Wakuu tunaendelea kuzifuatilia habari ni ngumu sana, mawazo yangu hapa toka jana yakutokuwa na uhakika na kama hii deal ni kweli au mazingaombwe tu yamewaudhi sana wakulu flani ambao ndio walionipigia simu na kunipa hizo dataz, wakaniamba nitizame maneno ya juzi au jana ya Pinda, kuwa wananchi watulie wasiwe na wasi wasi,
Wamenihalkikishia kwamba kwenye hili haponi mtu, lakini leo asubuhi niliongea na mkulu mmoja ambaye ni tomaso kama mimi, kwa hiyo nitarudi baadye kumalizia kule kwingine na kuona kama nitafanikiwa kupata zaidi on this, lakini tushirikiane wakuu kujua kama hawa wakulu wameonaekana mahali au vipi zaidi.
Baadaye!