupata mtoto kutoka kwa mganga. Serial killer alikua polisi.

View attachment 1447863


11. Feed (2005)
Serial killer aliyekua anawalisha wadada mabonge mpk wanakufa wakati amewawekea live streaming online huku watu wakilogin kwenye hyo website na wakibet huyo mdada anayelishwa atakufa lini...

View attachment 1447865

View attachment 1447862
Nimezitafuta sana kuanzia namba 4 kwenda mbele sijaziona. Wapi napata link ya torrent?
 
Back
Top Bottom