Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 38,623
- 81,321
Hahahahaha..Darasa moja wanafunzi 100 😏😏 hili ni shule au gereza wanafunzi wengine Wanaka Chini, ukute na mwalimu ana stress zake mikopo 🚮🚮
Hahahahaha..Darasa moja wanafunzi 100 😏😏 hili ni shule au gereza wanafunzi wengine Wanaka Chini, ukute na mwalimu ana stress zake mikopo 🚮🚮
Duh leo Dokta Manyaunyau umeongea pwentiMtoto wa Kayumba form anapata division one, wewe umetumia miaka minne kulipa school total million 20 halafu mtoto anapata division two.
Wazazi tuanze kutumia akili, wazazi wengi hawana akili hata kama wana degree.
100% correctHard times creates strong people.
Strong people create easy times.
Easy times creates lazy people.
Hivi ndivyo cycle ya poverty ilivyo.
Unavyompa mwanao good times sana ndivyo unavyomfanya kuwa maskini.
Kwakweli sijui ndgu yangu, hilo wanajua wao mioyoni mwao ila nachoshukuru Mungu ni kua hawakua wanalalamika kama wazazi wa miaka hii, wala kua na stress za ada na malezi.Wewe wazazi wako wanajivunia nn kutoka kwako ?
Maana wanasema utakachowatendea wazazi wako ndicho watoto wako watakutendea
Ofcourse kama nimesoma shule bora siwez peleka wanangu Kayumba. Wazazi walipambana, namimi lazima nipambaneChekechea na Primary nimesoma english medium private.
Sekondari Form 1 hadi 6 nimesoma Boarding private, Msosi Pilau kila J5 na J2, Ugali ni nadra sana.
Chuo kikuu sikupata mkopo ila si haba sikuwahi kupata changamoto za kiuchumi.
Rasmi na mimi nikawa baba, nikaanza kuwaza watoto waje kusoma KAYUMBA wakati mimi sijasoma huko ?
Hali yangu ni tofauti na waliowahi kusoma kayumba wao hata wakiwa matajiri wanaweza kusomesha watoto kayumba kwa uhuru, wana uzoefu na hizo shule kwahiyo wanaweza kuwasaidia watoto mawazo na ushauri, sasa mimi sijasoma kayumba wala siyajui mazingira yapoje nitamshauri nini mtoto ?
Natoa mfano mwepesi hata kama umesoma kayumba lakini ulipambaniwa ule milo mitatu, ni kwamba na wewe ukiwa mzazi kuna msukumo unakuingia upambane watoto wale milo mitatu, ukikutana na mzazi aliekulia maisha ya milo miwili nae analisha watoto mara mbili, akikupa ushauri kwamba ulishe watoto mara mbili ni ngumu kumuelewa hata kama watoto wake wana nguvu na afya kuzidi wako.
Ndivyo ilivyo kwa upande wangu, nilipambaniwa ili maisha yangu ya shule yawe mepesi ni ngumu mimi kuwapeleka watoto Kayumba, pia hata wazazi watanichukuliaje ? wamenipambania nisome kwa raha kisha waje kuona wajukuu wanaenda kayumba ?
Kwa sasa nina watoto watatu nawapambania wasije pitia maisha ambayo mimi sikupitia,
- First yupo form 1 boarding, ada milioni 2 na nusu kwa mwaka
- wa pili yupo Primary day ada laki 9.
- Huyu mwengine nae soon anaanza shule hio ya laki 9
- Sina mpango wa kuongeza mtoto wa ziada labda uchumi ukae sawa
Suala la kufaulu wapo wanafunzi wanaokalia ndoo wanapasua vibaya mno, Kusomesha private kumelenga zaidi kumrahishia mtoto maisha ya shuleni
- Vyoo visafi kila siku vinasafishwa
- Chakula kizuri shuleni
- Mazingira tulivu
- Usafiri shuleni hadi nyumbani
- kutumia kiingereza kwenye masomo tangu shule ya msingi
- Kila mwanafunzi ana kiti na dawati lake
- Hakuna kujazana darasani
- kujifunza computer utotoni
- Library
- masomo ya kupika, kushona, kuchora, n.k.
- watoto wengi hutokea familia zinazojali malezi na maadili.
- n.k.
Ninajua zipo shule za bei rahisi mfano kuna shule za serikali za englsh medium, shule za sekondari za jumuia ya wazazi, n.k. kwa research yangu zimetofautiana kidogo na Kayumba.
Kwa sasa nina miaka 36 kiuchumi bado najibana sana hasa kwasababu bado najenga ili nihamie kwangu, imenibidi nitembelea IST ili kupunguza gharama za usafiri, Simu yangu ina miaka mitatu sijabadili, wife nae nashukuru anajua tunayopitia nae kapunguza vizinga
Tofauti ya english medium na kayumba ni ndogo sana kiuhalisia ila binafsi huwa naona.Chekechea na Primary nimesoma english medium private.
Sekondari Form 1 hadi 6 nimesoma Boarding private, Msosi Pilau kila J5 na J2, Ugali ni nadra sana.
Chuo kikuu sikupata mkopo ila si haba sikuwahi kupata changamoto za kiuchumi.
Rasmi na mimi nikawa baba, nikaanza kuwaza watoto waje kusoma KAYUMBA wakati mimi sijasoma huko ?
Hali yangu ni tofauti na waliowahi kusoma kayumba wao hata wakiwa matajiri wanaweza kusomesha watoto kayumba kwa uhuru, wana uzoefu na hizo shule kwahiyo wanaweza kuwasaidia watoto mawazo na ushauri, sasa mimi sijasoma kayumba wala siyajui mazingira yapoje nitamshauri nini mtoto ?
Natoa mfano mwepesi hata kama umesoma kayumba lakini ulipambaniwa ule milo mitatu, ni kwamba na wewe ukiwa mzazi kuna msukumo unakuingia upambane watoto wale milo mitatu, ukikutana na mzazi aliekulia maisha ya milo miwili nae analisha watoto mara mbili, akikupa ushauri kwamba ulishe watoto mara mbili ni ngumu kumuelewa hata kama watoto wake wana nguvu na afya kuzidi wako.
Ndivyo ilivyo kwa upande wangu, nilipambaniwa ili maisha yangu ya shule yawe mepesi ni ngumu mimi kuwapeleka watoto Kayumba, pia hata wazazi watanichukuliaje ? wamenipambania nisome kwa raha kisha waje kuona wajukuu wanaenda kayumba ?
Kwa sasa nina watoto watatu nawapambania wasije pitia maisha ambayo mimi sikupitia,
- First yupo form 1 boarding, ada milioni 2 na nusu kwa mwaka
- wa pili yupo Primary day ada laki 9.
- Huyu mwengine nae soon anaanza shule hio ya laki 9
- Sina mpango wa kuongeza mtoto wa ziada labda uchumi ukae sawa
Suala la kufaulu wapo wanafunzi wanaokalia ndoo wanapasua vibaya mno, Kusomesha private kumelenga zaidi kumrahishia mtoto maisha ya shuleni
- Vyoo visafi kila siku vinasafishwa
- Chakula kizuri shuleni
- Mazingira tulivu
- Usafiri shuleni hadi nyumbani
- kutumia kiingereza kwenye masomo tangu shule ya msingi
- Kila mwanafunzi ana kiti na dawati lake
- Hakuna kujazana darasani
- kujifunza computer utotoni
- Library
- masomo ya kupika, kushona, kuchora, n.k.
- watoto wengi hutokea familia zinazojali malezi na maadili.
- n.k.
Ninajua zipo shule za bei rahisi mfano kuna shule za serikali za englsh medium, shule za sekondari za jumuia ya wazazi, n.k. kwa research yangu zimetofautiana kidogo na Kayumba.
Kwa sasa nina miaka 36 kiuchumi bado najibana sana hasa kwasababu bado najenga ili nihamie kwangu, imenibidi nitembelea IST ili kupunguza gharama za usafiri, Simu yangu ina miaka mitatu sijabadili, wife nae nashukuru anajua tunayopitia nae kapunguza vizinga
Kujenga, hasa makazi.kujenga au kujijenga?
Inategemea ulimuandaliaje mtoto mifumo sahihi Ili baadae akusaidieDadeki noma sana.
Hivi watoto huwa wanawasaidia nini maishani?? Zaidi ya wengi kulalamika, sionagi watu wakisifia uwepo wao.
(Tafiti nimeifanyia jf na mtaani)
Try to be open minded usitumie nguvu kubwa kubishana kwa mifano na mawazo yawatu yatakayoweza kukupatia idea nzuri nn ufanyeKwa mfano mwepesi hata kama umesoma kayumba lakini ulipambaniwa ule milo mitatu (breakfast, lunch na dinner), ni kwamba na wewe ukiwa mzazi kuna msukumo unakuingia upambane kuhakikisha watoto wanakula milo mitatu, vinginevyo ni aibu yako binafsi hata kama utaifanya iwe siri.
Mtu aliekuzwa kwa milo miwili kwake kawaida kuja kulisha watoto milo miwili, akikwambia na wewe uwalishe watoto milo miwili ni ngumu kumuelewa.
Swali langu la msingi hujalijibu kwenye huo mfano wako, ingekuwa uko huru hubanwi na historia ya makuzi yako..... wanao ungesomesha Kayumba?naomba nikupe mfano mdogo tu mkuu, wewe kwenu mlikuwa mnakula milo mitatu kila siku, hutajihisi uchungu watoto wako wakila milo miwili ?
Yaani umuandae ili aje akusaidie?? Unazaa mitaji sio?Inategemea ulimuandaliaje mtoto mifumo sahihi Ili baadae akusaidie
Duh! Mbona wanitoa kwenye kona? Kwangu furaha kubwa kuliko zooote, ni kuwa na watoto wangu pamoja. Nagamani niwe nao wengi iwezekanavyo.Dadeki noma sana.
Hivi watoto huwa wanawasaidia nini maishani?? Zaidi ya wengi kulalamika, sionagi watu wakisifia uwepo wao.
(Tafiti nimeifanyia jf na mtaani)
Ndo msilalamike sasa, na pia msione ugumu kuwapa wakitakacho.Duh! Mbona wanitoa kwenye kona? Kwangu furaha kubwa kuliko zooote, ni kuwa na watoto wangu pamoja. Nagamani niwe nao wengi iwezekanavyo.
Mtoa mad hongera kwa mpango wako. Ila ongeza watoto taf walau wafikie 5
offcourse ningeweza kuchagua wasome kayuma ama private.Swali langu la msingi hujalijibu kwenye huo mfano wako, ingekuwa uko huru hubanwi na historia ya makuzi yako..... wanao ungesomesha Kayumba?