- Thread starter
- #41
naomba nikupe mfano mdogo tu mkuu, wewe kwenu mlikuwa mnakula milo mitatu kila siku, hutajihisi uchungu watoto wako wakila milo miwili ?Kwahiyo unasomesha English Schools kwa presha/hofu tu ila sio matakwa yako, kwa maana ungekuwa uko huru wanao wangesoma Kayumba?