yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,526
- 1,913
Salute wakuu. Moja kwa moja kwenye mada,Kwa sasa ndani ya chama pendwa, chama tawala, chama kiongozi na chama kikuu na kikongwe Afrika na dunia nzima, kuna joto la nani anafaa kushika nafasi ya ukatibu mkuu.
Kuna watu wanatajwa tajwa kuwa wanastahili kushika huo wadhifa mkubwa ktk chama chenye mrengo wa kijamaa,watu hao ni:
1. Dkt. Bashilu Ally
2. Mr. Chalamila
3. Mr. Polepole
4. Mr. Nchimbi,
Mie ninaomba nijikite kwa Mr nchimbi,kwa mtizamo wangu, Mr Emanuel nchimbi hafai kubeba mkoba wa ukatibu mkuu.hii ni kwa sababu ya aina ya watu waliomtengeneza na wanao mzunguka,sifa na tabia zao kwa nchi si njema.
Emmanuel Nchimbi ndiye alikuwaga kiungo kikuu kwenye lile genge la boys 2man,genge ambalo mwalim Nyerere alilikataa,genge la Rostam aziz, Lowassa na Kikwete. Hawa ndio walimtengeneza Nchimbi, na mpk leo ndio watu wanaomzunguka. Hivyo Nchimbi akikabidhiwa ukatibu mkuu, maana yake chama umekikabidhi kwa mbweha. Hivyo nchimbi hafai, kwa sasa chama kinatakiwa akabidhiwe mtu msafi na asiye na element za ufisadi.
Kuna watu wanatajwa tajwa kuwa wanastahili kushika huo wadhifa mkubwa ktk chama chenye mrengo wa kijamaa,watu hao ni:
1. Dkt. Bashilu Ally
2. Mr. Chalamila
3. Mr. Polepole
4. Mr. Nchimbi,
Mie ninaomba nijikite kwa Mr nchimbi,kwa mtizamo wangu, Mr Emanuel nchimbi hafai kubeba mkoba wa ukatibu mkuu.hii ni kwa sababu ya aina ya watu waliomtengeneza na wanao mzunguka,sifa na tabia zao kwa nchi si njema.
Emmanuel Nchimbi ndiye alikuwaga kiungo kikuu kwenye lile genge la boys 2man,genge ambalo mwalim Nyerere alilikataa,genge la Rostam aziz, Lowassa na Kikwete. Hawa ndio walimtengeneza Nchimbi, na mpk leo ndio watu wanaomzunguka. Hivyo Nchimbi akikabidhiwa ukatibu mkuu, maana yake chama umekikabidhi kwa mbweha. Hivyo nchimbi hafai, kwa sasa chama kinatakiwa akabidhiwe mtu msafi na asiye na element za ufisadi.