Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,580
Mchawi ni mchawi tuu haiwezekani kama alikuwa anatafuta viti na spika leo atoe tangazo kuwa ukumbi uko shwari na pia Bunge haliamini kwenye ushirikina.
Tamko la Spika la leo asubuhi ni kuwa kulikuwa na jambo la kishirikina ila Bunge haliamini kwenye ushirikina hivyo ni kweli kuwa kulikuwa na mambo ya Teknologia ya made from Bariadi ,huku si ndio kule maalibino wanapotea sana ?
Kuna Mbunge mmoja kaniambia kuwa waganga wanaakili sana kwani wanaweza kumwambia mtu atembee uchi na hakuna atakayeweza kumwona na mtu huyo akaamini hata kama ni mwanasheria aliyesoma Havard, mbele ya mganga hakuna akili ..
Tamko la Spika la leo asubuhi ni kuwa kulikuwa na jambo la kishirikina ila Bunge haliamini kwenye ushirikina hivyo ni kweli kuwa kulikuwa na mambo ya Teknologia ya made from Bariadi ,huku si ndio kule maalibino wanapotea sana ?
Kuna Mbunge mmoja kaniambia kuwa waganga wanaakili sana kwani wanaweza kumwambia mtu atembee uchi na hakuna atakayeweza kumwona na mtu huyo akaamini hata kama ni mwanasheria aliyesoma Havard, mbele ya mganga hakuna akili ..