sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,525
- 7,372
Baada ya msanii namba moja Africa Diamond Platnumz kutoa part one ya FOA WORLD TOUR na kujumuisha mkoa wa Mwanza, watu mbalimbali wamejitokeza na kutoa shukrani kwa heshima aliyowapa watu wa Mwanza.
Nimetoka Mwanza hivi juzi kila kona kuanzia Bwiru, Ilemela, Igoma, Nyegezi na maeneo yote wamekuwa wakishukuru kupewa nafasi kumuona msanii wa kimataifa toka Tanzania akitumbuiza EP yake ya FOA.
Nitazifisha hizi shukrani.
Nimetoka Mwanza hivi juzi kila kona kuanzia Bwiru, Ilemela, Igoma, Nyegezi na maeneo yote wamekuwa wakishukuru kupewa nafasi kumuona msanii wa kimataifa toka Tanzania akitumbuiza EP yake ya FOA.
Nitazifisha hizi shukrani.