Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,554
- 1,382
Kuna wakati huyo Dr Hosea alitangaza mkataba wa Richmond haukukuwa na kosa lo lote la kisheria. DPP anaweza kusema hakuna ushahidi lakini sisi walalahoi hatumwamini. Lao moja wote hao.
Tunaibiwa kisheria. Labda si kosa, kisheria, kuwaibia Watanzania kwa kushirikiana na wawekezaji, kama wanavyofanya akina Karamagi. Nyie mlie tu.
Tunaibiwa kisheria. Labda si kosa, kisheria, kuwaibia Watanzania kwa kushirikiana na wawekezaji, kama wanavyofanya akina Karamagi. Nyie mlie tu.