Mkuu habari hii jana nimehangaika nayo sana. Kila kitu jana kiliendeshwa kisiri mno, waandishi walishindwa kuelewa kinachoendelea na wengine wakadai hakuna kitu kama hicho.
Nilikuwa na mwandishi eneo hilo na kila nikiwasiliana naye alinambia kashindwa kabisa kuelewa kinachoendelea. Maelezo ya kuwa Meghji, Msabaha na Karamagi walikuwa tayari washahojiwa niliyapata mapema sana lakini inaelekea kama kitendo cha kuwahoji kilifanyika basi kilifanyika kisiri na mashtaka yao walisomewa kisiri sana.
Lemme check the status...
Mkuu habari hii jana nimehangaika nayo sana. Kila kitu jana kiliendeshwa kisiri mno, waandishi walishindwa kuelewa kinachoendelea na wengine wakadai hakuna kitu kama hicho.
Nilikuwa na mwandishi eneo hilo na kila nikiwasiliana naye alinambia kashindwa kabisa kuelewa kinachoendelea. Maelezo ya kuwa Meghji, Msabaha na Karamagi walikuwa tayari washahojiwa niliyapata mapema sana lakini inaelekea kama kitendo cha kuwahoji kilifanyika basi kilifanyika kisiri na mashtaka yao walisomewa kisiri sana.
Lemme check the status...
Iko hivi:leteni habari jamani.... Invisible tunakutegemea mpaka jioni ya leo kiwe kimeeleweka!!!
Mh! Nipashe gani lililoandika habari hiyo? Nipashe ninalolisoma mimi hapa sasa hivi lina habari kuwa Feleshi amekwamisha mashitaka dhidi ya Karamagi. Sasa kama mashitaka yamekwamishwa, amefikaje mahabusu?
Iko hivi:
Meghi ni kweli alihojiwa na alikuwa anaandika maelezo. Inadaiwa ni dhidi ya upitishwaji wa malipo kwa Kagoda.
Karamagi DPP kadai hakuna proof ya issue za Buzwagi hivyo nadhani kwa kauli hiyo HANA KESI.
Msabaha na Lowassa wana kesi ya kujibu juu ya Richmond.
Rostam yupo Nairobi kwa sasa na hajawa na kesi ya kujibu.
Ni hayo tu
wa kwanza kukufikisha ni wewe kaa mkao wa kula!heheMkuu Invisible
Kama hili kweli limetokea na limefika Nipashe kabla ya hapa JF...na sisi itabidi tuunde tume kuchunguza kwa nini Wana JF mliopo jijini mnatuangusha...mkicheza na sisi tutawafikisha hapo hapo Kisutu..!!!
Habari hii haina ukweli as far as mama Meghji is concerned. NImetoka kuzungumza naye sasa hivi na yuko nje anaendelea na shughuli zake. Hayuko Keko. Hii habari sikuigusa toka jana kwa sababu.
Mapambano haya yana njia nyingine na inashangaza jinsi watu wasivyoelewa mapambano haya.
Inasikitisha sana.