Imani huponya au kuua, hivyo inategemea Dr HM anaamini kuwa ameugua kwa uchawi au ugonjwa wa kawaida kwa kiasi gani. Imani aliyonayo ina nafasi kubwa sana katika kumponya kwake mapema.
Kama anaamini ni ugonjwa wa kawaida na ameshakwenda hospitali huko wamshughulikia inavyopaswa na atapona.
Vile vile kama anaamini ni uchawi inabidi atafute mganga wa kienyeji ili aweze kumshughulikia ipasavyo, vinginevyo psychologically ataamini kuwa kalongwa na hajaenda kwa mtatibu anayepaswa na hivyo kuzidi kudororesha afya yake. Ni mtizamo wangu tu.
Kama anaamini ni ugonjwa wa kawaida na ameshakwenda hospitali huko wamshughulikia inavyopaswa na atapona.
Vile vile kama anaamini ni uchawi inabidi atafute mganga wa kienyeji ili aweze kumshughulikia ipasavyo, vinginevyo psychologically ataamini kuwa kalongwa na hajaenda kwa mtatibu anayepaswa na hivyo kuzidi kudororesha afya yake. Ni mtizamo wangu tu.