Nazir Karamagi: Itakuwa ni jambo la ajabu kwa Tanzania kutochangamkia fursa ya kumpata mwekezaji mwingine katika bandari

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,815
4,565
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Bukoba Vijijini na Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, amesema itakuwa ni jambo la ajabu kwa Tanzania kutochangamkia fursa ya kumpata mwekezaji mwingine katika bandari ili kuleta ufanisi wa utendaji na mapato.

Karamagi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, ameyabainisha kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kanda ya Ziwa hivi karibuni na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Daniel Chongolo.

"Mimi ni Karamagi ambaye ni mwasisi wa kampuni ya TICTS ambayo wameizungumzia sana. Serikali zetu zote hazijafanya makosa katika uwekezaji ili Taifa letu linufaike. TICTS ilifanya kazi vizuri, ingawa kwa sasa tulipofikia Serikali imesema basi hebu tujaribu na wengine, jambo ambalo si baya,” amesema.

Amesisitiza umuhimu wa Tanzania kuchangamkia fursa ya mwekezaji mwingine atayakeboresha utendaji kazi na ufanisi wa bandari hiyo, huku ikitumika kimkakati kuongeza mapato ya nchi.

“TICTS wakati inaingia, bandari yetu ilikuwa na shehena ya makontena 70,000 kwa mwaka. Sasa hivi ni 700,000 kwa mwaka. Lakini tulipofika hapa, mkataba wetu ukafika mwisho. Sisi hatuna matatizo na hilo…nchi kwanza. Kwa sababu kuna mkakati mkubwa tunaweza kuwekeza sehemu nyingine,” amesema.

Akizungumza falsafa ya biashara, Karamagi amesema: “Serikali imewekeza zaidi ya Sh1 trililioni kwenye uboreshaji wa bandari gati 0 mpaka namba saba, mpaka leo hii, eneo hili linachangia kwa asilimia 15 ya makontena yote yanayotoka bandari ya Dar es Salaam.”

“Kwa mkopo mkubwa kama huu na watu binafsi wapo, ambao wana uwezo wa kuwekeza, kutulipa kodi na mafao mengine, tukalipa deni hilo, alafu tukapata faida ya kuendeleza maeneo mengine, tutakuwa wajinga wa mwisho kama hilo hatutalichukua.”

Karamagi anayeamini katika falsafa ya biashara, alisema Tanzania inahitaji uwekezaji wenye manufaa utakaosaidia nchi kuitumia bandari kimkakati kuwa mojawapo ya vyanzo vitakavyoongeza mapato.
 
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Bukoba Vijijini na Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, amesema itakuwa ni jambo la ajabu kwa Tanzania kutochangamkia fursa ya kumpata mwekezaji mwingine katika bandari ili kuleta ufanisi wa utendaji na mapato.

Karamagi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, ameyabainisha kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kanda ya Ziwa hivi karibuni na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Daniel Chongolo.

"Mimi ni Karamagi ambaye ni mwasisi wa kampuni ya TICTS ambayo wameizungumzia sana. Serikali zetu zote hazijafanya makosa katika uwekezaji ili Taifa letu linufaike. TICTS ilifanya kazi vizuri, ingawa kwa sasa tulipofikia Serikali imesema basi hebu tujaribu na wengine, jambo ambalo si baya,” amesema.

Amesisitiza umuhimu wa Tanzania kuchangamkia fursa ya mwekezaji mwingine atayakeboresha utendaji kazi na ufanisi wa bandari hiyo, huku ikitumika kimkakati kuongeza mapato ya nchi.

“TICTS wakati inaingia, bandari yetu ilikuwa na shehena ya makontena 70,000 kwa mwaka. Sasa hivi ni 700,000 kwa mwaka. Lakini tulipofika hapa, mkataba wetu ukafika mwisho. Sisi hatuna matatizo na hilo…nchi kwanza. Kwa sababu kuna mkakati mkubwa tunaweza kuwekeza sehemu nyingine,” amesema.

Akizungumza falsafa ya biashara, Karamagi amesema: “Serikali imewekeza zaidi ya Sh1 trililioni kwenye uboreshaji wa bandari gati 0 mpaka namba saba, mpaka leo hii, eneo hili linachangia kwa asilimia 15 ya makontena yote yanayotoka bandari ya Dar es Salaam.”

“Kwa mkopo mkubwa kama huu na watu binafsi wapo, ambao wana uwezo wa kuwekeza, kutulipa kodi na mafao mengine, tukalipa deni hilo, alafu tukapata faida ya kuendeleza maeneo mengine, tutakuwa wajinga wa mwisho kama hilo hatutalichukua.”

Karamagi anayeamini katika falsafa ya biashara, alisema Tanzania inahitaji uwekezaji wenye manufaa utakaosaidia nchi kuitumia bandari kimkakati kuwa mojawapo ya vyanzo vitakavyoongeza mapato.
Vipi tukubali maoni toka kwa JIZI hili kuu?? Kwan kashfa za mikataba ya hii kampuni yake ya TICS hatukuzijua??

Hapana kabisa kushauriwa na hili jizi kuu
 
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Bukoba Vijijini na Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, amesema itakuwa ni jambo la ajabu kwa Tanzania kutochangamkia fursa ya kumpata mwekezaji mwingine katika bandari ili kuleta ufanisi wa utendaji na mapato.

Karamagi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, ameyabainisha kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kanda ya Ziwa hivi karibuni na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Daniel Chongolo.

"Mimi ni Karamagi ambaye ni mwasisi wa kampuni ya TICTS ambayo wameizungumzia sana. Serikali zetu zote hazijafanya makosa katika uwekezaji ili Taifa letu linufaike. TICTS ilifanya kazi vizuri, ingawa kwa sasa tulipofikia Serikali imesema basi hebu tujaribu na wengine, jambo ambalo si baya,” amesema.

Amesisitiza umuhimu wa Tanzania kuchangamkia fursa ya mwekezaji mwingine atayakeboresha utendaji kazi na ufanisi wa bandari hiyo, huku ikitumika kimkakati kuongeza mapato ya nchi.

“TICTS wakati inaingia, bandari yetu ilikuwa na shehena ya makontena 70,000 kwa mwaka. Sasa hivi ni 700,000 kwa mwaka. Lakini tulipofika hapa, mkataba wetu ukafika mwisho. Sisi hatuna matatizo na hilo…nchi kwanza. Kwa sababu kuna mkakati mkubwa tunaweza kuwekeza sehemu nyingine,” amesema.

Akizungumza falsafa ya biashara, Karamagi amesema: “Serikali imewekeza zaidi ya Sh1 trililioni kwenye uboreshaji wa bandari gati 0 mpaka namba saba, mpaka leo hii, eneo hili linachangia kwa asilimia 15 ya makontena yote yanayotoka bandari ya Dar es Salaam.”

“Kwa mkopo mkubwa kama huu na watu binafsi wapo, ambao wana uwezo wa kuwekeza, kutulipa kodi na mafao mengine, tukalipa deni hilo, alafu tukapata faida ya kuendeleza maeneo mengine, tutakuwa wajinga wa mwisho kama hilo hatutalichukua.”

Karamagi anayeamini katika falsafa ya biashara, alisema Tanzania inahitaji uwekezaji wenye manufaa utakaosaidia nchi kuitumia bandari kimkakati kuwa mojawapo ya vyanzo vitakavyoongeza mapato.
Yaani baada ya kuchuma na kuliingizia Taifa hasara bado ana guts za kutoa ushauri kama huo. Huyu alitakiwa ayazungumzie hayo gerezani.
 
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Bukoba Vijijini na Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, amesema itakuwa ni jambo la ajabu kwa Tanzania kutochangamkia fursa ya kumpata mwekezaji mwingine katika bandari ili kuleta ufanisi wa utendaji na mapato.

Karamagi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, ameyabainisha kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kanda ya Ziwa hivi karibuni na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Daniel Chongolo.

"Mimi ni Karamagi ambaye ni mwasisi wa kampuni ya TICTS ambayo wameizungumzia sana. Serikali zetu zote hazijafanya makosa katika uwekezaji ili Taifa letu linufaike. TICTS ilifanya kazi vizuri, ingawa kwa sasa tulipofikia Serikali imesema basi hebu tujaribu na wengine, jambo ambalo si baya,” amesema.

Amesisitiza umuhimu wa Tanzania kuchangamkia fursa ya mwekezaji mwingine atayakeboresha utendaji kazi na ufanisi wa bandari hiyo, huku ikitumika kimkakati kuongeza mapato ya nchi.

“TICTS wakati inaingia, bandari yetu ilikuwa na shehena ya makontena 70,000 kwa mwaka. Sasa hivi ni 700,000 kwa mwaka. Lakini tulipofika hapa, mkataba wetu ukafika mwisho. Sisi hatuna matatizo na hilo…nchi kwanza. Kwa sababu kuna mkakati mkubwa tunaweza kuwekeza sehemu nyingine,” amesema.

Akizungumza falsafa ya biashara, Karamagi amesema: “Serikali imewekeza zaidi ya Sh1 trililioni kwenye uboreshaji wa bandari gati 0 mpaka namba saba, mpaka leo hii, eneo hili linachangia kwa asilimia 15 ya makontena yote yanayotoka bandari ya Dar es Salaam.”

“Kwa mkopo mkubwa kama huu na watu binafsi wapo, ambao wana uwezo wa kuwekeza, kutulipa kodi na mafao mengine, tukalipa deni hilo, alafu tukapata faida ya kuendeleza maeneo mengine, tutakuwa wajinga wa mwisho kama hilo hatutalichukua.”

Karamagi anayeamini katika falsafa ya biashara, alisema Tanzania inahitaji uwekezaji wenye manufaa utakaosaidia nchi kuitumia bandari kimkakati kuwa mojawapo ya vyanzo vitakavyoongeza mapato.
Huyu ana akili na anajitambua ukizingatia ni mwenyekit wa CCM wa mkoa, mtu mkubwa ndani ya chama lazima aiunge mkono chama chake. Siyo km yule wa mkoa wa Mbeya aitwaye Mwakajumulo, yule hajitambui na hana adabu hata kidogo, CCM Mbeya walimchaguaje jitu km lile. Km vipi ajiunge na Mr.II CCM hajiwahi kutingishwa na visisimizi km hao, CCM ni chama kubwa kuliko hata mwenyekiti wake wa Taifa.
 
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Bukoba Vijijini na Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi, amesema itakuwa ni jambo la ajabu kwa Tanzania kutochangamkia fursa ya kumpata mwekezaji mwingine katika bandari ili kuleta ufanisi wa utendaji na mapato.

Karamagi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, ameyabainisha kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Kanda ya Ziwa hivi karibuni na kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Daniel Chongolo.

"Mimi ni Karamagi ambaye ni mwasisi wa kampuni ya TICTS ambayo wameizungumzia sana. Serikali zetu zote hazijafanya makosa katika uwekezaji ili Taifa letu linufaike. TICTS ilifanya kazi vizuri, ingawa kwa sasa tulipofikia Serikali imesema basi hebu tujaribu na wengine, jambo ambalo si baya,” amesema.

Amesisitiza umuhimu wa Tanzania kuchangamkia fursa ya mwekezaji mwingine atayakeboresha utendaji kazi na ufanisi wa bandari hiyo, huku ikitumika kimkakati kuongeza mapato ya nchi.

“TICTS wakati inaingia, bandari yetu ilikuwa na shehena ya makontena 70,000 kwa mwaka. Sasa hivi ni 700,000 kwa mwaka. Lakini tulipofika hapa, mkataba wetu ukafika mwisho. Sisi hatuna matatizo na hilo…nchi kwanza. Kwa sababu kuna mkakati mkubwa tunaweza kuwekeza sehemu nyingine,” amesema.

Akizungumza falsafa ya biashara, Karamagi amesema: “Serikali imewekeza zaidi ya Sh1 trililioni kwenye uboreshaji wa bandari gati 0 mpaka namba saba, mpaka leo hii, eneo hili linachangia kwa asilimia 15 ya makontena yote yanayotoka bandari ya Dar es Salaam.”

“Kwa mkopo mkubwa kama huu na watu binafsi wapo, ambao wana uwezo wa kuwekeza, kutulipa kodi na mafao mengine, tukalipa deni hilo, alafu tukapata faida ya kuendeleza maeneo mengine, tutakuwa wajinga wa mwisho kama hilo hatutalichukua.”

Karamagi anayeamini katika falsafa ya biashara, alisema Tanzania inahitaji uwekezaji wenye manufaa utakaosaidia nchi kuitumia bandari kimkakati kuwa mojawapo ya vyanzo vitakavyoongeza mapato.
Shide yetu sisi ni mkataba mbaya ambao hauna UTU hilo tu
 
Huyu ana akili na anajitambua ukizingatia ni mwenyekit wa CCM wa mkoa, mtu mkubwa ndani ya chama lazima aiunge mkono chama chake. Siyo km yule wa mkoa wa Mbeya aitwaye Mwakajumulo, yule hajitambui na hana adabu hata kidogo, CCM Mbeya walimchaguaje jitu km lile. Km vipi ajiunge na Mr.II CCM hajiwahi kutingishwa na visisimizi km hao, CCM ni chama kubwa kuliko hata mwenyekiti wake wa Taifa.
Mnamo mwaka 1988, nilimtembelea ndugu yangu aliyekuwa pale Taasisi ya magonjwa ya akili - Mirembe.
Nilichokikuta ni kuona daktari anachora mlango (anachora pembe nne ukutani), na baada ya hapo aawaambia wagonjwa watoke.
Wagonjwa wote waligombania kupita kwenye ule mlango isipokuwa mgonjwa mmoja aliyekaa chini mbali akicheka.
Alipoulizwa kwa nini anacheka akiwa anawaangalia wenzake wakigombania kutoka,akajibu kuwa anawashangaa hao wagonjwa wanagombania kutoka wakati funguo ya mlango anayo yeye.

Hiyo ndiyo CCM na huyo mgonjwa ndiye wewe.
 
Naanza kuamini maneno ya Mwabukusi kwamba DPW ni weusi wenzetu wa hapa hapa Tanzania. Kwa maneno haya Karamagi inamaanisha kwamba TICTS ndiyo imejigeuza jina inaitwa DPW.
Yaani nchi hii imejaa viongozi ambao ni wezi, majambazi, na vibaka wakubwa! Hawa watu kwa sheria za China adhabu yao ni kunyongwa! Dp world ndani yake ni mtiririko wa viongozi wetu tuliowaamini ndo wamegeuka kuungana na mabeberu kuuza rasilimali za nchi! Hivi unaweza kuamini kauli ya Nazir Kalamagi aliyewahi kuwa Waziri? Tena kuendesha bandari kwa mkataba wa miaka 15, akaomba aongezewe muda serikali ikamwongezea 5 kuwa jumla miaka 20 ndo akanyanganywa na ndo akajitokeza mwarabu wa Dp world? Hivi Nazir kalamagi kweli anaweza kushangilia mzawa kunyanganywa na kupewa mgeni? Sasa naelewa DP WORLD ndani ya pazia kuna utitili wa viongozi wanaofurahia nchi yetu kunyonywa na kuwa fukara wa kutupwa wakati wao na watoto wao wakifurahia maisha. Je! Nazir Kalamagi anafurahia kwa kufuata itikadi za kidini au nini? Mbona mtu mwenye akili timamu hawezi kumwelewa huyu jamaa! Lakini wakumbuke hata kama ni itikadi za kidini wakumbuke Gadafi wa Libya aligeukwa na wananchi wa dini yake. Naomba hizi itikadi za dini tuziweke pembeni tunapoongelea maslahi ya taifa! Tanzania ni yetu wote bila kujali dini! Angalia mtaani maisha yalivyo magumu! Unga, maaragwe, mchele, mafuta ya kula, petrol ️ na diesel ️ havikamitiki na nauli zinapanda kila kukicha! Watoto wa shule za umma darasa moja wanajazana wanafunzi 200, mahospitali wagonjwa wanalala mzungu wa nne. N.k, haya yoote hayachagui mkristo, muislam au mpagani! Tukipigika tunapigika woote!
 
Usije kuta kafanya trademark ili aendelee kula maokoto, utakuta mkataba anaingia Dp world halafu ana outsource kwa wakina karamagi waendelee kuokota dodo chini ya mbuyu.

Ngoja niwape mkasa 1; sitamtaja huyo kibopa ana kampuni ya kutengeneza lift sasa kuna shirika 1 la serikali lina dili na pension fund wana towers kibao nchini sasa walimpa dili la kuwa fundi na consultant wa zile lifti baada ya miaka kadhaa wakapanga kumpiga chini ili dili waipe kampuni ya kiingereza japo walitangaza zabuni kumbe zuga tu, tycoon baada ya kupata za chini ya kapeti kutoka kwenye management meeting akawahi kwa ile kampuni teule akaingia nayo mkataba akiwa kabadili jina la kampuni ili wa outsource dili ya wao kupewa ufundi na repair ya lift za pension fund towers zote nchini wampe yeye afanye kazi halafu awalipe commission wale wazungu, wakampa dili. ile management walipompa dili tu mzungu, mzungu akapiga pasi ya kisigino kwa jamaa, siku lift zimezingua wanashangaa jamaa anakuja kutengeneza kisha anapeleka invoice akiwa kama mwakilishi wa ile kampuni, management walichoka
 
Back
Top Bottom