Kwa kuwa platform atayobakia nayo kuendeleza chuki kwenye jamii ni lile kanisa lake, mamlaka zimfungie huduma hiyo tuone jeuri anaitoa wapi

Kwa kuwa platform atayobakia nayo kuendeleza chuki kwenye jamii ni lile kanisa lake, mamlaka zimfungie huduma hiyo tuone jeuri anaitoa wapi

Yaani umekaa kabisa ukawaza kuandika hiki? Kwanini hamuwezi kumjibu hoja zake? N
Akizungumza kama Mtanzania ni sawa.

Sasa anaenda kuzungumza kanisani kwake,Ile ni sehemu ya Ibada au sehemu ya kufanya HARAKATI against Dola?

Dola hiyo hiyo iliyompa leseni,why sasa ISIMFUNGIE huyu kichaa.
 
Friends and Our Enemies,

GWAJIMA,ni mtu mwenye akili fyatu,na ni mtu ambae kwa mustakabali wa maslahi yake atafanya chochote ili mradi afanikishe malengo yake.

Tumeona hapo nyuma namna ambavyo amekuwa anaitumia platform ya kanisa lake kukashifu viongozi na kulumbana na watu wa aina mbali mbali.

Ni kwa bahati mbaya sana mtu huyu alidekezwa kwa miaka mingi na hadi ikafikia hatua ya kuona anachokifanya hapo kanisani kwake ni sahihi.

Kanisa ni sehemu ya Ibada na kuchunga hao anaosema ni kondoo wake,Kuna UTARATIBU wa kuendesha Ibada na yapi ayafanye na yapi asijiafanye kulingana na leseni yake.

Hakupewa leseni ya kuendesha kanisa kama sehemu ya HARAKATI za kugombana na serikali,kuleta chuki kwa wananchi na kadhalika.
Amepewa leseni afanye KAZI za Ibada na maombi

Sasa,kwa kuwa baada ya kuondoka CCM atarudi kwa Kasi KUBWA kwenye platform yake ya siku zote ya kushambulia wapinzani wake huku akiegemea kwenye kivuli cha huduma ya bwana,kwanini wizara husika,mfano wizara ya mambo ya ndani ISIMFUNGIE MOJA KWA MOJA KUFANYA HUDUMA HIYO ILI TUONE HICHO KIBRI NA JEURI ANAITOLEA WAPI?
Hivi wewe ni wa kushangilia watu watekwe wauawe wapotezwe?
 
Mtu anazungumzia vitendo vya utekaji nyie mnasema anasambaza chuki, hivi humo vichwani huwa mmejaza haja kubwa???

Kazi kubwa ya vyombo vyetu vya usalama ni kuhakikisha usalama wa Raia na mali zao sasa endapo usalama huo unakosekana na haswa kwa wale wanaowakosoa maana yake ni nini???!!! Mzazi wako ama mtoto wako akipotezwa na ‘wasiojulikana’ kisa tofauti za ki mitazamo huo ndio uzalendo??!!

Hamna akili, kila hoja kinzani mnataka kuzizima kwa vitisho ama nguvu, haya mambo yana mwisho ndugu zetu, Bashar al-Assad leo anaishi mafichoni, Sheikh Hasina yuko mafichoni.

Wanyonge wakichoka huwa wanageuka waasi
 
Hakuna misikiti inayoenezwa chuki dhidi wa ukristo na wakristo,kama ipo itaje.

Acha kauli za kifala kifala kwenye mambo ya msingi.

Sisi tunataka huyo askofu uchwara afungiwe,tuone JEURI ANAITOA WAPI .

Amefungua huduma ya kanisa kutukana watu na serikali au kuchunga nyinyi kondoo wake?

SI anasema anatoa huduma za kufufua WAFU na kuwapa uzima.?them why asiendelee na huduma hiyo,eti kufufua WAFU...na mlivyo mafala mnakubali kwenda kutoa sadaka.
Kwa nini Mwamposa anayefanya siasa za CCM asifungiwe??
 
Mtoa mada ingekua baba yako. Kaka yako au mdogo wako ametekwa ungemwelewa gwajima
 
Fungeni na mitandao ya kijamii , Sikuhizi ibada ziko club house na spaces
Basi mwambie huyo baba askofu wako huduma zake ahamishie huko.

Huku kama hataki KUFUATA UTARATIBU hiyo leseni na itafungwa.
 
Mapaja ya kuku wewe.Kenge wa ccm
 
Friends and Our Enemies,

GWAJIMA,ni mtu mwenye akili fyatu,na ni mtu ambae kwa mustakabali wa maslahi yake atafanya chochote ili mradi afanikishe malengo yake.

Tumeona hapo nyuma namna ambavyo amekuwa anaitumia platform ya kanisa lake kukashifu viongozi na kulumbana na watu wa aina mbali mbali.

Ni kwa bahati mbaya sana mtu huyu alidekezwa kwa miaka mingi na hadi ikafikia hatua ya kuona anachokifanya hapo kanisani kwake ni sahihi.

Kanisa ni sehemu ya Ibada na kuchunga hao anaosema ni kondoo wake,Kuna UTARATIBU wa kuendesha Ibada na yapi ayafanye na yapi asijiafanye kulingana na leseni yake.

Hakupewa leseni ya kuendesha kanisa kama sehemu ya HARAKATI za kugombana na serikali,kuleta chuki kwa wananchi na kadhalika.
Amepewa leseni afanye KAZI za Ibada na maombi

Sasa,kwa kuwa baada ya kuondoka CCM atarudi kwa Kasi KUBWA kwenye platform yake ya siku zote ya kushambulia wapinzani wake huku akiegemea kwenye kivuli cha huduma ya bwana,kwanini wizara husika,mfano wizara ya mambo ya ndani ISIMFUNGIE MOJA KWA MOJA KUFANYA HUDUMA HIYO ILI TUONE HICHO KIBRI NA JEURI ANAITOLEA WAPI?
Wamuache tu

Kanisa lishajifia
 
Kosa ni kuzungumzia watu wanaopotea?Tatizo watu wengi hawapendi kukosolewa hasa anapokuja mtu wa chama Chao,anaonekana msaliti!Msaliti kivipi huku tunaona hata vipofu?!!!Hujashawishi Bado!
Hana hoja zozote yule mwehu.

Angle aliyokuwa anatafuta sasa imeshapatikana.
 
Akizungumza kama Mtanzania ni sawa.

Sasa anaenda kuzungumza kanisani kwake,Ile ni sehemu ya Ibada au sehemu ya kufanya HARAKATI against Dola?

Dola hiyo hiyo iliyompa leseni,why sasa ISIMFUNGIE huyu kichaa.
Wewe ulimuona alikuwa anazungumzia suala la utekaji akiwa kanisani? Umeiangalia press conference yake?
 
Friends and Our Enemies,

GWAJIMA,ni mtu mwenye akili fyatu,na ni mtu ambae kwa mustakabali wa maslahi yake atafanya chochote ili mradi afanikishe malengo yake.

Tumeona hapo nyuma namna ambavyo amekuwa anaitumia platform ya kanisa lake kukashifu viongozi na kulumbana na watu wa aina mbali mbali.

Ni kwa bahati mbaya sana mtu huyu alidekezwa kwa miaka mingi na hadi ikafikia hatua ya kuona anachokifanya hapo kanisani kwake ni sahihi.

Kanisa ni sehemu ya Ibada na kuchunga hao anaosema ni kondoo wake,Kuna UTARATIBU wa kuendesha Ibada na yapi ayafanye na yapi asijiafanye kulingana na leseni yake.

Hakupewa leseni ya kuendesha kanisa kama sehemu ya HARAKATI za kugombana na serikali,kuleta chuki kwa wananchi na kadhalika.
Amepewa leseni afanye KAZI za Ibada na maombi

Sasa,kwa kuwa baada ya kuondoka CCM atarudi kwa Kasi KUBWA kwenye platform yake ya siku zote ya kushambulia wapinzani wake huku akiegemea kwenye kivuli cha huduma ya bwana,kwanini wizara husika,mfano wizara ya mambo ya ndani ISIMFUNGIE MOJA KWA MOJA KUFANYA HUDUMA HIYO ILI TUONE HICHO KIBRI NA JEURI ANAITOLEA WAPI?
Jibu hoja kaka. Kuna swing voters wengi mtaani. Tunafuatilia mtanange huu. Tumemsikia Gwajima, sasa nanyi leteni majibu kwa takwimu na hoja, punguzeni vitisho. Nchi yetu sote
 
Acha ujinga wewe, kanisa huwa halifungiki usitoe ushauri wa namna hii. Halafu hawa mnaowaona ni radical ukidhibiti mmoja wanaibuka wengine wakali zaidi. Acheni watu waseme ukweli nchi iponywe
 
Kwa akili za wana ccm watamfukuza uanachama na kanisa kufutwa ili wamkomoe

waacheni wagombane wao kwa wao, wanajuana na wote ni wezi, wauaji, mafisadi
 
Back
Top Bottom