Kurugenzi ya Habari CHADEMA vipi?

Kurugenzi ya Habari CHADEMA vipi?

Ritz Ndug yako Yericko anarusha ngumi hewani huku
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Balantanda


Naomba ulikocopy na kulipaste lile bandiko lako ulilomjibu huyu tapeli yericko kuhusu ufafanuz wake wa upotoshaj dhidi ya ile bandiko la mwanasheria msomi Ndug Msando kama lilvyo tupate kujadili kwa kina tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Nilichokiona kwa chadema ni vita ya madaraka. Wakati kwa nafasi ya mwenyekiti mtifuano huo ni kati ya Zitto Kabwe na Freeman Mbowe, nafasi ya Katibu Mkuu yupo Dr Slaa na John Mnyika huku nafasi ya msemaji ndo wanajitokeza hawa makinda wawili, Ben Saanane na Yeriko Nyerere ambao wananyemelea nafasi ya Tumaini Makene
 
Hili tapeli la gesi lilikuwa linafikiri litatumia udini kuzuia gesi isifike DSM kiambie kile kigagula chenu kiibadilishe iwe maji tuone. Halafu lile gaidi shekhe ponda lipo wapi?
 
Nilichokiona kwa chadema ni vita ya madaraka. Wakati kwa nafasi ya mwenyekiti mtifuano huo ni kati ya Zitto Kabwe na Freeman Mbowe, nafasi ya Katibu Mkuu yupo Dr Slaa na John Mnyika huku nafasi ya msemaji ndo wanajitokeza hawa makinda wawili, Ben Saanane na Yeriko Nyerere ambao wananyemelea nafasi ya Tumaini Makene
Halafu mtifuano wa CCM ni nani nani?
 
Hili tapeli la gesi lilikuwa linafikiri litatumia udini kuzuia gesi isifike DSM kiambie kile kigagula chenu kiibadilishe iwe maji tuone. Halafu lile gaidi shekhe ponda lipo wapi?
Wewe ni mjinga na --------. Suala la gesi lina uhusiano gani na uzi huu?
 
Hamna historia ya kuwajibishana ndio maana
Wewe utakuwa umechanganyikiwa. Nimekuambia utoe mifano ya mitifuano kama inayotokea chadema wewe unaingilia suala la kuwajibishana. Out of point
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom