Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,578
- 19,463
Huyo ni Karamagi, na nimesikia kuwa swala hilo la DPP kuzuia mashtaka ya Karamagi linaweza kumtokea puani yeye mwenyewe kwa vile pressure ya kuwashitaki viongozi wote waliohusika na mikataba mibovu iko juu sana kiasi kuwa bado Karamagi hajapona.