Namkumbuka H/Master Andrew Kwayu, Mama Temba akitufundisha 'Namba ', 'Kicheche' akitufundisha siasa.
Bible Scripture aiidha pale Don Bosco au ktk jengo moja pale karibu na Muhimbili Hosp.
Ugomvi ktk soccer sie na Tambaza Boys miaka ya nyuma ilikuwa kitu cha kawaida. Siku moja ulitokea ugomvi mkubwa pale ktk uwanja wa shule Muhimbili P/School, tukavulumishiwa mawe na vijana wa O Level, refa alikuwa Padri mmoja wa Ki-Phillipino toka Bon Bosco, baada ya hali kuwa mbaya alichomoa bastora na kupiga risasi mbiili juu! Hiyo ikawa salama yetu.
Nakumbuka ilikuwa tukichoka ku-bukua, tulikuwa tukiingia Pale Paramedical Muhimbili kucheza disco.
Kipindi hicho tukiwa na akina Akilimali Kighoma Malima, Patrick Mkandya, Ismael Kulengwa(Mzee wa kambi), Asimwe Kabunga, Lusajo, Arnold Nzali; Tito William, Muhindi Musyangi, Nelson (Easy E), Rweyemamu (Mom), Adronicus Buberwa, Kantalamba, Abraham Chenelo na wengine wengi.
Na wengi wengi:Evarist Limbanga ,Kirungi Ruteganya,Josephat Kyaruzi,Akida Musa...Mabwai,YAANII WEWEEEEE ACHA TU.
Joseph Mwaikasu,Momu mdogo na mkubwa,sub-stance au Jitu(Geofrey),Peter Kintu,Martini Nayingo,Moses,Nyarali nk
9
Mimi nilikuwepo enzi za headmaster:Kisamo.Makumu wake:Mzee Mejja na wakati huo A-level kuna combination ya PCM tu na tulikuwa tunajiita tupo hotelini maana misosi ilikuwa balaaaa.
Ewaa, wewe tulikuwa pamoja wakati ukuta haujajengwa. Kulikuwa na Mwl Amos (kicheche), Mama Semhando, Mwl Bulemo nk, enzi hizo mihogo inakaangwa nje ya fensi ya michongoma. Unamkumbuka mkaanga mihogo aliyeitwa Kizua?
Mzee Kwayu na Mwl Mchwampaka walitukuta pale ASS na tukawaacha.
Ewaa, wewe tulikuwa pamoja wakati ukuta haujajengwa. Kulikuwa na Mwl Amos (kicheche), Mama Semhando, Mwl Bulemo nk, enzi hizo mihogo inakaangwa nje ya fensi ya michongoma. Unamkumbuka mkaanga mihogo aliyeitwa Kizua?
Mzee Kwayu na Mwl Mchwampaka walitukuta pale ASS na tukawaacha.
Headmaster Kwayu alitukuta ASS akitokea Ndanda nakumbuka siku analipoti ASS bweni la A-level akamkuta Akili Malima amekata bonge la panki -OPP akamuuliza wewe nani na unafanaya nini hapa akamwammbia mimi A-level,Kwayu akamwambia kweli wewe utafaulu kweli?Jamaa akamjibu subiri matokeo utaoyana na kweli jaama alifaulu.Kuanzaia hapo Kwayu alikuwa mpole kwa A-LEVEL ASS.
Cherehani,Abraham..ect.Je mnamkumbuka mwalimu wetu wa tuition:SO MUCH SIMPLE na msemo wake wa University sio choo kila mtu anaingia...eeeeeh alikuwa anatufundisha Advanced Maths na Chemistry? Je mnamumbuka Mzee kazi na Physics yake?Yaani acha tu
Na wengi wengi:Evarist Limbanga ,Kirungi Ruteganya,Josephat Kyaruzi,Akida Musa...Mabwai,YAANII WEWEEEEE ACHA TU.
Unamkumbuka yule mzee wa kichagga, mwangalizi wa mabweni aliyekuwa anakaa peke yake pale karibu na bweni la O' Level?
Hata jina nilishasahau! Punishment kipindi kile ilikuwa kulisha yale maviti moto karibu na jiko la shule.
Na wengi wengi:Evarist Limbanga ,Kirungi Ruteganya,Josephat Kyaruzi,Akida Musa...Mabwai,YAANII WEWEEEEE ACHA TU.
hahaaa namsoma alikua anaitwa YENGELA sijui kama alikua ni Mchaga yule, halafu alikua kila ijumaa lazima aingize Malaya basi sisi tuliokua tunakaa Hosteli tulikua tunasubiri ikifika saa 4 usiku tulikua tunakula CHABO...
........Yeah, mie nilkuwa azajangwa ya ukwata. Umenikumbusha mbali sanaaaaaa!!
Mumbray Dominic (mu- Iraqi), mtoto wa Cleopa Msuya, Joseph Ndosi, Kintu, Adro Buberwa, Martin Nayingo, Coiler, Lusajo
Kamala Kusyupa, Mzee wa Gitaa la Azania - mkerewe Msilanga Luji, Daniel Mabala (TANROAD, SHY) nk.
Mimi nilikuwepo enzi za headmaster:Kisamo.Makumu wake:Mzee Mejja na wakati huo A-level kuna combination ya PCM tu na tulikuwa tunajiita tupo hotelini maana misosi ilikuwa balaaaa.