Kuwahusu Karamagi, Rostam, na wenzao...

Kuwahusu Karamagi, Rostam, na wenzao...

Jamani hii habari sio kweli. Nimemtuma mtu wangu Kisutu na ametoka huko sasa hivi anasema leo hakina "jipya" pale mahakamani. Tusubiri kidogo.
 
Wakuu Mlalahai na mwenzako Fidel80 eeeh,

Nadhani wengi hatuna bifu na huyu premier social political-thinker wa cyberspace ya Tanzania, Mzee Mwanakijiji, lakini hamuoni kwamba haipendezi mkianza kutumia jamvi moja ku advertise la mwingine ? Na hata kama hamkujua taratibu zozote zinazokataza hilo, nyinyi kwa muono wemu mnaona hiyo ni poa kweli? Linaingia akilini hilo ?

Ni kweli JF wamesema hawaogopi competition lakini hata kampuni ya chupa ya kibongo ya Fahari Bottlers ikianza kutengeneza soda zake zenyewe halafu ikawa inatumia nembo za Coca-Cola hawata maindiwa, japokuwa ki-bajeti cha mwaka mzima cha Fahari Bottlers ni mchango wa siku moja wa Coca-Cola katika kuboresha mazingira ? Hebu tafakarini kidogo hapo.

Halafu ningekuwa mimi ningepeleka hivyo vi shenanigans kwenye Private Messages. Mmewahi kuisikia hiyo feature ?

Nimekupata Mkuu.I didn't mean kugeuza huu kuwa uwanja wa matangazo lakini nilihisi kwamba fidel alikuwa anahitaji website ya mwanakiji sio kwa minajili ya kutukimbia hapa bali kupata updates za topic hii.Of course,ningeweza kumfahamisha hilo kwa PM lakini sikuona ubaya wa kufanya hilo hapa.

Sorry if I offended you,or JF for that matter.Siwezi kukata tawi nalokalia,trust me!
 
Jamani, news za tunaomba uhakika kwani wengine BP inapanda kwa kusubiri uhakika kama watu hawa waliopekecha kwenye ghala letu kweli wamefikishwa mbele ya sheria. i kama hizi zinazoweka watu kwenye suspense siku nyingine zitafanya akina mama / dada wajawazito wajifungue kabla ya wakati. Chonde chonde Invisible, tupe updates!!!
 
Invisible
leo umekuaje?umeleta tetesi,ukazamia,vp kunani?maana duh!
 
Nadhani kwa vile sasa ni takriban saa 10 na ushee huko nyumbani,let's conclude kwamba hii tetesi haiku-materialize into reality.Labda kesho,au pengine never on earth.
 
Nimekupata Mkuu.I didn't mean kugeuza huu kuwa uwanja wa matangazo lakini nilihisi kwamba fidel alikuwa anahitaji website ya mwanakiji sio kwa minajili ya kutukimbia hapa bali kupata updates za topic hii.Of course,ningeweza kumfahamisha hilo kwa PM lakini sikuona ubaya wa kufanya hilo hapa.

Sorry if I offended you,or JF for that matter.Siwezi kukata tawi nalokalia,trust me!

You are a gentleman/lady and a cultured person.

I thank you.
 
..............ACTION...............hafungwi mtu na tupo hapa hapa ,wale waliofikishwa jana naona ni kutazamwa WaTz watakuwapo katika level gani ,kama watafurahia basi mambo yatakuwa sio mabaya kwa washitakiwa na wataibuga videdea ,ila kama WaTz watashika tama na kuwa kimya huku wakidai madai ya nyongeza ,hapo serikali itabidi ianze kujizatiti katika picha hii iliyoanza.
Naona kwa jana WaTz wamefurahi na hii tetesi wamezidi kupagawa ,hivyo mkae mkijua kama mtatolewa kapa.
 
- Habari hii haikuwa sawa, ndio kwanza tumemaliza kuongea na mzee Warioba yupo nyumbani kwake, lakini ana wasi wasi kwamba kuna ukweli ndani yake,

- The dataz ni kwamba kuna somebody big, ambaye ame-delay the process lakini leo walikuwa watinge,

Samahani nimeomba mtandao a mtu tu sina access, lakini baadaye nitarudi na the dataz za shouting match kati ya muungwana na mkapa recently ambacho kinaaminiwa kuwa ndio chanzo cha kamata kamata......!

Ahsante Wakuu Later!
 
Utupe pia ile ya ugomvi wao mpaka mkapa akapigwa na kiti kule ikulu akaumia mguu mwaka juzi
 
- Habari hii haikuwa sawa, ndio kwanza tumemaliza kuongea na mzee Warioba yupo nyumbani kwake, lakini ana wasi wasi kwamba kuna ukweli ndani yake,

- The dataz ni kwamba kuna somebody big, ambaye ame-delay the process lakini leo walikuwa watinge,

Samahani nimeomba mtandao a mtu tu sina access, lakini baadaye nitarudi na the dataz za shouting match kati ya muungwana na mkapa recently ambacho kinaaminiwa kuwa ndio chanzo cha kamata kamata......!

Ahsante Wakuu Later!

Much respect mkuu,

tunasubiri DATAZ ni lini watatinga na nini kinaendelea maana hadi sasa ukweli ni kuwa lazima wakanyee ndoo huko keko hata kama ni ndoo za udongo.
 
- Habari hii haikuwa sawa, ndio kwanza tumemaliza kuongea na mzee Warioba yupo nyumbani kwake, lakini ana wasi wasi kwamba kuna ukweli ndani yake,

- The dataz ni kwamba kuna somebody big, ambaye ame-delay the process lakini leo walikuwa watinge,

Samahani nimeomba mtandao a mtu tu sina access, lakini baadaye nitarudi na the dataz za shouting match kati ya muungwana na mkapa recently ambacho kinaaminiwa kuwa ndio chanzo cha kamata kamata......!

Ahsante Wakuu Later!

Welcome back mkuu FMES...Sauti ya UMEME...Leta mambo bana maana kama hakuna data watu wanajaza postings tu za blah blah hapa JF na huwa inachosha.
Kazi mliyoanza bila ya kujali tofauti zenu za vyama ni ya kuimalizia kwani the stakes are higjer than never before.
Haya shiguli naona sasa ni shughuli na hapa muungwana naona anabidi awahiane na Mkapa la sivyo mambo yanaweza yasiwe mambo na yeye chale zishamcheza...Yote kwa yote ni manufaa kwa wananchi na ni historia makini kabisa....its about to go down..Trust me.
 
Utupe pia ile ya ugomvi wao mpaka mkapa akapigwa na kiti kule ikulu akaumia mguu mwaka juzi

Hebu acha uzushi mkuu,sisi hatutaki uadaku hapa.Hilo suala la bedroom hatulitaki.

Mkuu FEMS,mwaga Data za mjasiriamali na Explorer JK
 
Utupe pia ile ya ugomvi wao mpaka mkapa akapigwa na kiti kule ikulu akaumia mguu mwaka juzi

Mmmmmh! shy huo ugomvi wa mapenzi sisi hautuhusu, labda tuwaulize Mama Anna Mkapa, na Rita Mlaki ndio wanaju kiundani juu ya ugomvi ule.

lol
 
Mmmmmh! shy huo ugomvi wa mapenzi sisi hautuhusu, labda tuwaulize Mama Anna Mkapa, na Rita Mlaki ndio wanaju kiundani juu ya ugomvi ule.

lol

Bandugu hebu tuwe serious.Kilichopo mbele yetu ni hii habari ya sasa hivi.
 
Mzee Warioba naomba kwa heshima zote asipelekwe Kisutu sababu watakua wanataka kutuondolea mzalendo na kumchanganya na haya majambazi.

Pse pse watu wa system tunajua mnatumia mtindo gani hapa ili kuepusha kitu kikubwa, tafadhali msimpotoshe muungwana na mnajua kilichotokea leo mpaka Karamagi akapona sababu ya ujinga wenu.

Mwacheni mzee warioba wa watu ambae sio FISADI kabisa, na tunajua EL anatumia mbinu gani hapa.
 
- Habari hii haikuwa sawa, ndio kwanza tumemaliza kuongea na mzee Warioba yupo nyumbani kwake, lakini ana wasi wasi kwamba kuna ukweli ndani yake,

- The dataz ni kwamba kuna somebody big, ambaye ame-delay the process lakini leo walikuwa watinge,

Samahani nimeomba mtandao a mtu tu sina access, lakini baadaye nitarudi na the dataz za shouting match kati ya muungwana na mkapa recently ambacho kinaaminiwa kuwa ndio chanzo cha kamata kamata......!

Ahsante Wakuu Later!

FMES, lete habari maaana nimekaa JF baada ya ile tetesi ya hawa wakulu kutinga ama kutotinga kisutu mpaka heart beat ikaenda mbio mbio. Maaana hizi siku mbili ni milestones za ukweli na uwazi Tanzania. Lete data mkuu tunasubiria huku machokoloni..
 
Mmmmmh! shy huo ugomvi wa mapenzi sisi hautuhusu, labda tuwaulize Mama Anna Mkapa, na Rita Mlaki ndio wanaju kiundani juu ya ugomvi ule.

lol

Kwa nini tuwaulize Mama Anna Mkapa, na Rita Mlaki? Una maana Mama Mkapa alimfumania Mama Rita Mlaki, au walikuwa wanamgombea BWM, sielewi hii kitu!!
Fumbua fumbo / kitendawili nakupa mji wa Arusha!!
 
Kutokana na mtoto wa mramba kufanya sherehe ya kufuru wakati ule , inasemekana huyo mtoto alizaliwa na anna mkapa sasa hapo sijui ilikuwaje kuwaje ila ule mguu uliharibiwa baada ya huyu mwanamama kurusha stuli
 
Back
Top Bottom