Kuna taarifa ambazo nimepata sasa hivi kuwa Karamagi (tayari), Rostam Aziz, Meghji na Warioba (hawa wako njiani) watasomewa mashtaka leo.
Stay tuned
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari ni kuwa Karamagi tayari kishasomewa mashtaka, endapo kutakuwa na zaidi tutawahabarisha.Mkuu mlioko bongo endeleeni kutuhabarisha basi je wakulu hawa kweli wametinga mahakamani?
Kuna taarifa ambazo nimepata sasa hivi kuwa Karamagi (tayari), Rostam Aziz, Meghji na Warioba (hawa wako njiani) watasomewa mashtaka leo.
Stay tuned
Stay tuned mzee wa DATAZ FMES atakuleteeeni zinazojiri from kitchen maana bado anaendelea kukusanya mambo
Too bad Mwanakijiji hazipati hizi...
Stay tuned mzee wa DATAZ FMES atakuleteeeni zinazojiri from kitchen maana bado anaendelea kukusanya mambo
Too bad Mwanakijiji hazipati hizi...