Kwa wapenzi wa mambo ya mauaji tu

Kwa wapenzi wa mambo ya mauaji tu

Tumia na ya kwenye simu mzee. Cheap afu unasikiza kwenye foreni au walking
Yeah nimeunganisha DSTV na Simu, nahakikisha sikosi.
 

Attachments

  • Screenshot_20200414-093031.png
    Screenshot_20200414-093031.png
    141.1 KB · Views: 7
Hii sijawahi jaribu. Dah ila uwa maisha ya Washkaji yananifurahisha sana. Yaani mtu anaua tu bila reason wala haibi mali wala hela.

Yaani kuua kama hobbie tu kama mtu anavo penda pombe, sigara au mastabeshen
Ijaribu iko poa sana na unaweza kuseti reminder Kabisa! Uzuri pia unaweza kuangalia baadae ukitulia! Huna haja ya kugombania remote! Naweza kwenda mahali nakaa natulia nafaidi utamu! Ni addiction moja matata sana!
Long Live All Serial Killers na wapumzike kwa amani waliotangulia
 
Ijaribu iko poa sana na unaweza kuseti reminder Kabisa! Uzuri pia unaweza kuangalia baadae ukitulia! Huna haja ya kugombania remote! Naweza kwenda mahali nakaa natulia nafaidi utamu! Ni addiction moja matata sana!
Long Live All Serial Killers na wapumzike kwa amani waliotangulia
Hahahah sidhani kama watapumzika kwa Amani kaka. Duh kuna majamaa hawafai.
 
Unaweza pia kutafuta kwa YouTube "Last words of Serial Killers before execution" jamaa hawaogopi kifo
 
Balaa kupenda mauaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Usishangae Mkuu, kuna watu humu wanapenda Porn, kila mtu yuko busy kutoa comment yaani ni wastaarab utadhani wako kwenye ibada ya uvuvio.
Kuna members hutakaa uwaone jukwaa lingine lolote mahali popote wao ni kule tu. Na wana siri Freemasons watasubiri. Kwahio wala usiogope
 
Usishangae Mkuu, kuna watu humu wanapenda Porn hadi @maxence mello kawafungulia jukwaa lao, ukifika jukwaa la mambo ya kikubwa yaani liko tulivuuu, kila mtu yuko busy kutoa comment yaani ni wastaarab utadhani wako kwenye ibada ya uvuvio.
Kuna members hutakaa uwaone jukwaa lingine lolote mahali popote wao ni kule tu. Na wana siri Freemasons watasubiri. Kwahio wala usiogope
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Usishangae Mkuu, kuna watu humu wanapenda Porn hadi @maxence mello kawafungulia jukwaa lao, ukifika jukwaa la mambo ya kikubwa yaani liko tulivuuu, kila mtu yuko busy kutoa comment yaani ni wastaarab utadhani wako kwenye ibada ya uvuvio.
Kuna members hutakaa uwaone jukwaa lingine lolote mahali popote wao ni kule tu. Na wana siri Freemasons watasubiri. Kwahio wala usiogope

Daah mkuu nimecheka sana eti wanasiri Freemason watasubiri..
Ila nakumbuka mkuu Mello alisema hakuna jukwaa kama hili la wakubwa lilikuwepo zamani sio sasa..tafadhari mkuu
 
Ijaribu iko poa sana na unaweza kuseti reminder Kabisa! Uzuri pia unaweza kuangalia baadae ukitulia! Huna haja ya kugombania remote! Naweza kwenda mahali nakaa natulia nafaidi utamu! Ni addiction moja matata sana!
Long Live All Serial Killers na wapumzike kwa amani waliotangulia
Hawa jamaa wana roho nzuri sana, kwa huku Africa ni kama wale wachawi wanaotuchukuaga misukule na kwenda kututesa bila ya wao kufaidika na chochote.
 
Back
Top Bottom