Kwa wapenzi wa mambo ya mauaji tu

Kwa wapenzi wa mambo ya mauaji tu

Kuna Moja ya Mdada alikua serial killer kwa Miaka 25 mfulirizo bila kugundulika.

Alkikua anadili na wazee wastaafu waliokua wameshhafiwa na wake zao, Akifukuzia FAO la WAJANE

Akishaua anahama mji, saa nyingine mpaka nchi.

Anawadunga sumu ya Arsenic kidogo kidogo kwa Miaka miwili mpaka mittatu mfururizo mpaka mzee anaugua KANSA.

Kisha yeye anakua kipaumbele sana na familia kuuguza mpaka mzee atakapokata roho.

Akishakata roho, kisheria anarithi Mali za marehemu na kupewa FAO la WAJANE.

Akishapokea chake anahamia mji mwingine au nchi nyingine.

Anabadili vitambulisho vyake kwa fake I'd.

Akifika anapangisha nyumba ya gharama sana na kununua gari za gharama Rolls Royce, cardilac n.k.

Kisha anaibuka viwanja wanavyoenjoy wazee wastaafu wenye pesa zao.

Kwa jins alivokua mrembo, wazee Walikua hawaruki

Pia kwa jins alivokua vema kiUchumi,hata usingemstukia kua anadanga.

Alikuja kukamatwa KIZEMBE SANA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Moja ya Mdada alikua serial killer kwa Miaka 25 mfulirizo bila kugundulika.

Alkikua anadili na wazee wastaafu waliokua wameshhafiwa na wake zao, Akifukuzia FAO la WAJANE

Akishaua anahama mji, saa nyingine mpaka nchi.

Anawadunga sumu ya Arsenic kidogo kidogo kwa Miaka miwili mpaka mittatu mfururizo mpaka mzee anaugua KANSA.

Kisha yeye anakua kipaumbele sana na familia kuuguza mpaka mzee atakapokata roho.

Akishakata roho, kisheria anarithi Mali za marehemu na kupewa FAO la WAJANE.

Akishapokea chake anahamia mji mwingine au nchi nyingine.

Anabadili vitambulisho vyake kwa fake I'd.

Akifika anapangisha nyumba ya gharama sana na kununua gari za gharama Rolls Royce, cardilac n.k.

Kisha anaibuka viwanja wanavyoenjoy wazee wastaafu wenye pesa zao.

Kwa jins alivokua mrembo, wazee Walikua hawaruki

Pia kwa jins alivokua vema kiUchumi,hata usingemstukia kua anadanga.

Alikuja kukamatwa KIZEMBE SANA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakumbuka Title yake?
 
Kama unapenda story za haya mauaji na unapenda muvi piah nakushaul nenda katazame hi kitu inaitwa PERFUME THE STORY OF MURDER kijana alikua anaua wadada bikra anawakat nywele ili atengenez perfume yenye harufu nzima kuliko zote duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana Mpwa. Ngoja nitafute link tuiweke ili iwe rahisi kwa wenzetu pia kuisoma.
 
Back
Top Bottom