Kutoka Dodoma!

Imani huponya au kuua, hivyo inategemea Dr HM anaamini kuwa ameugua kwa uchawi au ugonjwa wa kawaida kwa kiasi gani. Imani aliyonayo ina nafasi kubwa sana katika kumponya kwake mapema.

Kama anaamini ni ugonjwa wa kawaida na ameshakwenda hospitali huko wamshughulikia inavyopaswa na atapona.

Vile vile kama anaamini ni uchawi inabidi atafute mganga wa kienyeji ili aweze kumshughulikia ipasavyo, vinginevyo psychologically ataamini kuwa kalongwa na hajaenda kwa mtatibu anayepaswa na hivyo kuzidi kudororesha afya yake. Ni mtizamo wangu tu.
 
Yaani hadi leo kuna wana CCM bado wanafanya siasa kwa uchawi, yaani mtu alikuwa mwanasheria mkuu, mwenyekiti wa maadili wa chama tawala anajaribu kujijenga kisiasa kwa njia za uchawi! Sasa tusubiri kama wana CCM wa Bariadi watamwandalia sherehe tena kwa kukamatwa akiloga. Aibu!

..watu wote wanaopenda madaraka hufanya hivyo,regardless ya chama chao!
 
Katika ya miaka ya tisini ofisi ya mkemia mkuu wa serikali ilipoteza takribani wataalamu watano katika vifo vyenyeutata na wakati uliokaribiana sana.
Wachunguzi wa mambo walihusisha vifo hivi na uingizaji wa chakula chenye sumu cha Mohamed enterprise. Hakuna uchunguzi wowote uliofanywa wala habari hizi kukanushwa au kudhibitika.

Nakumbuka mkemia mkuu (FUPI) wa wakati ule aliwahi kuwaambia watu wake wa karibu alipokwenda shauri tanga alihisi thin dust kwenye kitanda alicholalia. Kwani mara baada ya kulala hapo alianza kuugua kifua mwisho akafa. Wengine walipata ajali na wengine kufa ghafla.ila wote walikufa walihusika na upimaji wa viwango na utoaji majibu wa kontena zenye chakula za mohammed enterprise. Wakati mohamed anatafuta jinsi ya kutoa rushwa kwa Fupi, alijibiwa fedha yako haiwezi kunifikisha kwa Mungu.Fupi aliendelea hayuko tayari kuona wengi wanaumwa kwa fedha ya rushwa.

Tabia ya mafisadi kuuwa watu wanaotetea wanyonge au kuwatisha imekidhiri sana kwenye ile nchi.
Mimi naamini kabisa alichokuwa anafanya chenge sio uchawi bali aliweka sumu ya mauuaji, kama wapo wataalamu wazuri wa toxicology tanzania watagundua hilo. Ila imani zitapoteza kabisa ushahidi kwa kuamini ushirikina hapa ni uuwaji wa sumu.

Lazima kikundi hiki kidhibitiwe kwani huwa wanabaraka kutoka juu wakati mwingi.
Je atarudi tena mwanza kuwaambia wapiga kuraka na hili anaonewa wivu. Je CCM mkoa itatoa mapokezi ya nguvu shujaa wao mwizi, muuaji , mshirikna na aliyedhalilisha kwa kiwango kikubwa elimu yake na chuo maarufu duniani cha harvard.

Kikundi cha akina Rostam ni kikundi cha mafia sasa wanaanza kuonyesha makucha yao. Wanajambo tutafute ni wangapi wamekufa ili kunyamazishwa na wangapi wamefichwa ili kunyazishwa.

Bunge waweke tume ya waliobobea kuchunguza hili swala kwa kina na upelelezi mkali ufanywe ni wangapi wamekufa kutoka kwa mikono ya hawa watu hadi kujipenyeza kwenye system na kufika juu kabisa kwenye uongozi wa serikali! Time is now.

Haiwezekani kwamba wameanza kufanya hivi wakati huu, Mwizi haibi mara moja, uchunguzi ufanywe kila mahali ambako walipitia. Hawaibi tu kwa furaha lazima serikali iweke mfano kwa hawa watu ili iwe fundisho kwa wengine watakaojaribu.
 
If it were me,

I would have intoxicated of poisoned these folks I hate at day light, with everyone watching and no one would have known it was me.

I can not fathom (comprehend) that an Intelligent person (academic and through Security Service training) such as Chenge would dare to do such a thing, knowingly that there are security cameras.

He must have been high, intoxicated, drunk or a Zombie to go back to the new and modern Bunge building with all sorts of high tech and perfom what he did.

It does not sink in my mind that he was that naive, stupid and ignorant to think or assume that a secured place like that will lack security at the minute that Mzee Mnyintuzu alikwenda tambika!
 
If it were me,

I would have intoxicated of poisoned these folks I hate at day light, with everyone watching and no one would have known it was me.

I can not fathom (comprehend) that an Intelligent person (academic and through Security Service training) such as Chenge would dare to do such a thing, knowingly that there are security cameras.

He must have been high, intoxicated, drunk or a Zombie to go back to the new and modern Bunge building with all sorts of high tech and perfom what he did.

It does not sink in my mind that he was that naive, stupid and ignorant to think or assume that a secured place like that will lack security at the minute that Mzee Mnyintuzu alikwenda tambika!
Kishoka,
You forgot one thing. Desperation na chuki binafsi.
 
Posted Date::6/14/2008

Tuhuma za ushirikina Bungeni zafikishwa polisi
Na Midraji Ibrahim, Dodoma

1. SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta amesema suala la mbunge na afisa mmoja wa bunge kuzunguka na kunyunyiza vitu vinavyohisiwa vya kushirikiana kwenye kiti viti vya wabunge limekabidhiwa kwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma (RPC) na Idara ya Usalama wa Taifa.


2. Akizungumza baada ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM) jana, Sitta alisema Kaimu Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashililah amekabidhi suala hilo kwa RPC na usalama wa taifa kwa ajili ya upelelezi.

3. ''Tukio lipo na kamera sita zilikuwa zimezimwa, lakini moja ililinasa ingawa picha imefifia, sasa tumekabidhi kwa RPC na usalama wa taifa watachezesha kuanzia mwanzo wa tukio mpaka mwisho baadaye tutapata taarifa,'' alisema.

4. Sitta alisema, sio vizuri hivi sasa kuzungumzia kwa undani tukio hilo kwa sababu, linahitaji upelelezi na kwamba, picha hiyo inaonyesha watu wawili wakipita kwenye viti vya wabunge.

5. Aliongeza tukio hilo limeshtua bunge kama taasisi
 
Mpaka jana jioni mjini Dodoma, hii ishu kwa ujumla ilikuwa ni mzaha na kichekesho, lakini sio leo hakuna mbunge wala kiongozi hata mmoja huko leo anayecheka tena.

Ninasema kuwa hatimaye mafisadi wameshikwa pabaya, maana haya yote sio tena as susal politics, nimeongea na wabunge wengi leo wasiotaka mchezo na wenye uchungu na taifa, walikuwa very tense na emotional, kwamba pole pole tunaanza kukaribia kulikomboa taifa, lakini nikawakumbusha kuwa bado tuko mbali sana hilo.

Cha muhimu hapa ni kumuombea Shujaa Mbunge Mwakyembe, awe safi na salimini.

Mungu Ibariki Tanzania!

Kosa ni kurudia kosa, kuna funzo kali toka kwenye kizaa zaa cha Balali. Wananchi tuko nyuma ya shujaa wetu Mwakyembe. Naamini Mungu atamjalia neema na kupata nguvu na ujasiri mara 10 zaidi ya alivyokuwa. Uhuru hauji kirahisi, kuna mapambano lazima yawepo. Hakuna aliye kipofu kutambua kuwa tuko katika mapambano makali. Saa ya USHINDI haiko MBALI.
 
Wakuu heshima mbele, kikao cha NEC ndio kwanza kimeisha, sasa hivi wajumbe karibu wote wako kwenye tafrija ya Birthday ya Mwenyekiti wa CCM Kilimanjaro, inayoendelea sasa hivi Dodoma Hotel,

Lakini kama tulivyoahidi ni kuwa tunaendelea ku-monitor kwa karibu kabisa kinachoendelea sasa hivi Dodoma, na pindi zitakapopatikana tutaendelea kuhabarishana, na mimi sasa nipate nafasi ya kuisoma hii thread nzima.

Ahsanteni Wakuu! JF mbele always one step ahead na kumkoma nyani yaani mchana kweupee!
 
1. Cut One Go......!

Quote:- hollo

kuna uhakika gani kuwa ni uchawi?hizi ni blah blah


2. Cut two Go..........!

Posted Date::6/14/2008

Tuhuma za ushirikina Bungeni zafikishwa polisi

Na Midraji Ibrahim, Dodoma

1. SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta amesema suala la mbunge na afisa mmoja wa bunge kuzunguka na kunyunyiza vitu vinavyohisiwa vya kushirikiana kwenye kiti viti vya wabunge limekabidhiwa kwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma (RPC) na Idara ya Usalama wa Taifa.

Mkuu "Hollo",

It is about time sasa unahitaji kusubiri kwanza kabla hujakurupuka, maana this is very humiliating, kama sio aibu kwa mtu mzima, maana hapa sasa watu wote wenye akili timamu wanajua kuwa wewe ni nani kama nilivyosema mwanzoni kuwa unageuza hii JF kuwa ni kama mahali pa watoto wadogo, wakati sisi wote ni watu wazima, sasa ona mkuu aliyesema mambo ya ushirkina ni Spika wa Bunge letu la taifa, sasa kama wewe ni mstaarabu kama unavyotaka hii forum ikuamini basi ukishikwa pabaya kama hapa ukubali hadharani kuwa umekurupuka, badala ya kuwa kimyaaa!

utabadili majina mpaka utachoka lakini nilikuambia mkuu kuwa sisi huwa tunasafishwa na ukweli tu, na tutadumu sana hapa JF na mahali popote tulipo kwa sababu siku zote huwa tunaongozwa na ukweli, na sio chuki za binafsi, majungu wala uzandiki, ninarudia tena kuwa ni wenye ukweli, facts na hoja nzito ndio watadumu sana hapa JF!

Ahsante Mkuu!
 
5. Aliongeza tukio hilo limeshtua bunge kama taasisi

And they wanted it remain as a secret. Kuna mambo anapoamua kuyafanya mwanadamu unajiuliza uwezo wake kiakili na uwezo wake katika kufanya mambo ya aina ile...

Nilipopata taarifa hizo (dakika chache baada ya tukio) nilipata mshtuko na pamoja na kuwa nilikuwa naendesha gari ilinibidi niweke gari kando na kujiuliza 'what's up'?.

Ni ujasiri wa kifisadi!
 
Cut One Go...!

Quote:Originally Posted by hollo

hata thomaso ni hadi alipoona alama za misumari!kuwepo kwa data siyo hoja!data zinaweza zikawepo na zikawa wrong vilevile

But Wait A minute,.... Cut Two Go..!


SteveD JF Senior & Premium Member Join Date: Mon Jun 2007

Quote:

Hollo, ni bora utulie pembeni ndugu yangu uangalie upepo unakovuma - kuwa devil's advocate hakukataliwi, ila adha ya 'kula matapishi' yako mwenyewe huwa ni kero na ngumu kuvumilia!! Baadae

Mkuu Steve D,

Heshima mbele kwa kujaribu kumsaidia ndugu Mtanzania mwenzetu ili naye aelewe, ingawa bado sio rahisi lakini dawa ni kama ulivyofanya, yaaani kuchapa bakora!
 
Chenge is soo desperate, badala angetumia huu muda kushugulikia ishu yake na BAE anahangaika na kitu ambacho kiko hadharani tayari, atawalozi wangapi??
 
Mkuu Heshima mbele, according to the dataz kuna mengi yaliyojiri na yanayoendelea kujiri:-

1. Wahusika wote wa Richimonduli wameitwa tena kwenda kujibu maswali kwa Taukukuru, ikiwa ni part ya uchunguzi wa kamati ya Pinda, kabla ya kurudi kwa bunge on ile miezi mitatu.

2. The dataz ni kwamba Hosea kutemwa, lakini AG kubaki, behind the scene kuna ambao kamati inataka wafikishwe mahakamani, lakini el na kundi lake wanamwaga hela sana ili hayo yasifanyike, lakini muamuzi ni Pinda, ambaye wabunge wameshamuonya kuwa asipokuja na majibu sahihi huenda na yeye akaondolewa kwa muswaaada maalum.

3. el alionywa mapema sana na tinga2 kuwa hili soo la Richimonduli halitaisha hivi hivi, akaambiwa aunde kamati yake itakayosema ukweli wazi na ahusishe wabunge, lakini mkulu akagoma na kwenda kwa muuungwana kumshitaki kuwa ndiye anayeleta choko choko za hiii ishu, el alipotoka tu muungwana akambonyeza mukulu kila kitu el alichosema, ndipo moto ulipoanzia lakini according to the dataz the whole thing ya Richimonduli comes down to mtoto wa el anayeitwa Federick na Msomali anayeitwa Gire, nasikia kamati haielewi cha kufanya na huyu mtoto ambaye sio kiongozi wa taifa!

4. According to the dataz ni kwamba muungwana aliambiwa mapema kuwa hii deal ni bomu, lakini akawakabidhi uwt ambako ag wa sasa na mstaafu wa idara, ambao wote ni wa huko idara, ndio waloukuwa wakimchezea muungwana na kumpa info za uongo, sasa deal likaja kubumburuka kwa vile Mwakyembe naye ni idara pia, na hasa kushindwa kwa Richimonduli ku-deliver!

Sasa hivi kuna juhudi kubwa sana za kujaribu kui-divert ishu ya EPA na Kiwira, lakini wabunge wetu wanajaribu kuwa makini sana ili wasipoteze focus!
Wakuu tunaendelea kuzifuatilia, zikipatikana tutahabarishana kama kawa, JF mbele alyways one step ahead!

Ahsante Wakuu Ngoja Nirudi Kwenye Post ya kuzi-monitor huko Dodoma!

........mmmhh, heshima mbele Mkuu
 
Cut One Go...!



But Wait A minute,.... Cut Two Go..!




Mkuu Steve D,

Heshima mbele kwa kujaribu kumsaidia ndugu Mtanzania mwenzetu ili naye aelewe, ingawa bado sio rahisi lakini dawa ni kama ulivyofanya, yaaani kuchapa bakora!

mhuu makubwa!!
 
Ninapata sasa hivi sms inasema Chenge ndiyo zake na ndiyo maana hata baada ya Mwanyika kukalia kiti chake baada ya yeye amekuwa kama zezeta anasoma haelewi anaambiwa hasikiii na sasa aliona anaweza kufanya zali kule jumbani .Si mimi ni vi Lunyungu @ work .
 
Mzee mwenzangu.. siyo usangoma....na kilichohusishwa siyo ulozi wa kiafrika mzee.. hakuna uchawi wa kiafrika hapo isipokuwa wa kizungu. Tangu nimeandika na kusema futeni ushirikina... na jaribu kuweka ushirikina wa kisayansi.... mtaelewa jambo hili na uzito wake. Kuna mtu atavuliwa uanachama muda si mrefu.....!

Mzee mwenzang kwa hiyo unataka kusema Chenge ameweka sumu?
 
Mkuu Field asante kwa info, nilikuwa napata kidogo, kwa jinsi nilivyokuwa addicted na JF nimekuja mbio kuangalina kama kuna lolote jipya nisinge lala unono sana kama nisinge kuta mambo kama haya

Thanks Comrade
 
Ninapata sasa hivi sms inasema Chenge ndiyo zake na ndiyo maana hata baada ya Mwanyika kukalia kiti chake baada ya yeye amekuwa kama zezeta anasoma haelewi anaambiwa hasikiii na sasa aliona anaweza kufanya zali kule jumbani .Si mimi ni vi Lunyungu @ work .

Msomi wa Havard huyo.... nachoka kabisa
 
1. Cut One Go......!




2. Cut two Go..........!



Mkuu "Hollo",

utabadili majina mpaka utachoka lakini nilikuambia mkuu kuwa sisi huwa tunasafishwa na ukweli tu, na tutadumu sana hapa JF na mahali popote tulipo kwa sababu siku zote huwa tunaongozwa na ukweli, na sio chuki za binafsi, majungu wala uzandiki, ninarudia tena kuwa ni wenye ukweli, facts na hoja nzito ndio watadumu sana hapa JF!

Ahsante Mkuu!
Nakuheshimu sana Ndugu yangu!Pls and Pls Nimebadili jina lipi na lipi?Mtu mzima ovyo kabisa.Je unaweza kuniambia majina yote unayosema nabadili?pls and pls again give me a break!acha hisia za kijinga ambazo huna prouvement
nazo!pls and pls!natumia jina hili hili moja tu!
Asante!
Hollo
 
Wakuu,
Habari hii nzito sana na naikubali....
Ama kweli tumefikia mahala ambapo sasa Utamaduni wa sayansi ya mwafrika inachukua nafasi kubwa ya maisha yetu. Uchawi ni sayansi hiyo hiyo mnayoizungumzia isipokuwa haina vipimo vya maabala zetu isipokuwa hizo za makati za ufundi..
Hata huyo Moses alikuwa na nyanga zote kuweza kukabiliana na manyanga ya Pharaoh ambaye kama sii uchawi asingeweza kubadilisha mkongojo wake kuwa nyoka. Tukumbuke tu ndani ya uchawi hutanguliwa na mkulu fulani iwe Mungu ama Nyamuhanga au RA the Egyptian Sun God...kifupi wote wanatumia magical substances ambazo leo tunazipa majina ya kisayansi kutokana na powerful supernatural substances iwe zinatokana na mizizi, miti, madini ama ritually miili ya viumbe kama binadamu na kadhalika.
Sasa mchawi akichukua embryo stem cell na kuzifanyia kazi watu tunaona maajabu lakini madaktari wa Ulaya wakichukua vitu hivyo hivyo ili kuponya ugonjwa tunawaona wao ndoo wakweli hali Wamasai wameshaufanyia kazi karne na karne..
Kifupi tunao wanasayansi kwa sababu kuna vitu na magonjwa ya ajabu ambayo yanatakiwa wataalan na pia kuna waganga wa kienyeji kwa sababu kuna Uchawi.. Hili swala la imani lipo iwe ktk imani ya kizungu ama kiafrika kwa sababu kama huamini magonjwa kama HIV ambayo kwa lugha ya kiafrika ni uchawi tu tusingekuwa na waganga wa maabara. Na kifupi HIV hata waganga wa kizungu huko Bagamoyo kwao wameshindwa!

Haya huku nimeenda mbali sana na kile kilichotokea Dodoma lakini nachojaribu kusema ni kwamba wapo wanaudhulika.. iwe sumu iliyotokana na nyongo ya nyoka ama binadamu na imetengenezwa kienyeji haina maana haiwezi kuleta madhara!...maadam, ktk maisha yetu tutaendelea kuwa na contact na hizi ritual paraphernalia madhara lazima yatakuwepo...Na gharama yake sio kubwa kama sumu ya mzungu ambayo ina complication kibao ktk kuzipata.. results ni zile zile kumwondoa mtu!..
wameondoka kina Malima, Kolimba, AC, Balali oooops! tena ktk mahospital makubwa na sababu mlizopewa hazina hata kichwa bado mnataka ushahidi gani kuwa uchawi upo na imani pekee haiwezi kusaidia isipokuwa nawe unatakiwa uwe na zana haswa! Kama ni Biblia au Kuran sio tu kuibeba mkononi na kuamini Yesu au Mungu laaah! unatakiwa uzijue aya zinazoweza kupambana na uchawi uliorushwa! Kinga haiwezi kuwepo kama hujaweka ngao yako kule kunakotokea mashambulizi...
je, naamini uchawi?... ooooh YES! kwa sababu uchawi ni sayansi kama sayansi nyinginezo na dawa ya sumu ya nyoka ni lazima uwe na antivenom.

Mkandara

sisi wenda hua si wagunduzi kwa sababu kitu tukikiona cha staajabisha tunakita imani.

UCHAWI si imani Ni sayansi ambayo bado tafiti zake hazijatoa majibu hii ni kutokana na Techonojia tuliyonayo hajikomaa ila theory zipo za kutosha,Ni kama vile theory za fibre optics zilikuwepo karne nyingi ila implementation ilikua ngumu kutokana na technolojia wakati huo haijakomaa.

kifupi.
electrons hua zinaishi kwenye valency band ktk maada yoyote lakini hiyo maada ukiipa energy mfano mwanga,moto,chemical(uchawi,kemia) hua electorn inaruka na kwenda kwenye condunction band,sasa basi electorn ikipoteza hiyo energy inaanguka kutoka conduction hadi valency band na nguvu iliyopotea inapaa hewani kama photons.

Na kwa vile electrons hua zinatofautiana energy vivyo hivyo photons hewani zitatofautiana energy na hii energy ndio ina characterize masafa (frequency) yake ,sasa basi hili bando la photons lililo na energy tofautitofauti huitwa spectrums,Na photon zenye energy kubwa ndizo zina frequency kubwa kumbe basi spectrum sio continuous bali discrete.

Sasa basi ktk bando hili la photons(spectrum) wanasansi ambacho wameshaona ni-
1.Radio wave 0.3-3KHz ambazo ndio masikio ya mtu yanaweza sikia,hivyo electron yoyote iliyo ktk masafa hayo masikio ya mtu yanausikia mwendo huo.

2.microwave 3-300kHz electrons iliyo ktk masafa hayo inaweza kuchemsha maji .hapa watu wengi hujiuliza kwanini ukiweka chakula kwenye microwave ni chakula tu ndio kina pata joto walakini chombo hakipati joto.kumbuka michrowave inachemsha maji tu kumbe chakula kinachemka kwa sababu kina majimaji.
3.Light 3-30GHz electrons ktk masafa hayo inatoa mwanga ambao macho ya binadamu unaweza kuyaona.
4.infrared
5.ultraviolet
6.x-ray 30-300PHz hii inaweza penyeza kwenye nyama na ndio elecrons zilizo ktk mwendo huo hua zinatumika kule hospitali kupiga x ray
7.gamma ray 30-300 EHz

Sasa basi Wataalamu wa jadi hua wanatumia chemical means (kuchanganya miti,nyama ya mtu,ubongo wa mtu)kuzirusha electrons ambazo hua zinapaa ktk spectrums with very specific frequency ambazo hazipo hapo juu Na

zinakua ktk makundi mawili 1. kuyahadaa macho na akili ya binadamu yani hizi photons zikigonga akili na macho kinafanyika modulation yani signal inahamisha frequency iliyozoa macho ama akili ndio maana badala ya mtu unaweza ona mbuzi badala ya karatasi unaweza ona fedha(mazingaombwe) mfano mtu akikupiga ngumi vizuri ktk macho unaweza ona shimo refu sehemu iliyotambalale,kumbe hii ni energy aliyo apply ktk macho ni sawasawa tu na energy ya electrons ila tofauti ziko ktk form tofauti ya energy moja ni mechanical nyingine ni electromagenet.

2.Ni hiyo ya kudhuru ambayo unaiua cell za binadamu kama ilivyo tu neuclear,x-ray ama gamma-ray.

Na kumbuka kila kitu cha moto kinatoa (emmit) microwave ndio maana upo unajotojoto na kila mwili unakua ktk resonance frequency fulani sasa mtaalamu(mchawi) anaweza kukutrace sehemu yoyote ulipo yani anachukua band yote ya microwave anaifanyia kitu kinaitwa filtering anaipeleka kwenye kitu kinaitwa matched filter anakupata.Hii matched filter kazi yake na kucompare signal inayoingia na reference aliyo nayo.

Hii reference signal anakua nayo anakua ameichukua mapema physically kutoka kwako ndio maana kuna kamsemo wanasema mlozi hawezi loga mtu asiye mjua maana anakua hana reference signal.Hii technologia nadhani hata akina bush wanatumia kuwatafuta akina Ossama.

Hizi ni theory zangu risechi sijaiweza maana wachawi hawataki kutoa ushirikiano.
Samahani kwa kuvamia maada.
 
Back
Top Bottom