THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,729
- 15,065
Yericko ana mkakati maalum wa kuzima scandal ya Boss wake kwa kuonana na Nimrod,then akitoka hapo aende kwa Rostam,kinana na Sumaye
Anamshukuru sana zzk kwa kumjulisha wapi Boss anapiga madili yanayomwingizia fedha za kulipa vibaraka wake salary
Ameshindwa hata kabla hajauanza
Its too bad anaipenda chadema na family ya nyerere lakin kote huko hatakiwi na anapuuzwa vibaya sana