shati

Al-Shati (Arabic: مخيّم الشاطئ‎), also known as Beach camp, is a Palestinian refugee camp located in the northern Gaza Strip along the Mediterranean Sea coastline in the Gaza Governorate, and more specifically Gaza City. The camp's total land area consists of 520 dunums. According to the Palestinian Central Bureau of Statistics (PCBS), al-Shati had a population of 87,158 inhabitants in mid-year 2006, while the United Nations Relief and Works Agency (UNRWA) reports a population of 78,800 registered refugees. The camp is the third largest refugee camp in the Palestinian Territories.

View More On Wikipedia.org
  1. MamaSamia2025

    Miji inayoongoza kwa vumbi Tanzania. Shati jeupe usiende nalo

    Hii ni miji kumi inayoongoza kwa vumbi nyakati za kiangazi nchini Tanzania. Ukienda huko achana na habari ya nguo nyeupe. Pendelea rangi nyeusi, brown au kijivu. 1. KARATU 2. KASULU 3. KIBONDO 4. BOMANG'OMBE, Hai 5. SONGEA 6. TUNDUMA 7. ORKESMET, Simanjiro. 8. DODOMA 9. MERERANI 10. MTO WA MBU
  2. UMUGHAKA

    Kununua shati Kariakoo kidogo nigeuzwe mwizi

    Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!. Wiki iliyoisha nilikuwa na mtoko wa kuelekea mahali fulani,nikasema siwezi kwenda huko bila kutupia mitupio ya Ki-Jentromeni,nikaona isiwe tabu nielekee Kariakoo ambako ningepata mavazi mazuri kwa bei nzuri iliyoendana na bajeti yangu. Sasa nilipofika...
  3. MakinikiA

    Putin awajibu maadui zake kuhusu yeye kupiga picha kifua wazi

    Salama wandugu kwa kweli adui akiwa na chuki na mtu hachoki fitina Sasa viongozi wa magharibi baada ya kuishiwa hoja wamsema vibaya Raisi Putin tabia ya kupiga picha kifua wazi na yeye Putin awajibu kwamba wao hawana umbile la kuacha kifua wazi kwani wamevimbiana ovyo ovyo kwa ajili ya mapombe...
  4. sinza pazuri

    Aliyewahi kumuona Lil Ommy na shati au tisheti ya mikono mifupi, kuna milioni moja yake aje achukue

    Kama kuna yoyote aliyewahi kumuona Lil Ommy akiwa na nguo ya mikono mifupi. Anicheki nna zawadi yake ya sh million moja.
  5. mjusilizard

    Feeling tamu, kumkuta mkeo akikupikia huku amevaa shati lako oversize!

    Wakuu Hakuna feeling tamu kama umkute mke wako amevaa T-shirt lako oversize, no Bra, Halafu Anakuandalia Chakula Aisee, kama nawe unayo hebu zitaje tuone!
  6. Sidi J

    Nawezaje kuwa Kijana Mwenye Mvuto?

    Habari wadau, Mimi ni kijana wa miaka 30. Nimezaliwa kijijini na kukulia huko. Mjini wa mara ya kwanza nilikuja kwaajili ya masomo. Pamoja na kwamba kazi yangu inanilazimu kuvaa kistaarabu, bado nahisi sijafikia vile viwango ya kuwa "gentleman" na natamani sana kutupia pamba kama baadhi ya...
Back
Top Bottom