Wakuu naleta kwenu omb lang la msaada kwa yyt anaefaham mambo ya biashara, naomba anshaur biashara nnayoweza kuifanya kwa mtaj wa Tsh. 100,000/= tu.
Nenda ukabet muue man u
Kijana kuna uzi nimeuweka unahusu biashara ya viatu vya mtumba vya kike na kiume kutoka jamhuri ya korea
viatu tunauza kwa bero na vinakuwa mchangayiko kama vile open shoes simple viatu vya mpira boot vya ofisi raba n.k
bei zetu ni kama ifuatavyo.
vya wanaume sh. 220000 kwa bero moja na inapungua kutegemeana na idadi ya bero za mteja
vya kike 130,000 na inapungua kulingana na idadi ya bero anazochukua mteja
NB. bero moja la viatu vya kiume lina wastani wa viatu pair 55 hadi 60 Kwa kawaida 60
vya kike pair 80 hadi 90
PIGA SIMU NAMBA 0758176058 kwa maelezo zaidi na jinsi ya kuweka oda ya mzigo. Pia inapatikana kwa watsap
Viatu ni vya ubora wa hali ya juu na vinaenda na wakati na vingi vinakuja vikiwa kama vipya kwa maana havijatumika sana
TUNAPATIKANA CHANG'OMBE DAR.
KARIBU SANA NA HUWEZI JUTA......
anza kufatilia biashara ya tigo pesa na m-mpesa<br />
<br />
mkuu hyo biashara ya mikonon ndo me naitaka,nimeisha anza na vocha,naona haiko vibaya sana,so nataka kuzifanya za aina mbalimbali nctegemee ya aina moja tu.
Fungua duka la spea za magari makubwa,hiyo inatosha na kubaki
Fungua duka la spea za magari makubwa,hiyo inatosha na kubaki
Mmi nina laki sita naweza kufanya biashara gani?
kama kweli una nia ya kutafuta fedha,jichanganye kwenye maeneo yanayouza pombe za kienyeji,huo mtaji kwa muda mfupi utaongezeka sana.kama vp unaweza kumix na ndum kimtindo
kuwa seriouz
kama kweli una nia ya kutafuta fedha,jichanganye kwenye maeneo yanayouza pombe za kienyeji,huo mtaji kwa muda mfupi utaongezeka sana.kama vp unaweza kumix na ndum kimtindo