Kutoka Dodoma!



Ok, hiyo dira ya CCM ya kuwashinda wapinzani ni ipi hasa?
 
Hapa kiletwe hako kapande cha kideo clipu tuone na mafundi wetu nao waingie mitamboni kukichuja hadi tupate sura,wacha yote hayo,inatosha kuona vitendo kama ni vya kusoma jina au vya kufukuza inzi ,sasa kilichompeleka mtu huyo kwenye kiti cha spika ,hivi pale ipo nafasi kwa wabunge ambao hawana cheo cha kuwafanya wawepo pale ,au ni katika kutafuta cheo chengi labda aundiwe kikamati cha kuratibu mambo ya bunge. Bado hawajatueleza ila sasa tunangojea kutibuliwa na polisi ,maana mkiupata huo mkanda wa kideo kwanza msiuweke hapa ngojeni jamaa watakavyojaribu kutibu hilo donda ndugu.
 
 
Mnapatia kweli ku spend muda mwingi on Chenge, Kamera, uchawi, sumu, kimeta nk katika kipindi ambacho tulitakiwa kwa nguvu zetu zote tujadili bajeti, EPA, Richmond, Meremeta ( sijui hata kama mnakumbuka) etc

Haya twendeni tutafika tu...... bring in more DATAZ!
 
Wametangaza kwamba hii ni halftime huoni kwamba inapaswa kutazama na kurekebisha na kuvuta mawazo tukisikiliza namna wanavyojipanga maana kama hao marisavu wao wangekuwa ni wachezaji wazuri basi wangeliwapanga katika kipindi cha mwanzo ila tokea mechi ianze wameshabadilisha wale waliokuwa wanatisha.Na wanaowaingiza wanagombana wenyewe kwa wenyewe ,tulia kubwa lijalo.
 

......EBoo yamezuka tena hayo.Jamani kweli kuna mambo BOngo. Sawa Wakuu leteni habari!
 



Sasa mkuu wangu tutafanyaje ??ndio hali yenyewe ,kinachokuja kwenye anga zetu kwa wakati mwafaka na pia ikiwa kina maslahi ya wananchi-tunadili nacho kwanza ....then tuaangalia mbeleeee
 
Masatu,
Unachokisema ni sawa na kusema eti kwa sababu ni muda wa chai, basi tuhangaike kuinywa hiyo chai ingawa kikombe ndani ni kichafu. Siye tunasema kwamba hiyo chai na iachwe hadi kikombe kiwe kisafi na maji ya kuosha yawepo na si leo tu ila kwa muda mrefu ujao. Waafrica tumekuwa na macho ya chatu. Heri ya chatu anasikia kishindo kwa mbalii. Inabidi tujiweke chini na tusafishe kila kitu na kuweka mikakati ili huko mbeleni upupu upungue. Hata ukikaa na kuijadili bajeti, unafikiri utabadilisha kitu? Peter Tosh aliimba kuwa "kila mtu ataka kwenda mbinguni ila hakuna anayetaka kufa". Kwa hiyo ili tufike mbinguni inabdi TUFE kwanza. Hapa hatujali bajeti wala Uchawi. Siye leo ni UFISADI kwanza na kila inapopatikana mwanya basi tutaingiaMO wote na kukoromboaMO humo ndaniNI hadi kieleweke. Lengo hapa ni moja MAFISADI WAANGAMIZWE ili iwe fundisho kuwa wee iba tu ila siku moja ...... Wimbo huo wa Tosh unaongezea kuwa ".... I don't want piece, i don't want freedom, I'M JUST CRYING FOR JUSTICE ..." Bila "Equal right and justice walau 40% kwa wanyonge" basi ujue siku zote Wanyonge watafungwa 666 kwa 13. Nafikiri wajua FISADI ni 666 na 13 ni gundu (Wadanganyika).
 

Umesha sema wapinzani hawana mwelekeo na wewe unaujua mwelekeo , hawajakataa kukuokea na kukusikiliza mbona unalia lia ukiwa mbali ? watafute omba kuweka mawazo yako uone kama wataya incorporate na kuanza kujenga mwelekeo badala ya kulia lia .

Au unasemaje ?
 

Hii habari inasema kuwa Chenge alikuwa anatafuta kiti cha kukaa lakini wanazi mmeshika bango tu kuwa ni mambo ya uchawi? Sasa mlitaka Chenge akae wapi - chini au nje ya bunge?
 



Man you got brains of several people. Big up! I neva thought of that!
 
Kama ni kitu kidogo namna hii kwa mtizamo wao ambacho just wanted clarification why took them too long hadi hivi sasa ndiyo wanasema baada ya kujipanga ? Nawakumbusha hakuna utawala wa mabavu ulidumi miaka million .CCM nyie laana kubwa inawaandama .
 

Halafu jumlisha na hii:-

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samuel Sitta, jana aliwaambia waandishi wa habari kuwa, ofisi yake imekabidhi picha za video zilizomnasa mbunge huyo akiwa ameambatana na Ofisa Mwandamizi wa Bunge kwa siri, waliokuwa wakiweka vitu vinavyoaminika kuwa vya kishirikina au aina fulani ya sumu kwenye kila kiti cha mbunge.

Sitta alitoa kauli hiyo baada ya kutakiwa kutoa ufafanuzi juu ya tukio hilo ambalo hivi sasa limewachanganya baadhi ya wabunge kiasi cha kuhofia kuingia na kukalia viti vyao ndani ya ukumbi wa Bunge kabla ya uchunguzi kubaini kitu kilichowekwa.

Kwa mujibu wa Sitta, picha za mkanda huo zilizonaswa na kamera za usalama zilizomo ndani ya jengo hilo la kisasa, zimefifia kiasi cha kushindwa kubaini kwa haraka watu wanaoonekana ndani ya mkanda huo.

Kutokana na hali hiyo, Sitta alisema ofisi yake imeamua kuukabidhi mkanda wa picha hizo kwa maofisa usalama wa taifa na kwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, kwa ajili ya kuzifanyia uchunguzi zaidi.

WAZI Kuna yafuatayo:

(1) Dini nyingi tulizo nazo hivi sasa zimetoka nje ya nchi zetu. Kuna dini ambazo hufanya MAOMBI kukiwa na matatizo, kuna dini hufanya VISOMO na kuna nyingine HUFUNGA, etc.
Dini za kiafrika ni nyingi na inaelekea bado tuna wenzetu ambao kisirisiri bado wanaamini matambiko. Circumstances ndio tatizo, lakini kuamini matambiko ni imani na haki ya mtu.

(2)Kama kuna "substance" ilinyunyizwa, tunahitaji mkemia atupe ni chemical gani. Tuna wabunge wanaotuwakilisha na hatuhitaji "mhanga" mmoja aondoke nao (kama ilikuwa "radioactive" obviously aliyekuwa ananyunyiza nae aliadhirika).

(3) Spika kukosa busara katika ku"deal" na sakata zima. Yeye na ofisi yake wangeweza kabisa kulifikisha suala hili kwa vyombo husika ili lifanyiwe uchunguzi kabla ya kubwabwaja. Ameonyesha wazi kwamba alifurahia "kumfuma" Chenge kwenye zile video...(soma highlighted sentences to see how security was left behind by politicians and then recalled after they had finished their political assasination statements)

(4) Hili sakata haliwezi kuwa tambiko bali ushirikina kama lilifanyika, kwani lilifanyika kwa siri.
 

Sikonge ,

Tatizo ni kuwa by the time tunapata hicho "kikombe kisafi" breakfast time imeisha na ni lunch-time au pengine dinner-time! Sasa kwanini tusitumie kifuu kuinywa hii chai kabla time haija elapse?
 
 

Tena wala hai-qualify kuitwa THEORY kama haijafanyiwa research...bali ni HYPOTHESIS...anyways, kula tano kwa kulazimisha UCHAWI kuchukuwa mkondo wa KISAYANSI.
 
kwanini asiwawe kama wanavo uwawa vikongwe tena huko kwenye jimbo lake!!!! tena huyu kaonekana kabisa kwenye cctv na vikongwe wao ni wanashukiwa tu....
 
kwanini asiwawe kama wanavo uwawa vikongwe tena huko kwenye jimbo lake!!!! tena huyu kaonekana kabisa kwenye cctv na vikongwe wao ni wanashukiwa tu....
Wajameni,
Hivi umri wa ANDEREYA si umepitwa kidogo na wakati? Kwa nini tusimhalalishe na yeye kuwa ni KIKONGWE na hapo tumwite Ndugu Alhaji Ali Hassan Mwinyi amtembelee huko kwako na afanye kile alikifanya Shinyanga miaka ya 70 mwanzoni. Nafikiri hii kazi Mzee Ruksa ataiweza maana wengine tunasema tu. Kuuwa kikongwe ni sawa na Kumkoma Nyani. Itabidi kuagiza miwani ya kufanyia welding kibao....
 



Ben,

Hata mimi shahidi, nakumbuka nilichangia na nilisema "tuwe serious na tuache kuzushia watu" nilikuwa namnukuu huyo mtu wa pwani, nasikitika watu wanachangia then wanasahau walicho comment!!!
 

Jamani mwacheni Andy!jalini mambo yenu!Mambo ya Andy mwachie yeye mwenyewe!Yaani maneno mengine kweli ni ya kusadikika!yaani conditional kibao!
yaani hilo wazo ulilotoa hapo halitakaa litokee!
Asante
Hollo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…