Kwa wanaume: Dressing table yako ina nini na nini?

Kwa wanaume: Dressing table yako ina nini na nini?

Kama huyu ndio wewe, nakupelekea moto

1768347500584.jpeg
 
Nataka nipate uzoefu kama kuna kitu kimekosa,
mimi nina
  1. Perfume
  2. Nail cutter
  3. Lotion
  4. Body spray
  5. Lip gloss
  6. Aftershave
  7. Tweezers
  8. bila kusahau mafuta ya nywele
So what am I missing here?

Kwa namba 1 naongeza
Jewellery
Make-up powder au/na
Foundation
Lipsticks
Mascara
Nail polish
N. K.

Namba 6
Hiyo nayo why?

Nimejaribu 😊

xxxxxx

... Kichwa ya uzi imebadilishwa kuwa ilivyo sasa.... 👁️‍🗨️
Basi iwe cologne.. 😊
 
Mwanaume una dressing table serios au wewe mvula mwanaume unamka unaoga tena bafuni dakika tano nyingi unatoka uko unapaka mafuta unavaa nguo wife ndio anakwambia baba chacha ebu njoo anakurekebisha kidogo au baba nyangema hiyo seruali au hilo shati au hicho kiatu au vipi hapana unatoka zako uyo kwenye mishe saa mwanaume unapaka mafuta umevua nguo zote, unajiangalia kwenue kioo, unapaka poda haaa haaa mambo ya mapooda aaah mnaferi wapi wazee
 
Mwanaume una dressing table serios au wewe mvula mwanaume unamka unaoga tena bafuni dakika tano nyingi unatoka uko unapaka mafuta unavaa nguo wife ndio anakwambia baba chacha ebu njoo anakurekebisha kidogo au baba nyangema hiyo seruali au hilo shati au hicho kiatu au vipi hapana unatoka zako uyo kwenye mishe saa mwanaume unapaka mafuta umevua nguo zote, unajiangalia kwenue kioo, unapaka poda haaa haaa mambo ya mapooda aaah mnaferi wapi wazee
Tena ukipaka mafuta ni marufuku kupaka kwny makalio.
 
Nataka nipate uzoefu kama kuna kitu kimekosa,
mimi nina
  1. Perfume
  2. Nail cutter
  3. Lotion
  4. Body spray
  5. Lip gloss
  6. Aftershave
  7. Tweezers
  8. bila kusahau mafuta ya nywele
So what am I missing here?
Dressing table ni kwa wanawake. Kwa wanaume, hivyo vitu vinakaa bafuni, kama huishi nyumba za kizamani, bafuni ndipo hivyo vitu vinakaa (kasoro lip gloss hiyo ni too much).
 
Back
Top Bottom