Huo ni uharo tu. Nani anataka kwenda Marekani? Ujinga mtupuMahera inakuhusu hii
Huo ni uharo tu. Nani anataka kwenda Marekani? Ujinga mtupuMahera inakuhusu hii
Hawa ndiyo ma GT wa JF ingawa JF kwa nature yake haiwatambuiPompeo kwaheri ya kuonana,
Huyu mzee aliichukia Sana Tanzania,
Alikua anatuadhibu while hakukua na any grave reasons to do so compared to other countries.
Kama kulikua na grave mistakes za kupelekea sisi kupata adhabu za nchi kama Somalia na za aina hiyo wakaangalie Zanzibar, kule kuna SUK na amani tele.
Vikwazo hivi vina agenda nyingine ya siri ya kupambana na sisi, hakuna demokrasia it's all about the economy.
Marekani analia kwamba investments zake zimeathiriwa sasa hivyo naye anaamua kupambana nasi kupitia kivuli cha demokrasia.
Haya ni madhara yaliyoletwa na wale wote waliokuwa wanalitakia Taifa letu mabaya kwa kupeleka Taarifa mbaya juu yetu, Maria Sarungi, Fatma Karume, Tundu Lisu na wenzake hao hawatakii mema Taifa letu hata chembe.
Nawe umezidi upuuzi. Inaonesha elimu yako matatizo tuKwa Taarifa yako waliozuiliwa wengi ni viongozi wako japo wa Tume nao wamo , kuna lundo la viongozi wanaokutumikisha , halafu kingine unachopaswa kufahamu ni kwamba ukizuiliwa na USA , basi kuna mataifa mengine kama 10 hivi hutakanyaga , omba Mungu msiugue Tezi dume au maradhi mengine ya kukata viungo kama naniliuu aliyekatwa vidole
Mimi naona ndo wamejenga moral authority kwa kuonesha kuwa taasisi zao zipo huru, hata rais aliyepo madarakani hawezi ingilia. Sheria kwao inayo nguvu tofauti na Tz ambako Rais ndo katiba.Mmi nalichukia lisisiemu na vyote vilivyomo ila marekani imepoteza moral authority kulizungumzia hili hususani kwa huu mwaka
Uharo utaishia kwa secretary wake wa social mediaUnadhani Pompeo ana muda wa kusoma uharo wa uvccm?
Hawawezi hawa ubabe wa ndani tu. Watatuonea sisi tuliopo ndani...nadhani Jpm alikuwa anatuma ujumbe kwa Wamarekani kupitia balozi wa Uingereza.
..nashauri serikali ya ccm nayo iwawekee vikwazo maafisa toka serikali ya Marekani.
..Mwalimu Nyerere aliwahi kumtimua balozi wa Marekani nchini.
..Kama kweli serikali ya ccm haiyumbishwi basi ichukue maamuzi magumu sasa.
Tweeter siyo US.Kwa hiyo CEO wa Twitter yupo juu ya katiba,manake kufanya hivyo ni kumnyima Trump uhuru wa kujieleza na siku zote US wanakuaga wakali kama akitokea mtu akaubana uhuru wa kujieleza.
Sasa kwa nini hawa kumwambia kwamba hicho alicho kifanya ni kosa.
Wauweni basi ili mpate amani, kwani mshaua wangapi.Pompeo kwaheri ya kuonana,
Huyu mzee aliichukia Sana Tanzania,
Alikua anatuadhibu while hakukua na any grave reasons to do so compared to other countries.
Kama kulikua na grave mistakes za kupelekea sisi kupata adhabu za nchi kama Somalia na za aina hiyo wakaangalie Zanzibar, kule kuna SUK na amani tele.
Vikwazo hivi vina agenda nyingine ya siri ya kupambana na sisi, hakuna demokrasia it's all about the economy.
Marekani analia kwamba investments zake zimeathiriwa sasa hivyo naye anaamua kupambana nasi kupitia kivuli cha demokrasia.
Haya ni madhara yaliyoletwa na wale wote waliokuwa wanalitakia Taifa letu mabaya kwa kupeleka Taarifa mbaya juu yetu, Maria Sarungi, Fatma Karume, Tundu Lisu na wenzake hao hawatakii mema Taifa letu hata chembe.
Hujui lolote kuhusu sanctions bali unajiropokea tu!Nikiziangalia sura zilizojazana NEC na kwa msajili wa vyama vya siasa kwa hakika wamejaa wazalendo watupu na wengi wao hata huko Marekani hawakujui...
Ndo hivyo hakuna Cha kucharuka, may be waliocharuka wako karibu na keki ya taifa,itoshe sema tz ni yetu wote, hakuna haja ya kujitoa hufaham kwamba pompeo anaongea asichokua na huakika nacho by the way ,hawezi angaika na hizo tweeter zenu,lazima kujiuliza na EA ikiwemo tz tunakwama wapi,tatizo nini, kwamba madaraka yamekua au ubinafsi, yamekua juu kuliko misingi ya utu, haki,cheki Uganda mgombea anakua under military,Kama vile Mseveni ndo kaumba, nchi ya Uganda tuna viongozi wa ajabu Afrika haijawai tokea,Vijana wa kitanzania wameanza kuwa wazalendo .View attachment 1681528View attachment 1681529View attachment 1681530
Kwanza kuishi tu ukiwa umepigwa marufuku kutembelea au kutengwa na sehemu fulani ya dunia ni TESO LA KISAIKOLOJIA hata kama hukuwa na mpango wa kwenda huko.Nikiziangalia sura zilizojazana NEC na kwa msajili wa vyama vya siasa kwa hakika wamejaa wazalendo watupu na wengi wao hata huko Marekani hawakujui...
Hizi ndizo akili za MatagaPompeo limeharishaa madagaaaa ya juzi
Hahaha hao hawana pesa ya kwenda Marekani hata wasingefungiwa sawa tu.Safi sana, Jaji Mitungi na Mahera
There are key principles of democracy which apply everywhere regardless of the context - time and space.Kwani demokrasia yetu lazima ifanane na yao? Nyerere alisema, democracy is not like a bottle of Cocacola that you can just import from some other place, democracy should be self grown to suite the needs of our country, they can shove their sanctions up their stinky azz holes
Huo ni mfano tu, demokrasia ina vipengele
Vingi ndani yake, na vinatofautiana kati ya nchi na nchi kulingana na mazingira, mfano wao wakipiga kura online bila kwenda kituoni haimaanishi kwamba sisi tunaoenda kutumbukiza karatasi tunaijua sana demokrasia, ila ni mazingira ya kiteknolojia ndio yametulwamisha, hivyo demokrasia inavyotekelezwa kwao wasilazimishe ndio iwe hivyo huku, tunatofautiana...