kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Kwa kweli Tumaini Makene haupo kwa wakati japo mitandao huko inaweza kuwa tabu ila nafikiri hata wengine wanatuma habari hizo wakiwa huko huko kwanini wewe usubiri kuja kusafisha uongo ambayo ni kazi sana??
Una uhakika kuwa hao wanatuma habari wakiwa huko? Tambua kuwa kinachofanya kazi hapo ni simu na picha inawezekana wanatumia watsap.