Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

Tatizo ni moja, VIJANA wengi wanategemea TANGAZO lipostiwe Ndio waombe kitu ambacho si sahihi.

Kuna watu wanatembea na BAHASHA huku na kule wanaenda front kutafuta kazi, sio kwa NSSF tu fatilia MIFUKO yote ya BIMA au yenye mlengo huo uone kama wanatangaza NAFASI za Internship.

Maombi wanapokea ni Mengi individually hivyo wanayachakata kama nafasi ipo mtu anaitwa kuanza.

Usitegemee hata siku moja et wawaite watu kuomba Internship never, watu wenyewe ndio wanaomba.

Haiiingii akilini una request 1000 za Internship alafu utoe tangazo la kuomba watu waombe INTERNSHIP.

USHAURI kwa VIJANA waende FRONT waombe AJIRA/INTERNSHIP popote bila kusubiri TANGAZO wajanja ndio wanaijua hii mbinu wanaenda FRONT mapema na bahasaha zao.
Mkuu kama upo kwenye asali hongera sana, ivyo vyote bila ya connection hupati ata utembee umevaa Bango unatafuta Ajira. Uko maofisi kumejaa ukiritimba mtupu
 
Hii si sawa hata kidogo. Watoto wa watanzania wengine wasiofahamika nani atawaajiri. Hili sikubaliani nalo kuwepo na uwanja sawa wa ajira.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hiyo ni kwa ajili ya watoto wao na ndugu zao, NSSF Tanga baadhi ya waliojiriwa wanatamba kwamba hata usaili hawakufanya kwa sababu wazazi wao wako au walikuwa NSSF na wana kiburi balaa.
 
Mkuu kama upo kwenye asali hongera sana, ivyo vyote bila ya connection hupati ata utembee umevaa Bango unatafuta Ajira. Uko maofisi kumejaa ukiritimba mtupu
Bro, nimehustle kupata KAZI na niliandika hadi UZI humu wa kuomba KAZI.

Kuna watu ukiwaambia fanyeni INTERNSHIP wanakuona unaenda kupoteza muda.

Faida ya hizi Internship ni kwamba TAASISI unaijua na wao wanakujua yaani nitumie maneno ya KITAALAMU.

KTK HR processing kuna kitu kinaitwa ORG CULTURE mtu ambae hafiti kwenye CULTURE huwezi kufanya nae kazi na mkafikia malengo.

Sasa tyr mna nguvu kazi ambayo imefikia malengo mliyowekeana, anaijua Taasisi, anajua kufanya kazi (No need of TRAINING/OJT) anafanya kazi vzr. Utakuwa ni upuuzi kumuacha huyu ukachukua mwingine huko nje.. Hii mimi siikubali.

Wa ndani apewe PRIORITY.

Jana hapa kuna Uzi ulipostiwa kuna Intern wa Hospital ya Kaskazin huko wanalia posho etc. Em vaa viatu vya hao Intern wanahangaika wanafanya kazi kubwa kwa posho ndogo leo hii zitoke nafas za kazi et wasipewe wao waajiriwe wengine. INAKUIJIA AKILINI? tukiweka UNAFKI na UBINAFSI Pembeni?
 
Bro, nimehustle kupata KAZI na niliandika hadi UZI humu wa kuomba KAZI.

Kuna watu ukiwaambia fanyeni INTERNSHIP wanakuona unaenda kupoteza muda.

Faida ya hizi Internship ni kwamba TAASISI unaijua na wao wanakujua yaani nitumie maneno ya KITAALAMU.

KTK HR processing kuna kitu kinaitwa ORG CULTURE mtu ambae hafiti kwenye CULTURE huwezi kufanya nae kazi na mkafikia malengo.

Sasa tyr mna nguvu kazi ambayo imefikia malengo mliyowekeana, anaijua Taasisi, anajua kufanya kazi (No need of TRAINING/OJT) anafanya kazi vzr. Utakuwa ni upuuzi kumuacha huyu ukachukua mwingine huko nje.. Hii mimi siikubali.

Wa ndani apewe PRIORITY.

Jana hapa kuna Uzi ulipostiwa kuna Intern wa Hospital ya Kaskazin huko wanalia posho etc. Em vaa viatu vya hao Intern wanahangaika wanafanya kazi kubwa kwa posho ndogo leo hii zitoke nafas za kazi et wasipewe wao waajiriwe wengine. INAKUIJIA AKILINI? tukiweka UNAFKI na UBINAFSI Pembeni?
Eeh changamoto sasa tunayoengelea hapa ni namna ya kupata iyo internship, ata kujitolea pia nimtiti unaomba unakosa na sio kwamba jobless hawataki ishu ni namna izo chance wanavyozitoa toa yaan connection full
 
Eeh changamoto sasa tunayoengelea hapa ni namna ya kupata iyo internship, ata kujitolea pia nimtiti unaomba unakosa na sio kwamba jobless hawataki ishu ni namna izo chance wanavyozitoa toa yaan connection full
Tuulizane, nani humu kati ya hao wanaolalamika aliomba nafasi akakataliwa? Wengi ni WANAFKI tu.

Narudi pale pale ukiona mtu analalamika hapa ujue HANUFAIKI na hilo zoezi kama angenufaika wala usingeskia kelele zake.

Watu 300+ jamani wote hao Connection? Hata ww unalionaje hilo swala.
 
Tuulizane, nani humu kati ya hao wanaolalamika aliomba nafasi akakataliwa? Wengi ni WANAFKI tu.

Narudi pale pale ukiona mtu analalamika hapa ujue HANUFAIKI na hilo zoezi kama angenufaika wala usingeskia kelele zake.

Watu 300+ jamani wote hao Connection? Hata ww unalionaje hilo swala.
Nina ushahidi mkuu au unataka tukutumie barua za majibu tulizoomba internship na kujitolea ndo uamin au
 
Haya Malalamiko yasio na kichwa wala miguu ndio inapelekea Professionalism inashuka hasa kwa kada ya HR hapo Serikalini.

Why?
HR anafosiwa kufanya michakato nje ya standards za Dunia ya Sasa.
Case study ni hii wanayoita process ya recruitment after kupokea maombi ya kazi inafata zoez la ku SHORTLIST.

Sasa Zoez la kushortlist kwa TANZANIA hasa ktk serikali ni tofauti, yaani haina maana halisi ya standards za ku SHORTLIST badala yake ni LONGLIST.

Mfano ni TRA hapo wameita majitu 30k ktk Interview hii ni TANZANIA tu. Na why wamefanya hivi kwasababu ya MANENO na MALALAMIKO ya kipumbavu.

Kama unataka watu 100 SHORTLIST watu 300 (ONLY BEST CANDIDATES). Ila ukifanya hivyo utaskia malalamiko ooh mimi mtoto wa maskini or kuna watu wao ooh kuna upigaji etc etc..

Katika watu 30k kumpatq best candidate ni uongo. Ndio maana makazini tunaweka majinga majinga tu amabayo yamepita kwa BAHATI/ZARI.

TUWEKE UNAFKI PEMBENI kwenye mambo ya msingi.
 
Sehemu pekee wanayotoa internship kihalali ni hawa TaESA, labda na baadhi ya taasisi ambazo wao wanaziadvertise watu wanaomba taratibu zinafwatwa, field zenyew saiv kuomba pia ni mchakato sembuse kujitolea
Taesa wanawafata Waajiri kuwaombea nafasi. Ndio nyie mnapelekwa yaani TAESA ni kama chawa anaelengesha PISI kali kwa BOSS.

Pia kuna Taasisi zina offer Internship/Ajira kwa njia ya HEAD HUNTING moja kwa moja vyuoni. wanafanya sana mashirika kama CRDB na mabenk mengine.

hata kwa TISS pia wanafanya head hunting. Why..?

Hawataki kubeba MIZOGA.
 
Shida hujui kama hata kujitolea nayo inahitaji connection ni vigumu kupata nafasi ya kujitolea sehemu bila connection labda kama hiyo sehemu hawakupi chochote ndo maana tunataka fair competition
Tatizo lenu mnachagua ofisi, kama upo tayari njoo ujitolee kusikiliza kero za wanakijiji ofisi ya mtendaji kijiji hapa Buiko
 
Hivi nyie ni vichaa?
Kijana kajitolea miaka 2 then asipewe kipaumbele?
Hii hata barrick na acacia wanayo. Chance nyingi ni za internal.
Izo izo mkuu tupe muongozo eeh namna ya kuingia hapo hakuna anae kataa ata izo kuna mdau analalamika za utendaji pia izo tupeni muongozo acheni kuponda na nyie, saiv namna mlivyoingia kizali zali uko Mtu akiomba kujitolea mnamnyima kwa hofu atakuzidi uwezo na uo ndo ukwel
 
Taesa wanawafata Waajiri kuwaombea nafasi. Ndio nyie mnapelekwa yaani TAESA ni kama chawa anaelengesha PISI kali kwa BOSS.

Pia kuna Taasisi zina offer Internship/Ajira kwa njia ya HEAD HUNTING moja kwa moja vyuoni. wanafanya sana mashirika kama CRDB na mabenk mengine.

hata kwa TISS pia wanafanya head hunting. Why..?

Hawataki kubeba MIZOGA.
Baada ya kushiba naona unaleta jeuri, ok Mfumo unabadilisha, mle mle mpenyeze watu wenu. Kila kitu kiwekwe wazi kanuni na taratibu za kazi zifuatwe kuna ugumu gani kupublish izo chances zinazotoka watu waombe?
 
Baada ya kushiba naona unaleta jeuri, ok Mfumo unabadilisha, mle mle mpenyeze watu wenu. Kila kitu kiwekwe wazi kanuni na taratibu za kazi zifuatwe kuna ugumu gani kupublish izo chances zinazotoka watu waombe?
Mimi sio MNAFKI.
nimefanya kazi ktk International Organization na nilifanya INTERN ktk Taasisi kubwa tu ya serikali.

Nimeona changamoto na mapungufu ya recruitment processes. Siongelei kiushabiki hapa.
Ule ujinga wa kuomba mtu PSRS alafu anakuja mtu MWEUPE kichwani na kazi ni technical alafu INTERN ndio anamfundisha kazi huyo MWAJIRIWA mpya.

Hayo nimeyaona. Siwez kuongea sanaaa maana tyr AKILI zenu zimehamia TUMBONI hamfikirii Utendaji kazi mnafikiria namna ya kujikwamua kiuchumi. Ndio maana MASKINI wengi ni WEZI hata wakiajiriwa wanafkiria Kuiba na maendeleo ya haraka haraka. Nje ya kufikiria nijiboreshe vipi kiutalaam na ni vip nitaboresha maslahi ya Taasisi kwa ujumla.

Nakupa hii.

US Embassy recruitment yao inampaka REFERRAL yaan kama hakuna mtu anakujua pale UBALOZINI ww hutoboi. Unajua ni kwanin? Sina JIBU.
 
Mimi sio MNAFKI.
nimefanya kazi ktk International Organization na nilifanya INTERN ktk Taasisi kubwa tu ya serikali.

Nimeona changamoto na mapungufu ya recruitment processes. Siongelei kiushabiki hapa.
Ule ujinga wa kuomba mtu PSRS alafu anakuja mtu MWEUPE kichwani na kazi ni technical alafu INTERN ndio anamfundisha kazi huyo MWAJIRIWA mpya.

Hayo nimeyaona. Siwez kuongea sanaaa maana tyr AKILI zenu zimehamia TUMBONI hamfikirii Utendaji kazi mnafikiria namna ya kujikwamua kiuchumi. Ndio maana MASKINI wengi ni WEZI hata wakiajiriwa wanafkiria Kuiba na maendeleo ya haraka haraka. Nje ya kufikiria nijiboreshe vipi kiutalaam na ni vip nitaboresha maslahi ya Taasisi kwa ujumla.

Nakupa hii.

US Embassy recruitment yao inampaka REFERRAL yaan kama hakuna mtu anakujua pale UBALOZINI ww hutoboi. Unajua ni kwanin? Sina JIBU.
Kwani ww ulipoomba hapo internal ulikuwa unajua au ndo baada ya kujua unaleta dharau zako....
Nini maana ya kutoa training kwa waajiriwa wap!!!
Alafu unasisitiza MIMI sio Mnafiki
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Bro, nimehustle kupata KAZI na niliandika hadi UZI humu wa kuomba KAZI.

Kuna watu ukiwaambia fanyeni INTERNSHIP wanakuona unaenda kupoteza muda.

Faida ya hizi Internship ni kwamba TAASISI unaijua na wao wanakujua yaani nitumie maneno ya KITAALAMU.

KTK HR processing kuna kitu kinaitwa ORG CULTURE mtu ambae hafiti kwenye CULTURE huwezi kufanya nae kazi na mkafikia malengo.

Sasa tyr mna nguvu kazi ambayo imefikia malengo mliyowekeana, anaijua Taasisi, anajua kufanya kazi (No need of TRAINING/OJT) anafanya kazi vzr. Utakuwa ni upuuzi kumuacha huyu ukachukua mwingine huko nje.. Hii mimi siikubali.

Wa ndani apewe PRIORITY.

Jana hapa kuna Uzi ulipostiwa kuna Intern wa Hospital ya Kaskazin huko wanalia posho etc. Em vaa viatu vya hao Intern wanahangaika wanafanya kazi kubwa kwa posho ndogo leo hii zitoke nafas za kazi et wasipewe wao waajiriwe wengine. INAKUIJIA AKILINI? tukiweka UNAFKI na UBINAFSI Pembeni?
Umeongea umemaliza kaka,asiekuelewa aendelee ,kazi ni za kuzisaka jamani door to door yani mtu una relax ndani unataka kazi zitangazwe kwenye mtandao ndiyo uombe sawa ndiyo umeaminishwa hivyo ila nashauri vijana fanyeni door to door gonga dondosha bahasha omba kazi/ internship
 
Back
Top Bottom