Kuvaa shati moja kila siku sio umaskini

Kuvaa shati moja kila siku sio umaskini

Mbuzi wa bei hiyo wanapatikana wapi mkuu? Huku kwetu bei ya mbuzi 200,000
Kwetu mbuzi wameanzia elfu 50, niliwahi kununua mbuzi mwaka 2010 bei ilikuwa elfu 20 kipindi hicho nipo shule ya msingi hivi yule mbuzi alizaa vitoto lakini chuki za wanakijiji walimuiba niliumia sana..

Sasa hivi nanunua ng'ombe tu lengo langu wafike mia hiv na kuendelea.
 
Tunakuwa Maskini kwa sababu ya kuwekeza kwenye vitu ambavyo havina faida

Wakinga wanafanikiwa kwa sababu ya nidhamu ya Pesa.

Mtu anavaa nguo Moja lakini anawekeza kwenye biashara. Utasikia sina Hela ya kula kumbe kuna sehemu kawekeza hela yake.

Ukweli ni kwamba bila kujitoa Huwezi kuwekeza. Endelea Kuwekeza kwenye muonekano utawakumbuka BUSINESS IDEAS ACADEMY.

Wakati unafuga nywele wenzako wanafuga Kuku, bata, mbuzi na ng'ombe.

View attachment 3297934

Unapanda maua ya mapambo wenzako tunapanda Mboga Mboga

Anza leo kuwekeza hata kwenye maarifa:
View attachment 3297931

Kujipatia kitabu cha Mawazo 112 ya biashara unaweza kutufuta whatsapp: 0612607426
Kitabu bei gani tajiri
 
Ni kweli mkuu, nimekaa kule kwako najua mitindo yao ya maisha na uchumi.

Ndio maana hapa dar tunawatia freemason mara wachawa nk lakini hesabu zao ni za mbali sana.
Iko hivi ngoja nikwambie mimi nimeishi ukinga huko makete ndani ndani, kijana akifikisha miaka 16 au 17 anapewa akili ya pesa alafu anaingia kwenye utafutaji.

Hata waganga wa kule masharti yao ni hayohayo kijana anaambiwa avae kiatu kimoja tena cha elfu 5 chakula cha elfu 1 kwa siku ametumia hela nyingi ni elfu 6 au 7 haizidi hapo.

Hakuna kunywa pombe ovyo, hakuna kucheza kamari wala kuhonga mtu kama huyo lazima amiliki hela babu.

Lakini makabila mengine hayaelewi hizo mambo ukienda kutafuta unaambiwa tu pambana mwanangu!
 
Mwisho wa kuwa na hizo pesa ni nini? Huo ni ushamba. Njombe ni washamba, eti mwanamke ana 500M bado anauza mboga sokoni, hiyo ni akili au matope? Wakinga pesa zao za kishirikina siyo wa kutolea mfano. Km huwezi kuvaa vizuri, kula vizuri, kuishi pazuri, kumiliki mali za kisasa huo siyo utajiri, utakuwa ni uchawi
Wana pesa za kishirikina sikukatalii lakini hao jamaa kwa nidhamu ya pesa wanaongoza Tanzania nzima, ni wachumi hakuna mfano....

Nina rafiki yangu alivyomaliza tu form 4 akaanunua Vitz yule jamaa baba yake alimwachia urithi wa ng'ombe wa maziwa anauza yeye mwenyewe lakini tukienda kula yeye anakula chips kavu za buku na hapo ana zaidi ya laki kwenye wallet!
 
Tunakuwa Maskini kwa sababu ya kuwekeza kwenye vitu ambavyo havina faida

Wakinga wanafanikiwa kwa sababu ya nidhamu ya Pesa.

Mtu anavaa nguo Moja lakini anawekeza kwenye biashara. Utasikia sina Hela ya kula kumbe kuna sehemu kawekeza hela yake.

Ukweli ni kwamba bila kujitoa Huwezi kuwekeza. Endelea Kuwekeza kwenye muonekano utawakumbuka BUSINESS IDEAS ACADEMY.

Wakati unafuga nywele wenzako wanafuga Kuku, bata, mbuzi na ng'ombe.

View attachment 3297934

Unapanda maua ya mapambo wenzako tunapanda Mboga Mboga

Anza leo kuwekeza hata kwenye maarifa:
View attachment 3297931

Kujipatia kitabu cha Mawazo 112 ya biashara unaweza kutufuta whatsapp: 0612607426
Asante kwa kutusanua😊
 
Kuvaa shati moja kila siku na hela unayo huko ni kutojipenda!! Sasa hizo hela sijui unakuwa unamtafutia nani ikiwa we mwenyewe hujijali? 🤔
 
Wana pesa za kishirikina sikukatalii lakini hao jamaa kwa nidhamu ya pesa wanaongoza Tanzania nzima, ni wachumi hakuna mfano....

Nina rafiki yangu alivyomaliza tu form 4 akaanunua Vitz yule jamaa baba yake alimwachia urithi wa ng'ombe wa maziwa anauza yeye mwenyewe lakini tukienda kula yeye anakula chips kavu za buku na hapo ana zaidi ya laki kwenye wallet!
Hiyo laki inakuwa ya matumizi au ya biashara?
 
An hata ukitembea uchi ni ww tu,lakuzingatia Maisha yanaendaje
Ni sawa kabisa Cha kuzingatia ni vipaumbele vyako na Nini unataka kwenye maisha Yako muhimu unayafurahia maisha hayo unayo yaishi.
Lakini Mimi binafsi pamoja na yote lakini mambo matatu ya lazima kwangu ni makazi, maradhi na chakula, mengine baadae muhimu napambana kila uliloandikiwa kupata utapata tu ni swala la muda tu.
 
Wana pesa za kishirikina sikukatalii lakini hao jamaa kwa nidhamu ya pesa wanaongoza Tanzania nzima, ni wachumi hakuna mfano....

Nina rafiki yangu alivyomaliza tu form 4 akaanunua Vitz yule jamaa baba yake alimwachia urithi wa ng'ombe wa maziwa anauza yeye mwenyewe lakini tukienda kula yeye anakula chips kavu za buku na hapo ana zaidi ya laki kwenye wallet!
Unamsifia anayekula chips kavu za buku upo serious kweli mkuu? Badala ale vizuri kwa afya yake anajitesa kwa kula machips na maziwa anakamua mwenyewe anashindwa kunywa glass moja ya maziwa?

Huko kujitesa kwa kula chips kavu kutakuja kumtesa baadae kugharamia kuweka afya yake sawa na madawa ya hospitalini.
 
Tunakuwa Maskini kwa sababu ya kuwekeza kwenye vitu ambavyo havina faida

Wakinga wanafanikiwa kwa sababu ya nidhamu ya Pesa.

Mtu anavaa nguo Moja lakini anawekeza kwenye biashara. Utasikia sina Hela ya kula kumbe kuna sehemu kawekeza hela yake.

Ukweli ni kwamba bila kujitoa Huwezi kuwekeza. Endelea Kuwekeza kwenye muonekano utawakumbuka BUSINESS IDEAS ACADEMY.

Wakati unafuga nywele wenzako wanafuga Kuku, bata, mbuzi na ng'ombe.

View attachment 3297934

Unapanda maua ya mapambo wenzako tunapanda Mboga Mboga

Anza leo kuwekeza hata kwenye maarifa:
View attachment 3297931

Kujipatia kitabu cha Mawazo 112 ya biashara unaweza kututafuta whatsapp: 0612607426 au kwa email: business.ideas613@gmail.com
Kila kiumbe na njia zake, jambo muhimu ni kujuwa dhumuni la maisha Yako bhasi inatosha kabisa
Lakini kama mtu anauwezo wa kununua nguo lakini ataki badala yake anakalia kuvaa shati Moja sio ustarabu mzuri shati Hilo Hilo eti yupo bize kutafuta Hela shati lichafu linanuka majasho akikusogelea karibu ni kero kabisa 🤮uo sio uungwana.
 
Kila kiumbe na njia zake, jambo muhimu ni kujuwa dhumuni la maisha Yako bhasi inatosha kabisa
Lakini kama mtu anauwezo wa kununua nguo lakini ataki badala yake anakalia kuvaa shati Moja sio ustarabu mzuri shati Hilo Hilo eti yupo bize kutafuta Hela shati lichafu linanuka majasho akikusogelea karibu ni kero kabisa 🤮uo sio uungwana.
mwenye akili ya pesa hajibani kutumia pesa yake👿 yy anahakikisha anaongeza kipato kukidhi mahitaji yake!
 
Back
Top Bottom