Kitope
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 236
- 58
Wagumu walikua TA (Tambaza), ASS (Azania Soma Sana) walikuwa mabishoo.
Hapa ndipo penyewe!! walikuwa wanavaa kaptura na mikanda miwili na chini lazima ipigwe turn over!! kitambaa kile cha kaki kilikuwa kinawashwa pasi na sio kupiga pasi!! maana mbele kama kisu hapo usikutane nae anaelekea fire kupanda basi na mfuko wake wa rambo nyuma mabinti wa jangwani. Anavyodunda utakataa ;-) kama anaishi kule kwetu uwanja wa fisi! hapo bado hajafika mtaani kuonyesha kila mtu kwamba anasoma Azania..................