makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,594
Wapi huko mbuzi 40 elfu?
Arushaunapatikana wapi mkuu?
Kama ni vitoto sawa. Mkubwa laki mbili hukuNi 40000 vitoto
Mtu hanidanganyi kwa hiyo idelogy mfu.Tunakuwa Maskini kwa sababu ya kuwekeza kwenye vitu ambavyo havina faida
Wakinga wanafanikiwa kwa sababu ya nidhamu ya Pesa.
Mtu anavaa nguo Moja lakini anawekeza kwenye biashara. Utasikia sina Hela ya kula kumbe kuna sehemu kawekeza hela yake.
Ukweli ni kwamba bila kujitoa Huwezi kuwekeza. Endelea Kuwekeza kwenye muonekano utawakumbuka BUSINESS IDEAS ACADEMY.
Wakati unafuga nywele wenzako wanafuga Kuku, bata, mbuzi na ng'ombe.
View attachment 3297934
Unapanda maua ya mapambo wenzako tunapanda Mboga Mboga
Anza leo kuwekeza hata kwenye maarifa:
View attachment 3297931
Kujipatia kitabu cha Mawazo 112 ya biashara unaweza kututafuta whatsapp: 0612607426 au kwa email: business.ideas613@gmail.com
Zipo sehemu nyingi mkuu, sema inaonekana wew hujatembea sanaWapi huko mbuzi 40 elfu?
Sehemu za vijijini mbuzi wameanzia elfu 40,45,50,60 mbuzi beberu ukiwa na 70 unampata tena amenona vizuri tuu!Kama ni vitoto sawa. Mkubwa laki mbili huku
Hiyo maana yake ni kwamba kipindi cha mwanzo cha kujitafuta labda kuanzia miaka 17-30 usiwe mtu wa kuwekeza kwenye mavazi na vitu vinavyoshuka thamani.Mtu hanidanganyi kwa hiyo idelogy mfu.
Kuvaa 'kauka nikuvae' hata kama unajitafuta, ni udwanzi, ni uchafu wa asili wa mtu.
Mfano huu haustahili kuigwa na mtu aliyestaarabika.
Inamaana watu wote wenye maendeleo hawavai na kubadili nguo?
Kila mtu ana kipaumbele chake na mbinu zake za kuserv pesa.
Ni lifestyle yake tu, na suala la afya mara nyingi ni Mungu tu, hata uwe unakula milo 10 kwa siku afya yako ikiyumba ndo basi tena.Unamsifia anayekula chips kavu za buku upo serious kweli mkuu? Badala ale vizuri kwa afya yake anajitesa kwa kula machips na maziwa anakamua mwenyewe anashindwa kunywa glass moja ya maziwa?
Huko kujitesa kwa kula chips kavu kutakuja kumtesa baadae kugharamia kuweka afya yake sawa na madawa ya hospitalini.
Pesa yako inabidi itimize mahitaji yako kwanza ya msingi kama mavazi,malazi na chakula(afya).Ukijua sababu kuu, kwa nini tunaishi? unaweza kuona hii dhana ya tutafute hela huku tukijinyima inakuwa haia maana.
Inatakiwa, mwanzo wa maisha yako mpaka unakufa, unatakiwa kuishi kwa furaha; kwa sababu hapa duniani hatuishi kwa mashindano.
Kula milo 10 sio afya. Nini unakula ndo muhimu.Ni lifestyle yake tu, na suala la afya mara nyingi ni Mungu tu, hata uwe unakula milo 10 kwa siku afya yako ikiyumba ndo basi tena.
Kuna watu ambao toka wamezaliwa hawakijui kitanda cha hospitali ni kutumia mitishamba tu na dawa za asili na wanaishi mpaka wanakufa wakiwa wazee!
Kwetu 50,000/=Mbuzi wa bei hiyo wanapatikana wapi mkuu? Huku kwetu bei ya mbuzi 200,000
Umenena kweli tupu,walihamia Tukuyu kupasua mbao wengi walivunja masharti ya pombe!Wameishia ulofa.Iko hivi ngoja nikwambie mimi nimeishi ukinga huko makete ndani ndani, kijana akifikisha miaka 16 au 17 anapewa akili ya pesa alafu anaingia kwenye utafutaji.
Hata waganga wa kule masharti yao ni hayohayo kijana anaambiwa avae kiatu kimoja tena cha elfu 5 chakula cha elfu 1 kwa siku ametumia hela nyingi ni elfu 6 au 7 haizidi hapo.
Hakuna kunywa pombe ovyo, hakuna kucheza kamari wala kuhonga mtu kama huyo lazima amiliki hela babu.
Lakini makabila mengine hayaelewi hizo mambo ukienda kutafuta unaambiwa tu pambana mwanangu!
Kwa kazi ya usalesman ukiwa mchafumchafu,utadoda na vitu vyako!Mtu hanidanganyi kwa hiyo idelogy mfu.
Kuvaa 'kauka nikuvae' hata kama unajitafuta, ni udwanzi, ni uchafu wa asili wa mtu.
Mfano huu haustahili kuigwa na mtu aliyestaarabika.
Inamaana watu wote wenye maendeleo hawavai na kubadili nguo?
Kila mtu ana kipaumbele chake na mbinu zake za kuserv pesa.
Mbuzi mkubwa au mdogo?Kwetu 50,000/=
Basic needs ni malazi, mavazi na chakula!Sio mateso bali ni nidhamu aliyojiwekea.