Hongera sana @Ndg.MWASALEMBA kwa thread nzuri na asante sana kwa maelezo yote, xfactor hope umeona pm yangu.
Mkuu nimekuwa very impressed na motivated na huu UZI aisee, ni jana tu nilikuwa najaribu kupitiapitia ktk mtandao wa ALIBABA na nikaona kweli mtu unaweza anza kwa kamtaji kako kidogo na baadae ukawa mdau mkubwa sana.
Ingawa bado nina mashaka ya kukutana na matapeli na pia sijajua gharama ya usafirishaji mf. camera zenye jumla ya Tshs 1,000,000/=
Bila shaka utakuwa umesha ingia kundini, kazi Kwako sasa. Ila usiwe kimya ukiingia huko, funguka vya kutosha kama mwenye thread