Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Fuga kuku, nunua majike wane, na nunua tenga za kuwafunikia usiku,anza kufugia nyumbani na usiku tandika mifuko sebureni na wafunike na tenga, wakitaga na kutotoa utakuza mtaji
 
Kuna uzi kama huu humu jf, kuna jamaa alikuwa na laki moja na nusu, nimempa usauri na sasa yupo vizuri. Tafuta huu uzi
 
Kijana kuna uzi nimeuweka unahusu biashara ya viatu vya mtumba vya kike na kiume kutoka jamhuri ya korea

viatu tunauza kwa bero na vinakuwa mchangayiko kama vile open shoes simple viatu vya mpira boot vya ofisi raba n.k

bei zetu ni kama ifuatavyo.

vya wanaume sh. 220000 kwa bero moja na inapungua kutegemeana na idadi ya bero za mteja

vya kike 130,000 na inapungua kulingana na idadi ya bero anazochukua mteja


NB. bero moja la viatu vya kiume lina wastani wa viatu pair 55 hadi 60 Kwa kawaida 60
vya kike pair 80 hadi 90

PIGA SIMU NAMBA 0758176058 kwa maelezo zaidi na jinsi ya kuweka oda ya mzigo. Pia inapatikana kwa watsap

Viatu ni vya ubora wa hali ya juu na vinaenda na wakati na vingi vinakuja vikiwa kama vipya kwa maana havijatumika sana

TUNAPATIKANA CHANG'OMBE DAR.


KARIBU SANA NA HUWEZI JUTA......

Thread ni ya mda kidogo,naweza kukutafuta sasa tukafanya biashara?
 
Kaka fanya uchunguzi mahali unapoishi kuna shida ya nini. Inaweza kuwa maji n.k halafu igeuze hio shida kuwa ntaji wako wa kujipatia fedha kama hamna maji hapo mtaani unaweza kununua tanki ukawa unauza kwa ndoo sh 400 n.k
 
Kuna watowa ushauri humu dah ni hatari tupu,
Spare za magari mfano wa scania.???
 
Back
Top Bottom