johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,984
- 142,002
Shujaa Magufuli alishatoa angalizo kwamba Vita ya Uchumi ni mbaya sana
Nimemsikia Bilionea Rostam Aziz akisema Sekta Binafsi ilishakubalika na Serikali kwamba Jukumu la Kufanya Biashara ni la Sekta Binafsi na Jukumu la Serikali ni Kukusanya kodi na kutoa Huduma
Sasa kama tayari kuna makubaliano hayo Bunge letu halitaweza kufanya au kuzuia chochote kwa sababu Wabunge na Mawaziri wakiwa mmoja mmoja wote ni Wafanyabiashara siyo kama enzi za CCM ya " Jembe na Nyundo"
Aziz ameongea Ukweli mchungu!
Mungu wa mbinguni awabariki!
Nimemsikia Bilionea Rostam Aziz akisema Sekta Binafsi ilishakubalika na Serikali kwamba Jukumu la Kufanya Biashara ni la Sekta Binafsi na Jukumu la Serikali ni Kukusanya kodi na kutoa Huduma
Sasa kama tayari kuna makubaliano hayo Bunge letu halitaweza kufanya au kuzuia chochote kwa sababu Wabunge na Mawaziri wakiwa mmoja mmoja wote ni Wafanyabiashara siyo kama enzi za CCM ya " Jembe na Nyundo"
Aziz ameongea Ukweli mchungu!
Mungu wa mbinguni awabariki!