Kinyambiss
JF-Expert Member
- Dec 2, 2007
- 1,374
- 72
oneni watu waudaku mnavyo hijack the topic.. I hate that about JF.. OK in short Mzee Mkapa hit it off once sijui na huyo Rita.. Yeye akaona sifa akawa anajipaisha na alipoachwa kuchaguliwa in the 1st cabinet alipata kichaa akalazwa ikabidi kaka yake Kweka atoke UK kuja kumuona.. Then Mkapa ndio akampa shavu la Unaibu... Its not a big deal.. Wapenda udaku I hope mmeshiba.. Sasa naomba tusubiri data za topic husika sio kuandika vapour.