joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,182
- 31,810
Katiba imempa kila raia wa US uhuru wa kujieleza kwa kufunga acc ya Trump manake umemnyima haki yake ambayo imetambulika kikatiba na kwa kufanya hivyo wameenda kinyume na katiba na kwenda kinyume na katiba ni kosa.Hawajafungia mitandao Bali ac ya trump